Wahuni wa Kinshasa Julai 17 1997- Desemba 25 2024

Wahuni wa Kinshasa Julai 17 1997- Desemba 25 2024

Taaa taaa traaa taa , risasi zimepita aiseee hili chaka nililoingia na risasi kunipunyua punyua ni hatari , kweli mali na utajiri hutafutwa kwa jasho na dam, Hapa kama una roho ya huruma unaanza kufa wewe
I wish ningepata konection niende manake kulivo changamka hadi raha , Braza we mwaga nondo , kama ukitaka kijana wa kujitole kwenye hizo kazi mm nipo afu nna roho ngumu Iddi amin anasubiri...!!?
 
Mzee wa mabraza Nelson Jacob Kagame, ili kuhakikisha upo salama basi usiache kupiga picha kwa kuvia vitukio vya hapa na pale ili tuhakiki usemacho, maana simu wamekuachia.

Vinginevyo JF imeshajifia now tunahani matanga tu humu, 😂 😂 ahahaaaa..!.
PICHA WAZALENDO HAWATAKI.....WAKIKUKAMATA.....ADHABU NI KIFO.
WATAKUHISI NI SPY WA WANYARWANDA WA RPF
 
Respect Kwako,
Kuna brother angu mmoja alienda huko akapata mchongo kuingia jeshi la waasi..

Kuna kitu anisimulia..Kuna dawa za kienyeji zinachemshwa kwenye pipa maji pokopoko..unavua nguo unaingia kwa maelekezo ya mganga..

Anaanza yeye mganga anazama kwenye waji...anawathibitishia..then nyie mnaingia kwenye maji mnapikwaa dawa

Then.
Linafuata zoezi la kutest kukatwa na panga, risasi e.t.c yaan unakua IMMORTAL ukipigwa risasi hazipitii..ukikatwa panga halipiti..

Alinisimulia pia walikua wanavamia vijiji na kushambulia raia na mali ZAO yaan Kama muvi vileee

Mkuu ,
Unaweza kujazia nyamaa... kuhusu risasi kupenya mwilini.
Kuna movie niliangalia walionyesha janja wanayotumia wakuu wa hao waasi.

Sio kua panga au risasi vinagoma ila kama ni risasi hawakulengi au wanatumia risasi bandia na ukizingatia wanamgambo wengi unakuta umri mdogo au hawana elimu ya kutosha wanadanganyika kirahisi na kuongeza kujiamini.
 
Kuna movie niliangalia walionyesha janja wanayotumia wakuu wa hao waasi.

Sio kua panga au risasi vinagoma ila kama ni risasi hawakulengi au wanatumia risasi bandia na ukizingatia wanamgambo wengi unakuta umri mdogo au hawana elimu ya kutosha wanadanganyika kirahisi na kuongeza kujiamini.
Unataka kusema wanatumia blankoo..risasi za plastic 😊☺️

Uchawi upo kamsome Joseph konyi na marehemu SAVIMBI..

Mimi Kuna mtoto wa shangazi aliendaga kuhudumu hapo drc kwenye kundi la waasi as mercenary soldier alipewa dawa na kwa macho alikua anaruka sarakasi kutoka juu ya bati mpaka Chini.. aliwai umwa na nyoka na hakutumia dawa yeyote nyoka mwenye sumu.

Hapo kigoma TU Kuna watu Wana vinkuti yaan kidono kilicho advance ☺️
 
Kuna movie niliangalia walionyesha janja wanayotumia wakuu wa hao waasi.

Sio kua panga au risasi vinagoma ila kama ni risasi hawakulengi au wanatumia risasi bandia na ukizingatia wanamgambo wengi unakuta umri mdogo au hawana elimu ya kutosha wanadanganyika kirahisi na kuongeza kujiamini.
JE KUKATA NA PANGA INAKUAJE?
 
FRED RWIGYEMA wengine wanamtuhuumu PK, though kuna taarifa zingine zinasema kati ya makamanda wenzie wawili ndio walimpiga risasi baada ya kujibizana kuhusu tactics za vita walizotakiwa kuzifuata. only God knows.
Mdau mtoa mada anaongelea battle toka Kibeho kwenda Goma,Kisangani, Rutshuru kwenda Kinshasa na vitongoji vyake.
Ryighema walishamalizana nae kabla RPF haijaaproach Chigali,
kulikua na kina Sam, Kaka, Salim saleh, Kayumba, platoon ya kina kabarebe.Mulokozi,Rose et al.
Hao ndo baada ya kigali walikuja kufagia FDLR.
Kibeho.
Na wakaongoza Kinshasa na Kabila sr.
Ndio Mobutu akakimbia.
Yaliyofuata ni haya tunayaona.
 
