cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
Ulizoea kuitwa honey sweet potato, sweet pie sasa hivi unaitwa "Yaani hili lijanaume linanikera kweli"
ulivyoongea hapo nilipopigia mstari ni sawa lkn ni tofauti na usaliti.hakuna mke analemewa na mumewe,na kichwa cha nyumba kina wajibu wakuimarisha upendo na furaha ktk ndoa sio kuivuruga kwa kutoka nje!
acheni kutetea KUSALITI NDOA ZENU mnatuolea nini kama mnatukosea huruma kwa kutusaliti!
laiti mngejua inavyouma hata msingesema uwiii acha tu jamani.
mkitulia tutakua viumbe wenye furaha sana!
japo nimecheka...mie kipindi kile nilimwambia nimemsamehe(na kweli nilimsamehe kuoka moyoni)lakini hakuamni, nilikuwa nikijigeuza anash2ka anajifanya kunywa maji, nikifanya hivi anashtuka, alikuwa halali akihofia nitamfunika na mto ucngizini, alikuwa aapata ucngizi asubuhi mie nikiamka.......mnajitakia matatizo sana nyie.
Ndibalema:
Ukitaka kuhakikisha kama Wife amekusamehe fanya yafuatayo:
1. Nunua cellphone nyingine
2. Weka hiyo line yako ya "siri"
3. Save jina "halisi" la huyo "mpenzi wa siri" kwenye phonebook ya hiyo simu
4. Hakikisha wife yupo around : probably baada ya kazi afte dinner/supper
5. Mbeep huyo "mpenzi wa siri" au mtumie "please call me"
6. Halafu acha hiyo simu kwenye "arm reach ya wife" na utoke nje for few minutes
7. Obviously "mpenzi wasiri" ataku-call back while upo nje na wife anaweza kuangalia with confidence "who is the caller"
8. Ukirudi ndani nakuhakikishia utapata kujua kama MSAMAHA ni wa KWELI!!!!!!!!!!
Ndibalema:
Ukitaka kuhakikisha kama Wife amekusamehe fanya yafuatayo:
1. Nunua cellphone nyingine
2. Weka hiyo line yako ya "siri"
3. Save jina "halisi" la huyo "mpenzi wa siri" kwenye phonebook ya hiyo simu
4. Hakikisha wife yupo around : probably baada ya kazi afte dinner/supper
5. Mbeep huyo "mpenzi wa siri" au mtumie "please call me"
6. Halafu acha hiyo simu kwenye "arm reach ya wife" na utoke nje for few minutes
7. Obviously "mpenzi wasiri" ataku-call back while upo nje na wife anaweza kuangalia with confidence "who is the caller"
8. Ukirudi ndani nakuhakikishia utapata kujua kama MSAMAHA ni wa KWELI!!!!!!!!!!
Cheusi acha ubishi basi mpenzi. Hebu msome baba Enock vizuri na umwelewe. Sawa mama?
Nikiwa kama kichwa cha familia nitaimarishaje UPENDO ndani ya nyumba wkt ww mwenyewe huna hata dalili za kulinew penzi la zamani? Yaani hapo lazima nitafute sehemu ya kujiweka nijifariji maana PENZI la nyumbani limechuja
sasa na wewe pia si unawajibu wa kurenew hilo penzi la home lililochuja?kwani usaliti ndo solution?
ngoma ndrooMsaada wenu wa mawazo please.
Juzi Nimerudi kutoka safari ya kikazi na kwa bahati mbaya wife ameibamba sim card yangu ya siri(ambayo yeye alikuwa haijui)
Kwenye hiyo laini kuna sms za hatari amezikuta ambazo mtu mzima nimeshindwa kabisa kujitetea kwani mambo ni hadharani.
Ikabidi nimwombe radhi wife na nikamwambia ni shetani tu.
Cha ajabu wife wangu ambaye ni mtata sana akanisamehe kirahisi sana bila kuleta songombingo.
Wakati sio kawaida yake kwani siku za nyuma kama akitilia shaka jambo hata kama si la kweli basi moto wake si wa kitoto.
Jamani hivi wife kanisamehe kikweli kweli au anapanga 'revenge' ambayo nitakiona cha moto?
Au na yeye yapo mabaya yake hivyo kaona haina haja ya kulianzisha?
Mwenzenu nina hofu kweli.
sasa na wewe pia si unawajibu wa kurenew hilo penzi la home lililochuja?kwani usaliti ndo solution?
Mkuu hii ishu na wewe ilikutokea?
Amekusamehe - Wewe endelea tu na akina "Anjelina" as usual:
Usijaribu hata kidogo kubadilisha "life-style" : Tafuta sim card nyingine ya "siri" uedelee na mawasiliano ya "siri"
Concept ya Mke-Mmoja Mme-Mmoja imepitwa na wakati : Watu wana-pretend tu!
naona maradhi unayafuga mwenyewe toka lini mama ndio akawa father house unaona sasa matokeo yake hayo chukua nafasi yako kama kinara kwenye nyumbaDada yangu kinachosababisha nipige kazi za nje ni tabia ya waifu wangu.
Yaani ni mtu wa kununa nuna tu, mara nyingi huwa ni mkali sana.
Nampenda sana lakini pia nahitaji 'peace of mind'.
Amekuwa tofauti na kipindi kile cha uchumba, yeye ndo kama baba mwenye nyumba.
Bwana Ndibalema, nijuavyo mimi...msgs huwa hazikai katika simcard kama ulivyosema, na zinakaa katika simu yenyewe, kama nitakuwa nimekosea naomba ufafanuzi