Wahuni wa Kinshasa Julai 17 1997- Desemba 25 2024

Taaa taaa traaa taa , risasi zimepita aiseee hili chaka nililoingia na risasi kunipunyua punyua ni hatari , kweli mali na utajiri hutafutwa kwa jasho na dam, Hapa kama una roho ya huruma unaanza kufa wewe
I wish ningepata konection niende manake kulivo changamka hadi raha , Braza we mwaga nondo , kama ukitaka kijana wa kujitole kwenye hizo kazi mm nipo afu nna roho ngumu Iddi amin anasubiri...!!?
 
PICHA WAZALENDO HAWATAKI.....WAKIKUKAMATA.....ADHABU NI KIFO.
WATAKUHISI NI SPY WA WANYARWANDA WA RPF
 
Kuna movie niliangalia walionyesha janja wanayotumia wakuu wa hao waasi.

Sio kua panga au risasi vinagoma ila kama ni risasi hawakulengi au wanatumia risasi bandia na ukizingatia wanamgambo wengi unakuta umri mdogo au hawana elimu ya kutosha wanadanganyika kirahisi na kuongeza kujiamini.
 
Unataka kusema wanatumia blankoo..risasi za plastic 😊☺️

Uchawi upo kamsome Joseph konyi na marehemu SAVIMBI..

Mimi Kuna mtoto wa shangazi aliendaga kuhudumu hapo drc kwenye kundi la waasi as mercenary soldier alipewa dawa na kwa macho alikua anaruka sarakasi kutoka juu ya bati mpaka Chini.. aliwai umwa na nyoka na hakutumia dawa yeyote nyoka mwenye sumu.

Hapo kigoma TU Kuna watu Wana vinkuti yaan kidono kilicho advance ☺️
 
JE KUKATA NA PANGA INAKUAJE?
 
FRED RWIGYEMA wengine wanamtuhuumu PK, though kuna taarifa zingine zinasema kati ya makamanda wenzie wawili ndio walimpiga risasi baada ya kujibizana kuhusu tactics za vita walizotakiwa kuzifuata. only God knows.
Mdau mtoa mada anaongelea battle toka Kibeho kwenda Goma,Kisangani, Rutshuru kwenda Kinshasa na vitongoji vyake.
Ryighema walishamalizana nae kabla RPF haijaaproach Chigali,
kulikua na kina Sam, Kaka, Salim saleh, Kayumba, platoon ya kina kabarebe.Mulokozi,Rose et al.
Hao ndo baada ya kigali walikuja kufagia FDLR.
Kibeho.
Na wakaongoza Kinshasa na Kabila sr.
Ndio Mobutu akakimbia.
Yaliyofuata ni haya tunayaona.
 
Ninayo clip hii, waafrika tuna tech zetu nying sana ila tunazidharau
Zipo,
hapo Kigoma kuna msela atakua jambazi yule alienda kupigwa dawa na ustaadh mmoja na baada ya hapo akapigwa mashoka ya kutosha yakadunda.
Iko documentary al jazeera au Natgeo..
Wanaongea kiswahili kabisa.
 
Usimuliaji hauvutii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…