Wahuni wakiachwa watambe bei za kila kitu zitapanda

Wahuni wakiachwa watambe bei za kila kitu zitapanda

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Kama wahuni wanaosemwa na Ndugu Polepole wakiachwa tutashuhudia kila kitu kinapanda bei na kila inayoitwa leo tutashuhudia upuuzi tuliowahi kuondokana nao.

Bei ya mafuta ya kula na ya magari zitapanda kwa saabu ya wahuni.

hii itapelekea chaos nchini kwa kupanda kwa kila bidhaa na gharama za maisha..Tukumbuke kuwa wahuni walidhibitiwa vilivyo sasa wanataka warudishe faida waliyokosa.
 
Kama wahuni wanaosemwa na Ndugu PolePole wakiachwa tutashuhudia kila kitu kinapanda bei na kila inayoitwa leo tutashuhudia upuuzi tuliowahi kuondokana nao.
Bei ya mafuta ya kula na ya magari zitapanda kwa saabu ya wahuni.
hii itapelekea chaos nchini kwa kupanda kwa kila bidhaa na gharama za maisha..Tukumbuke kuwa wahuni walidhibitiwa vilivyo sasa wanataka warudishe faida waliyokosa.
Kweli kabisa kama mafuta ya kupikia yamepanda mara tatu mfululizo, huu nao ni uhuni.
 
Hii mbona kama inaleta tafsiri kwamba CCM wote ni wahuni tu, Polepole aliongea nini kuhusu katiba mpya kabla hajapata uteuzi CCM, leo anaongea nini baada ya kukosa uteuzi CCM, hichi chama kila anayekosa ulaji basi anaona wenzake Wahuni.
 
Hii mbona kama inaleta tafsiri kwamba CCM wote ni wahuni tu, Polepole aliongea nini kuhusu katiba mpya kabla hajapata uteuzi CCM, leo anaongea nini baada ya kukosa uteuzi CCM, hichi chama kila anayekosa ulaji basi anaona wenzake Wahuni.
Kama nchi inaongozwa na wazarendo hata katiba siyo muhumu,nyerere aliwai kusema katiba tuliyo nayo sasa ni hatari kama nchi itapata viongozi wasio wazarendo nani nzuri kama nchi itapata kiongozi mzarendo
 
Kama nchi inaongozwa na wazarendo hata katiba siyo muhumu,nyerere aliwai kusema katiba tuliyo nayo sasa ni hatari kama nchi itapata viongozi wasio wazarendo nani nzuri kama nchi itapata kiongozi mzarendo
Nani unayemuona Mzalando kwa sasa Chief? Maneno na matendo yao havilingani hata kidogo.
 
Hao wahuni inaonekana yule jamaa anaitwa Nape naye yumo kundi hilo?.
Kuna uwezekano mkubwa sana
20211211_233652.jpg
20211013_124528.jpg
 
Kama wahuni wanaosemwa na Ndugu Polepole wakiachwa tutashuhudia kila kitu kinapanda bei na kila inayoitwa leo tutashuhudia upuuzi tuliowahi kuondokana nao.

Bei ya mafuta ya kula na ya magari zitapanda kwa saabu ya wahuni.

hii itapelekea chaos nchini kwa kupanda kwa kila bidhaa na gharama za maisha..Tukumbuke kuwa wahuni walidhibitiwa vilivyo sasa wanataka warudishe faida waliyokosa.

Bei zilianza kupanda kipindi cha yule kiongozi muovu ambaye Mungu kamuondoa bila damu kumwagika. Ukitaka kuleta propaganda mfu uwe na kumbukumbu ya hayo, maana ushahidi upo.
 
Bei zilianza kupanda kipindi cha yule kiongozi muovu ambaye Mungu kamuondoa bila damu kumwagika. Ukitaka kuleta propaganda mfu uwe na kumbukumbu ya hayo, maana ushahidi upo.
unakumbuka kilichowakuta wahuni wa Sukari na Mafuta?
 
uko sahihi kabisa, shida moja ya hawa wahuni walioko kwenye serikali wanatumika hata na watu ambao sio watanzania ambao hawajali chochote kuhusu Tanzania matokeo yake ni kuicha nchi hohehahe...
 
Nobody cares, haiwezekan mafuta lita 20 elfu 98, mbolea DAP laki na kumi... viongozi wetu kimyaa!
 
Kama wahuni wanaosemwa na Ndugu Polepole wakiachwa tutashuhudia kila kitu kinapanda bei na kila inayoitwa leo tutashuhudia upuuzi tuliowahi kuondokana nao.

Bei ya mafuta ya kula na ya magari zitapanda kwa saabu ya wahuni.

hii itapelekea chaos nchini kwa kupanda kwa kila bidhaa na gharama za maisha..Tukumbuke kuwa wahuni walidhibitiwa vilivyo sasa wanataka warudishe faida waliyokosa.
Inshort MaCCM yote ni madhalimu full stop.
 
Kama wahuni wanaosemwa na Ndugu Polepole wakiachwa tutashuhudia kila kitu kinapanda bei na kila inayoitwa leo tutashuhudia upuuzi tuliowahi kuondokana nao.

Bei ya mafuta ya kula na ya magari zitapanda kwa saabu ya wahuni.

hii itapelekea chaos nchini kwa kupanda kwa kila bidhaa na gharama za maisha..Tukumbuke kuwa wahuni walidhibitiwa vilivyo sasa wanataka warudishe faida waliyokosa.
Na wahuni ni wana CCM ,na wataendelea kutamba sababu wanalindwa na dora
 
Back
Top Bottom