Ninayo clip hii, waafrika tuna tech zetu nying sana ila tunazidharau
Zipo,
hapo Kigoma kuna msela atakua jambazi yule alienda kupigwa dawa na ustaadh mmoja na baada ya hapo akapigwa mashoka ya kutosha yakadunda.
Iko documentary al jazeera au Natgeo..
Wanaongea kiswahili kabisa.
 
MAMBO YALIANZIA HAPA.
NYUMBANI KWA LESAPEE MUNDENDE.
UTAMU WA NGOMA INGIA UUCHEZE.
PART : 1...... KINSHASA.
Hakuna asiyependa maisha mazuri kama ya watoto na ndugu wa Anko Mobutu.
Ukizingatia mipango yote alikua nayo bosi wetu KENGE WANDONGO.
Na Kinshasa ilikua haikaliki na Miata mitatu nyuma mjomba Juve alikufa kifo cha utata.
Pale Kigali.....nchi wamekamata watu warefu na wanalipa kisasi kwa mauaji ya kimbali kwa kuwaandama watu wafupi wenye pua pana mpaka ndani ya Zaire na wanakaribia Kinshasa.
Huku Zaire nako majimbo ya Kivu kaskazini na Kivu kusini watu wafupi wenye pua pana wanawaandama kwa kuwaua watu warefu wenye pua ndefu.....wakiwaita migomba mirefu iliyolala.
Kwa kifupi ilikua vurugu nchi haitawaliki tena.
TAARIFA KAMILI IKATOKA.
BOSI KASEMA KILA MTU AFE NA CHAKE.
WATOTO WA DAR TUKAONA HII FURSA....NA UKIZINGATIA NYUMBANI TANZANIA BABA MKUBWA BENI HANA NOMA....AMETULIA ZAKE MAGOGONI ANAPIGA MVINYO.
TUKAMUOMBA USHAURI......JIBU LIKAJA.
MTAJI WA MASIKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE.
WATOTO WA DAR TUNASEMA FISI KAPEWA BUCHA 🤣🤣🤣🤣🤣.
Sasa plan au mpango kazi ukawa...hakuna kuchukua upande.....hakuna kujiingiza kwenye siasa au ukabila.......tumekuja.
Kinshasa...... Kigali.........Goma....... Bujumbura......Kisangani kutafuta Hela.
Hatuna tofauti na walebanoni wazee wa chako changu na changu ni changu.
PART : 2
Tatizo likaja pale Kinshasa..mwenyeji wetu LESAPEE MUNDENDE AKATUAMBIA KUA..BOSI WETU KENGE WADONGO KATUTELEKEZA.
MJOMBA SESESEKO HAELEWEKI NA DOGO SADDAM MAPEPE MENGI......NA UKIZINGATIA SERIKALI INAELEKEA KUPOTEZA MAMLAKA YAKE.
WAZO LIKAJA.
FASTA FASTA TUJIFANYE WANYARWANDA MAMBO YAENDE ISIWE TABU.
Basi kaka mkubwa LESAPEE MUNDENDE akatushauri tuingie kule CABINDA kwa mda wakati mambo yamekaa vibaya......yakitulia tutarudi Kinshasa.......hapo watoto wote wa dar tukaenda CABINDA.
Taarifa ikaja tukiwa CABINDA kua WANYARWANDA wameichukua Kinshasa ila wakongomani hawawakubali........ basi TUKAONA HAINA HAJA KUJIFANYA WANYARWANDA...WACHA WATU TU WATUJUE KAMA WATANZANIA......HAPO NDIPO KULIPOZALIWA JINA LA WAHUNI WA KINSHASA.
JINA HILI LILITOKEA PALE CABINDA.....ARIDHI YA ANGOLA KWENYE FUKWE ZA BAHARI YA ANTILANTIKI.
Tunaendelea.........!!!!
Usimuliaji hauvutii
 
Back
Top Bottom