Waislam nyie wenyewe sheria zenu ngumu kuzitekeleza hivyo msiwe na misimamo sana legezeni tu

Waislam nyie wenyewe sheria zenu ngumu kuzitekeleza hivyo msiwe na misimamo sana legezeni tu

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Hii Dunia ya sasa mfumo umeegemea tu kwenye tamaduni za west mitandao na utandawazi hamuwezi kuepuka sana kwa sababu waislam wengi tu wanazivunja sheria mlizowekeana wenyewe halafu zinatokea vikundi eti jihadi kupigania dini ya mwenyezi wakati watu wenu wenyewe mambo mengi Kwa mfano wasanii wa muzik waislam wengi tu na huku dini yenu inasema kuimba nyimbo ni dhambi..

Au mfano Mwijaku anajiita sheikh na kaenda kuhiji ila Ona alivyompost mkewe public.

Kuna nini Tena hapo dini hiyo nzuri ila haitekelezi hata kdg so ni bora mtulie msiilazimishe hata kidogo Kwa sababu wenye dini wenyewe ndo kama hao wanavunja sheria wakina zuchu.
Screenshot_20240609-175603.png
Screenshot_20240609-175526.png
 
Wakigongewa wanakuja kulialia.

Anyway shemeji miguu mbona ina rangi nyinginyingi, huko miguuni ni urembo tu au ndio anatuambia anapiga miguu yote.
 
Hii Dunia ya sasa mfumo umeegemea tu kwenye tamaduni za west mitandao na utandawazi hamuwezi kuepuka sana kwa sababu waislam wengi tu wanazivunja sheria mlizowekeana wenyewe halafu zinatokea vikundi eti jihadi kupigania dini ya mwenyezi wakati watu wenu wenyewe mambo mengi Kwa mfano wasanii wa muzik waislam wengi tu na huku dini yenu inasema kuimba nyimbo ni dhambi..

Au mfano Mwijaku anajiita sheikh na kaenda kuhiji ila Ona alivyompost mkewe public.

Kuna nini Tena hapo dini hiyo nzuri ila haitekelezi hata kdg so ni bora mtulie msiilazimishe hata kidogo Kwa sababu wenye dini wenyewe ndo kama hao wanavunja sheria wakina zuchu.View attachment 3013123View attachment 3013124
Dini ni imani

Ilipaswa kila binadamu aamini anachoamini yeye bila kulazimishwa.

Mambo ya Dola za kiislamu ni kuwabana watu na kuwalazimisha katika hiyo dini, huku dini yenyewe inasema hailazimishi
 
Back
Top Bottom