Nipe konekisheni ya wazee wa Mbeya MkuuWANYARWANDA WAMENIKOMBA MAWE YANGU.....WAMEUA RAFIKI ZANGU WAKONGOMANI NA WANYARWANDA WENYE ASILI YA KIHUTU.....IKABIDI TUKIMBILIE MAPORINI.......WAKASONGA MBELE KWENDA HUKO PANDE ZA GOMA KUPIGA A NA WANAJESHI WA DRC ... !!!KIUFUPI HALI ILIKUA TETE
PICHA WAZALENDO HAWATAKI.....WAKIKUKAMATA.....ADHABU NI KIFO.Mzee wa mabraza Nelson Jacob Kagame, ili kuhakikisha upo salama basi usiache kupiga picha kwa kuvia vitukio vya hapa na pale ili tuhakiki usemacho, maana simu wamekuachia.
Vinginevyo JF imeshajifia now tunahani matanga tu humu, 😂 😂 ahahaaaa..!.
Unajipakulia Minyama hadi unashindwa kuibeba.NJIA YOTE YA KUTOKEA HUKU MAPORINI KWENDA GOMA NA KURUDI BUKAVU WAMEJAA WANYARWANDA WA RPF..........!!!
Elewa niliposema za kuvizia, kuna wkt unapiga picha siyo lazima hata wewe ujue unaoiga picha bana.PICHA WAZALENDO HAWATAKI.....WAKIKUKAMATA.....ADHABU NI KIFO.
WATAKUHISI NI SPY WA WANYARWANDA WA RPF
😝😝😂😂Elewa niliposema za kuvizia, kuna wkt unapiga picha siyo lazima hata wewe ujue unaoiga picha bana.
Vinginevyo naendelea kuamini nilichoandika
😝😂😂😂😂
Kuna movie niliangalia walionyesha janja wanayotumia wakuu wa hao waasi.Respect Kwako,
Kuna brother angu mmoja alienda huko akapata mchongo kuingia jeshi la waasi..
Kuna kitu anisimulia..Kuna dawa za kienyeji zinachemshwa kwenye pipa maji pokopoko..unavua nguo unaingia kwa maelekezo ya mganga..
Anaanza yeye mganga anazama kwenye waji...anawathibitishia..then nyie mnaingia kwenye maji mnapikwaa dawa
Then.
Linafuata zoezi la kutest kukatwa na panga, risasi e.t.c yaan unakua IMMORTAL ukipigwa risasi hazipitii..ukikatwa panga halipiti..
Alinisimulia pia walikua wanavamia vijiji na kushambulia raia na mali ZAO yaan Kama muvi vileee
Mkuu ,
Unaweza kujazia nyamaa... kuhusu risasi kupenya mwilini.
Unataka kusema wanatumia blankoo..risasi za plastic 😊☺️Kuna movie niliangalia walionyesha janja wanayotumia wakuu wa hao waasi.
Sio kua panga au risasi vinagoma ila kama ni risasi hawakulengi au wanatumia risasi bandia na ukizingatia wanamgambo wengi unakuta umri mdogo au hawana elimu ya kutosha wanadanganyika kirahisi na kuongeza kujiamini.
JE KUKATA NA PANGA INAKUAJE?Kuna movie niliangalia walionyesha janja wanayotumia wakuu wa hao waasi.
Sio kua panga au risasi vinagoma ila kama ni risasi hawakulengi au wanatumia risasi bandia na ukizingatia wanamgambo wengi unakuta umri mdogo au hawana elimu ya kutosha wanadanganyika kirahisi na kuongeza kujiamini.
Majeshi yetu yanafanya nini huko hadi sasa au yamezidiwa mbinu?WANYARWANDA WAMEINGIA BUKAVU........!!!!
SEHEMU SALAMA KWA SASA AT LEAST UVIRA .....!!!!
