Waiba mafuta kwenye malori na madereva lao moja

Waiba mafuta kwenye malori na madereva lao moja

Black Opal

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2023
Posts
233
Reaction score
298
Wakuu,

Aisee muda wote nilipokuwa naona hawa watu wanaiba mafuta nilijua ni ile ya kiwiziwizi tu kumbe ni mchongo kati ua dereva na hawa vibaka. Bosi unapigwa kila siku huku watu wanajifanyia yao.

Katika harakati za maisha mjini barabara ya Mandela hii kwenye foleni nikaona huyo mwamba anajaribu kufungua ili achote mafute, basi nikachukua ka simu kangu nichukue hilo tukio lengo nimdake huyo mwizi, si ndio mwishoni kwa mshagao wangu jamaa alipomaliza kampa ishara dereva kuwa tayari nishamaliza, nashukuru mkuu.

Hii ni hatari, muda wowote kinaweza kikawaka hapo na wewe maskini huna moja wala mbili unaenda kusaka ugali wako unawaka moto, wanakutanguliza kwa Sir God mapema.

 
Hayakuhusu, Fanya yako.

Hao wanakinga Mabaki ya kwenye tank wakati gari imeshatoka kushusha mzigo.

Mkishanunuwa vitecno vyenu basi inakuwa shida mjini hata sehemu ya kutowa msaada washamba kama wewe mnaanza kurecord video
Kuchukua mabaki ama sio, hiyo ni njia salama ya kuchukua mabaki? Yakipata moto HAYAWAKI kwakuwa ni mabaki?
 
Wambea utawajua tu hata vitu vya kipuuzi unavifuatilia aliyekwambi pale anaiba mafuta ni nani hivi mafuta yanaibwa hadharani kizembe vile .... yale ni mabaki ingekuwa mafuta yana waka kirahisi kama ulivyo elezea magari yasinge bebq mafuta kabisa ..... kuna vitu ukivijulia ukibwani tena mjini ni tabu kweli kweli
 
Wakuu,

Aisee muda wote nilipokuwa naona hawa watu wanaiba mafuta nilijua ni ile ya kiwiziwizi tu kumbe ni mchongo kati ua dereva na hawa vibaka. Bosi unapigwa kila siku huku watu wanajifanyia yao.

Katika harakati za maisha mjini barabara ya Mandela hii kwenye foleni nikaona huyo mwamba anajaribu kufungua ili achote mafute, basi nikachukua ka simu kangu nichukue hilo tukio lengo nimdake huyo mwizi, si ndio mwishoni kwa mshagao wangu jamaa alipomaliza kampa ishara dereva kuwa tayari nishamaliza, nashukuru mkuu.

Hii ni hatari, muda wowote kinaweza kikawaka hapo na wewe maskini huna moja wala mbili unaenda kusaka ugali wako unawaka moto, wanakutanguliza kwa Sir God mapema.

Acha ushamba na ujinga kitu km hujui ni bora ukauliza kuliko kujifanya mjuaji hilo tanker linakua limetoka kushusha so huyo anaechuja anachuja yaliyobaki tu je ulishawah kuona gari inayoenda safari wanafanya hv nyie watu wengine wapumbavu kweli
 
Acha ushamba na ujinga kitu km hujui ni bora ukauliza kuliko kujifanya mjuaji hilo tanker linakua limetoka kushusha so huyo anaechuja anachuja yaliyobaki tu je ulishawah kuona gari inayoenda safari wanafanya hv nyie watu wengine wapumbavu kweli
Mtoa mada sijui ana hali gani huko kueni na huruma wadau duh. Sema namimi na kazia mulemule
 
Wakuu,

Aisee muda wote nilipokuwa naona hawa watu wanaiba mafuta nilijua ni ile ya kiwiziwizi tu kumbe ni mchongo kati ua dereva na hawa vibaka. Bosi unapigwa kila siku huku watu wanajifanyia yao.

Katika harakati za maisha mjini barabara ya Mandela hii kwenye foleni nikaona huyo mwamba anajaribu kufungua ili achote mafute, basi nikachukua ka simu kangu nichukue hilo tukio lengo nimdake huyo mwizi, si ndio mwishoni kwa mshagao wangu jamaa alipomaliza kampa ishara dereva kuwa tayari nishamaliza, nashukuru mkuu.

