Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

Sasa Cha ajabu ni kipi hapo?
 
Waislamu ni watu wa kuvumiliwa, kulindwa, kusaidiwa na kuongozwa.

Wakibaki wenyewe kama wenyewe ni vurugu tupu na umasikini. Mifano Somalia, Afghanistan, Pakistan, Iran. Ukanda wa pwani.
Ukweli Mtupu
 
na asilimia 70% ya matajiri Tanzania Ni waislamu, unajua sababu ????
Hiyo ni Rank ya Kitaifa na ya kidunia??? Kweli akili yenu inaishia kuona msikitini na mipaka ya TZ tu

Kwanza hao unaowasifia kuwa Matajiri sio Wabantu kama wewe wenye nywele ngumu na pua pana kama ngumi

Sasa badala umsifie Reginald Mengi mtanzania halisi na Mbantu aliyekuwa tajiri haswa unawasifia Watu wenye asili ya Asia kisa ni Waislam ndio maana mnaolewa nao.
 
Wai milembe,serikali imetoa offer itawalipia
 
Wala nguruwe wamechachamaa, kwani lazima kujenga kanisa pemba, wenyewe hawataki, wanahofia msije mkapeleka mambo ya Ushoga kule, maana washaona mfano rahisi mnavyomtetea huyo padri Chuo anayetuhumiwa kuliwati , it's means Ni vitu vya kawaida kwenu huko
 
Pemba wakristo wapo ..Tena wa kuzaliwa..

Hao wamakonde walokuwepo hapo Ni sawa na raia wengine ... .. labda Kama huijui asili ya wakaazi wa Pemba .. ..

Huyo mwarabu aliwakuta wenyeji weusi fiiii... .. . nyamwezi..makonde..watu wa kilwa ,bagamoyo. Kenya.. wamanyema wa Congo..nk.. .. nk..

Nakubali Ni wachache kwa vile wengi walisilimu.. .. lakini wakristo wapo Tena Ni wenyeji Kama raia wengine!

Siongei kwa kusikia .. .. .. tu..

Kuhusu makanisa mengine Hilo siungi.mkono japokiwa sijajua likitaka jengwa kanisa gani.. na Sina ujuzi nayo..

Hili Ni suala la mda tu.. .. kutabadilika.. wapemba kila sehemu tupo bara huko ..tunakoelekea sasa ndio Kama hivi.. ..na mahoteli kibao yanajengwa .. .. baada ya miaka michache kutakuwa Kama unguja!

Makosa yalishafanyika zamani.. haya ya sasa Ni matokeo tu.. ..
 
Mambo yakishoga zenji yapelekwe huko mara ngapi..waarabu walishagamaliza kazi kuhusu hilo la ushoga labda mnatake version nyingine ya ushoga.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kumbe unguja makanisa yako mengi tu?

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Yani wapeleke ushoga ulipozaliwa😂😂.
Hapa Tz ushoga umezaliws zanzibar
 
Hawana hata viatu, wanasubiri msaada kutoka kwa bakhressa.
Yaani nimeshangaa 99.9% ya waandamanaji wote wanaonekan ni hali mbaya kweli kweli na hao ndiyo chakula cha wanasiasa na viongozi, yaani wanatumika pasipo kujijua.
 
Kakudanganya nani na Mimi ni kwetu naishi huku?

Historia haifutiki ya ukombozi wa visiwa vyetu vya Zanzibar kutoka katika makucha ya Wareno. Oman baada ya wao kujikombowa na madhila chini ya utawala
wa Kireno kutoka 1508 hadi 1631 ndio ikawa sababu ya
kukombolewa Zanzibar.

Imam Seif alifanya ukombozi wa visiwa hivi. Alikubali maombi ya wazee wa Visiwa hivi na akatuma majeshi na kwenda Mombasa na kuishambulia
Ngome ya Yesu katika mwaka 1661. Majeshi hayo ya Waoman waliuteka mji wa Mombasa lakini hawa kuweza kuwafukuza Wareno.

Mtawala mpya wa Oman alipopatikana Imam Seif bin
Sultan Al Yarubi (Qaidul Ardh) akatuma majahazi 18
yenye jumla ya askari 3000
kutoka makabila mbalimbali
ya Mashariki ya kati yakiongozwa na Jemedari
Mkuu wa kabila la kibulushi
Kutoka pwani ya Makarani
Jimbo la Baluchistan la Uajemi. Jemedari Amir Shahdad Chotah.

Tunakumbuka historia ya watu wa Oman na tunajuwa
na kuthamini roho za raia zao waliopoteza maisha yao kwaajili yetu Wazanzibari na hatutaweza
kusahau mchango wao watu wa Oman.

Hatutawasahau wazee walio kwenda Oman kuomba msaada wa Jeshi la kuja kutukombowa kutokana na unyama na mateso ya Wareno waliowatendea wazee wetu wa hapa Zanzibar na wa huko Oman.

UJUMBE WA WATU 8

1) Mwinyi Nguti wa Mwinyi
Mwinzangu, mzee wa Waswahili wa Mombasa.

2) Mwishihali Bin Ndari
3) Maalim Ndao Bin Haji
4) Mwinyi Mole Bin Haji
5) Shekh Ahmed Al - Malindi
6) Mtomato wa Mtorogo
7) Kubo wa Mwamzungu
( mzee wa kidigo)
8)Shahame Bin Shoka
(wa kisiwa cha Pemba)

Mwenyezi Mungu awarehemu na kuwalipa pepo maana ndio sababu ya Uislamu ukatamalak visiwani petu. Kama si Rehma zake Mwenyezi Mungu leo tungali kuwa na msalaba vifuani mwetu.

KARIBU sana Mfalme wa Oman Zanzibar tungelifurahi kama ungelitutembelea hapa visiwani. Tunamuomba Rais wetu Hussein Mwinyi aione historia yetu na ya Waoman kwa moyo na jicho lenye faraja na aweze kumualika Mfalme wa Oman kuja tembea katika visiwa vyetu vilivyo Sheni utamaduni wa nchi mbali mbali khususana wa watu wa Oman.
 
Yaani nimeshangaa 99.9% ya waandamanaji wote wanaonekan ni hali mbaya kweli kweli na hao ndiyo chakula cha wanasiasa na viongozi, yaani wanatumika pasipo kujijua.
Hali mbaya ni vita aliianzisha Nyerere dhidi ya waislamu, mzimu wake bado unatesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…