Mdau mtoa mada anaongelea battle toka Kibeho kwenda Goma,Kisangani, Rutshuru kwenda Kinshasa na vitongoji vyake.FRED RWIGYEMA wengine wanamtuhuumu PK, though kuna taarifa zingine zinasema kati ya makamanda wenzie wawili ndio walimpiga risasi baada ya kujibizana kuhusu tactics za vita walizotakiwa kuzifuata. only God knows.
Zipo,Ninayo clip hii, waafrika tuna tech zetu nying sana ila tunazidharau
Usimuliaji hauvutiiMAMBO YALIANZIA HAPA.
NYUMBANI KWA LESAPEE MUNDENDE.
UTAMU WA NGOMA INGIA UUCHEZE.
PART : 1...... KINSHASA.
Hakuna asiyependa maisha mazuri kama ya watoto na ndugu wa Anko Mobutu.
Ukizingatia mipango yote alikua nayo bosi wetu KENGE WANDONGO.
Na Kinshasa ilikua haikaliki na Miata mitatu nyuma mjomba Juve alikufa kifo cha utata.
Pale Kigali.....nchi wamekamata watu warefu na wanalipa kisasi kwa mauaji ya kimbali kwa kuwaandama watu wafupi wenye pua pana mpaka ndani ya Zaire na wanakaribia Kinshasa.
Huku Zaire nako majimbo ya Kivu kaskazini na Kivu kusini watu wafupi wenye pua pana wanawaandama kwa kuwaua watu warefu wenye pua ndefu.....wakiwaita migomba mirefu iliyolala.
Kwa kifupi ilikua vurugu nchi haitawaliki tena.
TAARIFA KAMILI IKATOKA.
BOSI KASEMA KILA MTU AFE NA CHAKE.
WATOTO WA DAR TUKAONA HII FURSA....NA UKIZINGATIA NYUMBANI TANZANIA BABA MKUBWA BENI HANA NOMA....AMETULIA ZAKE MAGOGONI ANAPIGA MVINYO.
TUKAMUOMBA USHAURI......JIBU LIKAJA.
MTAJI WA MASIKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE.
WATOTO WA DAR TUNASEMA FISI KAPEWA BUCHA 🤣🤣🤣🤣🤣.
Sasa plan au mpango kazi ukawa...hakuna kuchukua upande.....hakuna kujiingiza kwenye siasa au ukabila.......tumekuja.
Kinshasa...... Kigali.........Goma....... Bujumbura......Kisangani kutafuta Hela.
Hatuna tofauti na walebanoni wazee wa chako changu na changu ni changu.
PART : 2
Tatizo likaja pale Kinshasa..mwenyeji wetu LESAPEE MUNDENDE AKATUAMBIA KUA..BOSI WETU KENGE WADONGO KATUTELEKEZA.
MJOMBA SESESEKO HAELEWEKI NA DOGO SADDAM MAPEPE MENGI......NA UKIZINGATIA SERIKALI INAELEKEA KUPOTEZA MAMLAKA YAKE.
WAZO LIKAJA.
FASTA FASTA TUJIFANYE WANYARWANDA MAMBO YAENDE ISIWE TABU.
Basi kaka mkubwa LESAPEE MUNDENDE akatushauri tuingie kule CABINDA kwa mda wakati mambo yamekaa vibaya......yakitulia tutarudi Kinshasa.......hapo watoto wote wa dar tukaenda CABINDA.
Taarifa ikaja tukiwa CABINDA kua WANYARWANDA wameichukua Kinshasa ila wakongomani hawawakubali........ basi TUKAONA HAINA HAJA KUJIFANYA WANYARWANDA...WACHA WATU TU WATUJUE KAMA WATANZANIA......HAPO NDIPO KULIPOZALIWA JINA LA WAHUNI WA KINSHASA.
JINA HILI LILITOKEA PALE CABINDA.....ARIDHI YA ANGOLA KWENYE FUKWE ZA BAHARI YA ANTILANTIKI.
Tunaendelea.........!!!!