kwa kweli....chaaa! halafu unasoma inbox na sent, hayo malavidavi yaliyopo humo kama sio strong c mbalii itakuhusu ukute ndio wale wanaowaamini waume zao 101%...pweee.
si unajua kuwa wife hana tabia ya kuchunguza simu halafu msg nyingine tamu mpk unataka uirudie rudie (ila mie simo)
kwa kweli....chaaa! halafu unasoma inbox na sent, hayo malavidavi yaliyopo humo kama sio strong c mbalii itakuhusu ukute ndio wale wanaowaamini waume zao 101%...pweee.
Nyamayao ni muhimu sana mke kumuamini mme wake....ila mke asipende kufukunyua yalofichwa.....
Wanawake wanapaswa kuwaamini waume zao kwa 100% ukimwamini kwa 101% ndio hapo sasa unapata kichaa cha kuperuzi simu za mumeo. Mwanamke mwadilifu HAPASWI kumchunguza mumewe.
Sasa hapo ndipo ulipokosea best duh I wish ungetutonya mapema kabla hujapiga kazi mkuu. Yaani pale ulitakiwa ucheze kuliko pele (hivi wachezaji guru wa mpira kwa sas hivi ni kina nani tena? Kaizer atakutajia majina yao). Yaani unajikunja kiasi kwamba anahisi pengine hujawahigawa nje na zile sms ni za utani tu. Unamaliza mchezo lol
A good s..x is medicine to all diseases (...in one package).
Hakikisha next time hu-underperform!!
(nyamayao... kuna mtu kaiba password yangu wallah hata si mimi)
apia kaka.....
Hivi hapa namsoma mjukuu wangu au memba mpya wa ISC? Katibu, hebu peruzi makabrasha hapo!:llama::llama::llama:
Hommie bado unatumia blackberry ya kichina?
Niapie kwa jina lipi? Utamchunguzaje mmeo wakati UNA UHAKIKA lazima atakuwa na msaidizi wako? Hivi wanawake mbona hampendi kunielewa? Mwanamme yoyote RIJALI hawezi kuridhishwa na mwanamke mmoja. Narudia tena RIJALI!!
aa wapi ni hii model ya 9700 LOL....sasa sijui hawa jamaa vipi...au kusajili namba imekuwa kosa?
By the way hivi hommie umenionea Smiles.....?
mie huwa cmchungi, lakini wapo wanaochunga na nadhani wana haki ya kuwachunga....kuhusu urijali wake kama anaona ni lazima tushee bac nicmbambe tu...kwa kweli sasa hivi nikimbamba ctakuwa na huruma nae tena , hilo analijua kabisa...
We acha tu, mungu anaumba sana kanda ya ziwa...nadhani hilo ndio kubwa zaidi, hata suruali huku hazivaliwi sana ni sketi tu:loco:Cousin samaki wa mwanza ndio wanakufanya usahau members wa chama chako
Msaada wenu wa mawazo please.
Juzi Nimerudi kutoka safari ya kikazi na kwa bahati mbaya wife ameibamba sim card yangu ya siri(ambayo yeye alikuwa haijui)
Kwenye hiyo laini kuna sms za hatari amezikuta ambazo mtu mzima nimeshindwa kabisa kujitetea kwani mambo ni hadharani.
Ikabidi nimwombe radhi wife na nikamwambia ni shetani tu.
Cha ajabu wife wangu ambaye ni mtata sana akanisamehe kirahisi sana bila kuleta songombingo.
Wakati sio kawaida yake kwani siku za nyuma kama akitilia shaka jambo hata kama si la kweli basi moto wake si wa kitoto.
Jamani hivi wife kanisamehe kikweli kweli au anapanga 'revenge' ambayo nitakiona cha moto?
Au na yeye yapo mabaya yake hivyo kaona ngoma ndroo haina haja ya kulianzisha?
Mwenzenu nina hofu kweli.
Na huyo mme wako yukoje mpaka akafanya kosa kubwa la kubambwa?
alijisahau kabisa...halafu tulikuwa kwenye matatizo matatizo, bac akachukulia kirahic, nashindwaga kuelewa kama kweli alikuwa anajiamni na alichokuwa anafanya kwanini cku zile alitimua mbio....angenipa hata dk 3 tu....mschwe!
Amekusamehe - Wewe endelea tu na akina "Anjelina" as usual:
Usijaribu hata kidogo kubadilisha "life-style" : Tafuta sim card nyingine ya "siri" uedelee na mawasiliano ya "siri"
Concept ya Mke-Mmoja Mme-Mmoja imepitwa na wakati : Watu wana-pretend tu!