Wahuthi wazifikia meli zinazowakimbia.Waanza kupiga ndani ya bahari ya Mediteranean

Wahuthi wazifikia meli zinazowakimbia.Waanza kupiga ndani ya bahari ya Mediteranean

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mashirika mengi makubwa ya kusafirisha mizigo zimeacha kutumia njia ya bahari ya mkato kupitia bahari nyekundu na Suez kutokana na mashambulizi ya wanamgambo wa Houth walioahidi kuzipiga meli zinazoelekea au kutoka Israel wakiwa na lengo la kuwasaidia watu wa Gaza.

Meli hizo imebidi zipite mbali na Yemen na kuzungukia Afrika kusini jambo ambalo limeongeza muda na gharama za safari.Hata hivyo wapiganaji hao sasa wamepata teknolojia ya kuzifikia meli hizo umbali huo zinakopita.

Hapo juzi waliipiga meli iitwayo MV Sarah iliyokuwa umbali wa meli za nautical 246 masafa ya kutoka Dar es salaam na Mtwara.

Mbali ya shambulio hilo leo tena kwa mara ya mwanzo wanamgambo hao wametangaza kuilenga meli kwenye bandari ya Haifa ambayo ni bandari kubwa ya Israel kule meli zinazozungukia Afrika kusini huenda kutia nanga.

Yemen's Houthis say they targeted 'MSC Sarah V' vessel in Arabian Sea

 
Mashirika mengi makubwa ya kusafirisha mizigo zimeacha kutumia njia ya bahari ya mkato kupitia bahari nyekundu na Suez kutokana na mashambulizi ya wanamgambo wa Houth walioahidi kuzipiga meli zinazoelekea au kutoka Israel wakiwa na lengo la kuwasaidia watu wa Gaza.

Meli hizo imebidi zipite mbali na Yemen na kuzungukia Afrika kusini jambo ambalo limeongeza muda na gharama za safari.Hata hivyo wapiganaji hao sasa wamepata teknolojia ya kuzifikia meli hizo umbali huo zinakopita.

Hapo juzi waliipiga meli iitwayo MV Sarah iliyokuwa umbali wa meli za nautical 246 masafa ya kutoka Dar es salaam na Mtwara.

Mbali ya shambulio hilo leo tena kwa mara ya mwanzo wanamgambo hao wametangaza kuilenga meli kwenye bandari ya Haifa ambayo ni bandari kubwa ya Israel kule meli zinazozungukia Afrika kusini huenda kutia nanga.

Yemen's Houthis say they targeted 'MSC Sarah V' vessel in Arabian Sea

Ni jambo jema lakuigwa kwanini utoroke ruti uzungukie mbali sasa kipigo kipo pale pale
 
Houth wamechukua mkondo mbaya watakuja kujua wakiwa kwenye vifusi.
 
Hii Sasa ndiyo maana halisi ya uchokozi..... Uchokozi dhahiri shahiri.....
 
Back
Top Bottom