Waifu kanisamehe kikweli kweli au?

Huko kwetu sisi ndio vichekesho, cm yake aliweka password kitamboooo.....bac na mie alhamdulilah nikapewa ya ofisi ambayo ina uezo wa kuwekwa password. Na mie nikaweka (tho hamna chochote cha ajabu kinachonifanya niweke), basi silali usingizi..mara ooh, na cm yako siku hizi umeweka password! Nabaki nachekea tumboni, kasahau kabisa kama yake ina password!

Anyways, nafikiri cha msingi ni kukwepa hizo cm, inaweza ikaita mpaka ikakata...wala sitaki kuisogelea.
 
kwa kweli....chaaa! halafu unasoma inbox na sent, hayo malavidavi yaliyopo humo kama sio strong c mbalii itakuhusu ukute ndio wale wanaowaamini waume zao 101%...pweee.

Nyamayao ni muhimu sana mke kumuamini mme wake....ila mke asipende kufukunyua yalofichwa.....
 
amekusamehe lakini kuna sababu mbili kuu
1.wewe huna tabia ya kuomba msamaha au kuongea lugha ya kushuka,ila kwa hili uliweza kushuka na ndio maana akakusamehe kirahisi amejua kweli umekili kosa na hutorudia.

2.inawezekana na yeye ana ishu kama hiyo au alikua nayo,ya kuwa na sim card nyingine ya magumashi au mawasiliano na mtu mwingine,hivyo ameona asipokusamehe na yeye siku likibumbuluka atakosa msamaha au yatakua makubwa zaidi.

ALL OF U TAKE CARE!!:hand:
 
kwa kweli....chaaa! halafu unasoma inbox na sent, hayo malavidavi yaliyopo humo kama sio strong c mbalii itakuhusu ukute ndio wale wanaowaamini waume zao 101%...pweee.

Wanawake wanapaswa kuwaamini waume zao kwa 100% ukimwamini kwa 101% ndio hapo sasa unapata kichaa cha kuperuzi simu za mumeo. Mwanamke mwadilifu HAPASWI kumchunguza mumewe.
 
Nyamayao ni muhimu sana mke kumuamini mme wake....ila mke asipende kufukunyua yalofichwa.....


mie wangu namwanimi kwa kiwango ninachokijua mie, kiwango ambacho kitanidhuru kwa afya in case kikitokea cha kutokea...
 
Wanawake wanapaswa kuwaamini waume zao kwa 100% ukimwamini kwa 101% ndio hapo sasa unapata kichaa cha kuperuzi simu za mumeo. Mwanamke mwadilifu HAPASWI kumchunguza mumewe.

apia kaka.....
 

Hivi hapa namsoma mjukuu wangu au memba mpya wa ISC? Katibu, hebu peruzi makabrasha hapo!:llama::llama::llama:
 
apia kaka.....

Niapie kwa jina lipi? Utamchunguzaje mmeo wakati UNA UHAKIKA lazima atakuwa na msaidizi wako? Hivi wanawake mbona hampendi kunielewa? Mwanamme yoyote RIJALI hawezi kuridhishwa na mwanamke mmoja. Narudia tena RIJALI!!
 
Hivi hapa namsoma mjukuu wangu au memba mpya wa ISC? Katibu, hebu peruzi makabrasha hapo!:llama::llama::llama:

Konfidensho....hapendi nitaje status yake ya uanachama hadharani....:A S-omg:
 
Hommie bado unatumia blackberry ya kichina?


aa wapi ni hii model ya 9700 LOL....sasa sijui hawa jamaa vipi...au kusajili namba imekuwa kosa?

By the way hivi hommie umenionea Smiles.....?
 
Niapie kwa jina lipi? Utamchunguzaje mmeo wakati UNA UHAKIKA lazima atakuwa na msaidizi wako? Hivi wanawake mbona hampendi kunielewa? Mwanamme yoyote RIJALI hawezi kuridhishwa na mwanamke mmoja. Narudia tena RIJALI!!



mie huwa cmchungi, lakini wapo wanaochunga na nadhani wana haki ya kuwachunga....kuhusu urijali wake kama anaona ni lazima tushee bac nicmbambe tu...kwa kweli sasa hivi nikimbamba ctakuwa na huruma nae tena , hilo analijua kabisa...
 
aa wapi ni hii model ya 9700 LOL....sasa sijui hawa jamaa vipi...au kusajili namba imekuwa kosa?

By the way hivi hommie umenionea Smiles.....?

Kama una namba ya Beauty, hawa ni mapacha. Mbipu atakupigia then atakueleza Smiles kaelekea gesti gani.......... Vipi uko tayari tayari au mpaka upashe na valuu kidogo?
 

mie huwa cmchungi, lakini wapo wanaochunga na nadhani wana haki ya kuwachunga....kuhusu urijali wake kama anaona ni lazima tushee bac nicmbambe tu...kwa kweli sasa hivi nikimbamba ctakuwa na huruma nae tena , hilo analijua kabisa...

Na huyo mme wako yukoje mpaka akafanya kosa kubwa la kubambwa?
 
Cousin samaki wa mwanza ndio wanakufanya usahau members wa chama chako
We acha tu, mungu anaumba sana kanda ya ziwa...nadhani hilo ndio kubwa zaidi, hata suruali huku hazivaliwi sana ni sketi tu:loco:
 

Tafadhali, jiunge na IPC, vinginevyo, ISC waseme kifungu ulichobreach katika kanuni zao....!
 
Na huyo mme wako yukoje mpaka akafanya kosa kubwa la kubambwa?

alijisahau kabisa...halafu tulikuwa kwenye matatizo matatizo, bac akachukulia kirahic, nashindwaga kuelewa kama kweli alikuwa anajiamni na alichokuwa anafanya kwanini cku zile alitimua mbio....angenipa hata dk 3 tu....mschwe!
 
alijisahau kabisa...halafu tulikuwa kwenye matatizo matatizo, bac akachukulia kirahic, nashindwaga kuelewa kama kweli alikuwa anajiamni na alichokuwa anafanya kwanini cku zile alitimua mbio....angenipa hata dk 3 tu....mschwe!

basi wanoko kama nyie ndo wepesi kweli kuibiwa. Take it from me!
 

Is it real you baba enock?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…