Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Kama lile chizi halipo ikulu basi ngoja litokee lolote poa tu.Kama wahuni wanaosemwa na Ndugu Polepole wakiachwa tutashuhudia kila kitu kinapanda bei na kila inayoitwa leo tutashuhudia upuuzi tuliowahi kuondokana nao.
Bei ya mafuta ya kula na ya magari zitapanda kwa saabu ya wahuni.
hii itapelekea chaos nchini kwa kupanda kwa kila bidhaa na gharama za maisha..Tukumbuke kuwa wahuni walidhibitiwa vilivyo sasa wanataka warudishe faida waliyokosa.ka
Mpaka uterezi(Dsm economic indicator) umepanda bei!Kama wahuni wanaosemwa na Ndugu Polepole wakiachwa tutashuhudia kila kitu kinapanda bei na kila inayoitwa leo tutashuhudia upuuzi tuliowahi kuondokana nao.
Bei ya mafuta ya kula na ya magari zitapanda kwa saabu ya wahuni.
hii itapelekea chaos nchini kwa kupanda kwa kila bidhaa na gharama za maisha..Tukumbuke kuwa wahuni walidhibitiwa vilivyo sasa wanataka warudishe faida waliyokosa.
unakumbuka kilichowakuta wahuni wa Sukari na Mafuta?
Kwani mafuta ya kupikia lita moja ni shilingi ngapi kwa sasa? Je January 2021 yalikuwa shilingi ngapi?Kweli kabisa kama mafuta ya kupikia yamepanda mara tatu mfululizo, huu nao ni uhuni.
Nijuavyo mimi bei ya mafuta ya kula na sukari zilipanda tangu enzi za hayati.
Wapi nimesema kuwa hazijapanda toka enzi za Hayati?Nijuavyo mimi bei ya mafuta ya kula na sukari zilipanda tangu enzi za hayati.
Sasa hivi hakuna mzarendo kuna wahuni tuNani unayemuona Mzalando kwa sasa Chief? Maneno na matendo yao havilingani hata kidogo.
Nobody cares, haiwezekan mafuta lita 20 elfu 98, mbolea DAP laki na kumi... viongozi wetu kimyaa!
Wote wahuni tu,haka ka chalii katuambie katarudishaje pesa za umma kalizonunulia wapinzani kakidai wanaunga juhudiHii mbona kama inaleta tafsiri kwamba CCM wote ni wahuni tu, Polepole aliongea nini kuhusu katiba mpya kabla hajapata uteuzi CCM, leo anaongea nini baada ya kukosa uteuzi CCM, hichi chama kila anayekosa ulaji basi anaona wenzake Wahuni.
Kweli kabisa Chief😂Sasa hivi hakuna mzarendo kuna wahuni tu
Hakuna chaos itakayotokea kwa sababu ya kupanda bei vitu. Watanzania ni watu wajinga sana, au nasena uongo jingalao?Kama wahuni wanaosemwa na Ndugu Polepole wakiachwa tutashuhudia kila kitu kinapanda bei na kila inayoitwa leo tutashuhudia upuuzi tuliowahi kuondokana nao.
Bei ya mafuta ya kula na ya magari zitapanda kwa saabu ya wahuni.
hii itapelekea chaos nchini kwa kupanda kwa kila bidhaa na gharama za maisha..Tukumbuke kuwa wahuni walidhibitiwa vilivyo sasa wanataka warudishe faida waliyokosa.
Moja ya sababu ya upinzani kutokuja kushika hii nchi ni upumbavu wa kupambana na Hayati Magufuli kufa na kupona kuliko utawala uliopo. Wewe kila thread ni Magufuli Magufuli Magufuli.......Ulishawahi jiuliza matokeo ya hizi chuki zako dhidi ya Hayati?Bei zilianza kupanda kipindi cha yule kiongozi muovu ambaye Mungu kamuondoa bila damu kumwagika. Ukitaka kuleta propaganda mfu uwe na kumbukumbu ya hayo, maana ushahidi upo.
Wahuni ndio wakubwa kwenye chama na serikali sasa hivi, kwa hiyo makapuku tutegemee maumivu tu.Kama wahuni wanaosemwa na Ndugu Polepole wakiachwa tutashuhudia kila kitu kinapanda bei na kila inayoitwa leo tutashuhudia upuuzi tuliowahi kuondokana nao.
Bei ya mafuta ya kula na ya magari zitapanda kwa saabu ya wahuni.
hii itapelekea chaos nchini kwa kupanda kwa kila bidhaa na gharama za maisha..Tukumbuke kuwa wahuni walidhibitiwa vilivyo sasa wanataka warudishe faida waliyokosa.
Moja ya sababu ya upinzani kutokuja kushika hii nchi ni upumbavu wa kupambana na Hayati Magufuli kufa na kupona kuliko utawala uliopo. Wewe kila thread ni Magufuli Magufuli Magufuli.......Ulishawahi jiuliza matokeo ya hizi chuki zako dhidi ya Hayati?