Hii ni hatari, muda wowote kinaweza kikawaka hapo na wewe maskini huna moja wala mbili unaenda kusaka ugali wako unawaka moto, wanakutanguliza kwa Sir God mapema.

mtafutie ajira aache wizi
 
Acha ushamba na ujinga kitu km hujui ni bora ukauliza kuliko kujifanya mjuaji hilo tanker linakua limetoka kushusha so huyo anaechuja anachuja yaliyobaki tu je ulishawah kuona gari inayoenda safari wanafanya hv nyie watu wengine wapumbavu kweli
Hawa ni wapumbavu waliokuja mjini na mbio za mwenge au wanaokaa mjini kwa Shemeji.
 
Reply zote hapo juu zimenishangaza na kunifikirisha. Wanaona ni sahihi kabisa kwa kilichofanyika tena wanakitetea kwa kejeli na matusi.
Sio sahihi ila jamaa katoa taarifa za kikuda na kijinga halaf ukiona tanker ambazo wanatoa mafuta hivyo ni zile tanker zilizotengenezwa nchini au kenya coz hua hazimalizi mafuta yote lkn tanker ya south africa au iliyotoka china uturuki huwez kukuta wanafanya hv coz ukishusha znamaliza mafuta yote

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
Wambea utawajua tu hata vitu vya kipuuzi unavifuatilia aliyekwambi pale anaiba mafuta ni nani hivi mafuta yanaibwa hadharani kizembe vile .... yale ni mabaki ingekuwa mafuta yana waka kirahisi kama ulivyo elezea magari yasinge bebq mafuta kabisa ..... kuna vitu ukivijulia ukibwani tena mjini ni tabu kweli kweli
Kumbe mafuta yakiwa mabaki hayawaki....asante kwa elimu nilikuwa sijui hili😂😂😂
 
Acha ushamba na ujinga kitu km hujui ni bora ukauliza kuliko kujifanya mjuaji hilo tanker linakua limetoka kushusha so huyo anaechuja anachuja yaliyobaki tu je ulishawah kuona gari inayoenda safari wanafanya hv nyie watu wengine wapumbavu kweli
Kwahiyo kwa kitendo hiko anakuwa anasaidi kusafisha tenki? Tuyaache hayo....kitendo hicho ni salama au la...ndio nyie nyie kikiwaka mnaanza kulaumu mamlaka wakati mnatetea wenyewe ujinga
 
Yakiwaka moto ww ina kuhusu nn?
Mwenyewe umecomment bonge la jiwe. Kama kuna tobo kwenye uzi wa mtu si unaweka sawa na kueleza vizuri watu waelewe....kutetea ujinga unaoweza kuleta madhara kwakuwa tu hayo ni mabaki kama ulivyoeleza sio sawa
 
Sio sahihi ila jamaa katoa taarifa za kikuda na kijinga halaf ukiona tanker ambazo wanatoa mafuta hivyo ni zile tanker zilizotengenezwa nchini au kenya coz hua hazimalizi mafuta yote lkn tanker ya south africa au iliyotoka china uturuki huwez kukuta wanafanya hv coz ukishusha znamaliza mafuta yote

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
Ilibidi ueleze kwa sisi tuliokuwa hatujui hili tuelewe na uongeze elimu kama hivyo kuwa za tz zinatengenezwa kimkakati, kumshambulia mtu kwa matusi na kejeli hakukufanyi kuwa mwamba wala nini
 
Mwenyewe umecomment bonge la jiwe. Kama kuna tobo kwenye uzi wa mtu si unaweka sawa na kueleza vizuri watu waelewe....kutetea ujinga unaoweza kuleta madhara kwakuwa tu hayo ni mabaki kama ulivyoeleza sio sawa
Madhara acha yatokee tu ili wafe watu wenyewe maskini sasa unataka waishi ili iweje

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
Ilibidi ueleze kwa sisi tuliokuwa hatujui hili tuelewe na uongeze elimu kama hivyo kuwa za tz zinatengenezwa kimkakati, kumshambulia mtu kwa matusi na kejeli hakukufanyi kuwa mwamba wala nini
Huyo ni mshamba tu ilitakiwa aulize sio kusema dereva na wez wa mafuta lao moja yaani ni km ana uhakika na anachokisema

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom