Tetesi: Waihiga Mwaura kuwa Mrithi wa Salim Kikeke BBC

Uyo shule yake kama madrasa basi tabat ada
 
Hamzijui figisu za Kenya nyie wadau! Tanzania watangazaji wa kupiga kazi BBC mbona wapo! Sasa shida ni connection. Wakenya wanavutana palipo na fursa!
 
Radio free Africa ,Tbc ,ITV wapo vizuri japo wameanza kutoka kwenye quality yao..
 

Tunasubiri uteuzi.
 
unawapamba wakenya kwamba wanapeana fursa as if Kikeke nae Mkenya. Shida ya Wabongo hata ukimuunganisha sehemu ataharibu kwa kuiba au kuleta ujuaji na uvivu
Sasa hapo nimewapamba au ndivyo walivyo? Wanajuana kupeana fursa. Hivi unaamini kwa Kiswahili cha Kenya watuzidi kwenye utangazaji kweli? Mbona Tanzania wapo watangazaji wazuri tu! Hebu jaribu kufuatilia uone kama hiyo Idhaa ya Kiswahili ya BBC haijakamatwa na Mkenya!
 
Mnapenda kudharau watu sijui kwa nn?, kama watangazaji Tanzania elimu zao ni za hovyo,na hawa akina hilal,tido,yunus,kikeke ni warundi?,kama kenya wao wamejipanga,wameiongoza BBC watangazaji wangapi toka kenya?. Vijana waleo shida yao sijui ni njni?, mnaonekana kama wasomi wasio kuwa na elimu.
 
Hata chuo kikuu miaka ya nyuma tulikua na professor wenye majina makubwa kwenye kila department, unatamani kumsikiliza, sasa neenda udom na udsm uone ma profesor uliopo hawana hata academic popularity, sasa hivi tunarudi reverse sio mbele tena.
Sababu serikali inaingilia mambo, inataka wanafunzi wafaulishwe kwa lazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…