Waigizaji maarufu ambao wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Hakuna sheria inayozuia kuoa mtu aliekuzidi miaka, but sheria ipo inayotambua kosa la kuoa nduguyo na tunajumuisha kwenye criminal offence
Sent using Jamii Forums mobile app
 
system ya dunia inataka kushawishi watu weng wawe mashoga dunian so wanachofanya ni kuwafata mastaa weng ambao wana wafuasi weng wajitangaze kuwa ni mashoga ili wawavutie wengine hasa wanaowapenda kuwaiga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm huwa hata sielewi ebu tenganisha wanauliwa tigo na wanaokula wenzao au wanakulana zamu kwa zamu au ndio mmoja anakuwa mwanamke yani yy anakuwa ameolewa km demu daaa dunia hii????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…