tema mateMpuuzi ww unaongea ushuzi.
Inamaana kipindi cha ramadhani huko znz watu hawali?Kumuua mtu kisa hajafunika kichwa ni imani za kijinga sana. Inaonekana wairan wamechoka.
Mbona Qatar wanaiman yao lkn haijafikia hatua ya kuua mtu.
Pale Zanzibar kipindi cha Ramadhan wanatembea na fimbo kuchapa watu wanaokula.
Iran hakuna kurudi nyuma, ni mwendo wa kusonga mbele.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dini ya mnyezi aina mchezoZanzibar ukitafuna pipi mwezi wa ramadhani bakora za mgongo zinakuhusu
Pole kwa kupoteza. Gawa mali hiyo aitafune mwingineAlikuwa mume wa Baba yako
Wewe ungekuwa na akili ungekuwa unalalamika hapa? Shwain!!!!Akili yako fupi kama kimba tafuta choo uyafutike.
Anaekula anatakiwa akale nyumbani kwake au hotelini kwenye chumba chake, siyo barabarani.Inamaana kipindi cha ramadhani huko znz watu hawali?
Ushoga ni tabia ya mtu. Mbona huko Mombasa ambapo waislam ni wengi lkn mashoga wapo? Hapa Tanzania hakuna mashoga?Hadi wawe mashoga
Ukiipeleka hii Iran wewe unayechapa watu ndio kibao kitakugeukiaAnaekula anatakiwa akale nyumbani kwake au hotelini kwenye chumba chake, siyo barabarani.
Kwahiyo mtu akila umemtamanisha? Mambo km haya wairan wameyachoka.Anaekula anatakiwa akale nyumbani kwake au hotelini kwenye chumba chake, siyo barabarani.
Unaanzaje kula? Kipindi cha Ramadhan. Wamama ntilie na sehemu zote zinazouza chakula zinafungwa hiyo ni lazima.Inamaana kipindi cha ramadhani huko znz watu hawali?
Had nyama ya ngombe watataka wachinje wao?nakazia
ni upuuzi wa hali ya juu.. yaani wale wapuuzi wakishavaa makobazi na yale magauni ya waarabu wanajiona wamekata tiketi ya peponi halafu walivyo wapuuzi wakija kwako bila kuchinja wao hawali
Yani lazima mtafute njia muingize jina la JPM kwenye mijadala pumbav sana
nakazia
ni upuuzi wa hali ya juu.. yaani wale wapuuzi wakishavaa makobazi na yale magauni ya waarabu wanajiona wamekata tiketi ya peponi halafu walivyo wapuuzi wakija kwako bila kuchinja wao hawali
Ujinga mkubwa huu.Zanzibar ukitafuna pipi mwezi wa ramadhani bakora za mgongo zinakuhusu
Hizo propaganda zenu hazina ukweli ww.
habari za vijiweni
Alikuwa ibilisi anayekamata majizi. Nadhani na ww una viashiria vya uwizi manake jamii hiyo ndiyo inamchukia balaa!Labda ulikiwa mtoto c bure,yule huwezi mtenganisha na iblis maluun
Kwahiyo mtu akila umemtamanisha? Mambo km haya wairan wameyachoka.
Wakristo hufunga lkn huwezi sikia wamembughuzi mtu.
Nilisoma shule moja ya kiislam Mwanza. Kuna kiustadhi fulani kinapita na daftari kinaandikisha majina ya watu wenye majina ya kiislamu.
Sasa wasiende kuswali, kanakuja na mboko. Walikuwa wanachapwa mboko sasa unajiuliza nilazima kuswali?
Alikuwa ibilisi anayekamata majizi. Nadhani na ww una viashiria vya uwizi manake jamii hiyo ndiyo inamchukia balaa!