Watakao kuwa mwezini wanalima au Kula bata watauona wapi mwezi ili wafunge na kufungua????Daah!! Mufti wa siku hizi Wana Smart phones, television na radio nyumbani, ofisini, kwenye simu na kwenye magari yao. Je, Tuendelee na utaratibu wa kufunga na kufungua kwa kuuona mwezi kwa macho yetu hapa mtaani kwetu? Ni kwanini mtume alihimiza Waislam waitafute elimu hata uchina? Uchina hakuwa na Waislam kipindi hicho Elimu ya uchina ni ipi na alikusudia nini mtume SAW?
Je, Arafa tuna ya kwetu?
Daah!! Mufti wa siku hizi Wana Smart phones, television na radio nyumbani, ofisini, kwenye simu na kwenye magari yao. Je, Tuendelee na utaratibu wa kufunga na kufungua kwa kuuona mwezi kwa macho yetu hapa mtaani kwetu? Ni kwanini mtume alihimiza Waislam waitafute elimu hata uchina? Uchina hakuwa na Waislam kipindi hicho Elimu ya uchina ni ipi na alikusudia nini mtume SAW?
Je, Arafa tuna ya kwetu?
Hakika umenena vyema. Kama wanaweza kutumia hadubini au darubini au kiona mbali ili kuyasaidia macho kuusaka mwezi kwanini iwe ngumu kuamini kuwa watu wa kenya na uganda wameuona huko?Kuendelea kung'ang'ana na kufunga na kufungua Kwa kuuona mwezi ni kumwangusha Mtume kizembe kabisa. Kama waisilamu na uislamu hauna ugomvi na matumizi ya ndege kwenda Hijja na umbra, magari, simu, tv, radio, internet,na matibabu mbalimbali kwanini wawe na ugomvi na kumsikia mtu kupitia simu, tv, radio, mtandao kuwa mwezi umeandama Sauudi Arabia, Uganda, msumbiji, nk?
Punguza wahka shida ni watanzania sio waislam wote kwahio Hilo swali waulize waislam wa Tanzania kwani dini iko clear hakuna makandoKuendelea kung'ang'ana na kufunga na kufungua Kwa kuuona mwezi ni kumwangusha Mtume kizembe kabisa. Kama waisilamu na uislamu hauna ugomvi na matumizi ya ndege kwenda Hijja na umbra, magari, simu, tv, radio, internet,na matibabu mbalimbali kwanini wawe na ugomvi na kumsikia mtu kupitia simu, tv, radio, mtandao kuwa mwezi umeandama Sauudi Arabia, Uganda, msumbiji, nk?
Mtume SAW ni mwarabu, kama waarabu tuliwaamini walipotuambia habari njema kuhusu utume wa Mohamed kwanini Sasa hatuwaamini wanapotuambia kuwa mwezi umeandama? Mtume walituambia tukaamini lakini habari za kuandama mwezi hapana. Hata hivyo siku ya Arafa tunakubaliana nao tena .Hakika umenena vyema. Kama wanaweza kutumia hadubini au darubini au kiona mbali ili kuyasaidia macho kuusaka mwezi kwanini iwe ngumu kuamini kuwa watu wa kenya na uganda wameuona huko?
Au huko uislamu uliko anzia wao funga yao iliisha lini?
Kwamba Tarehe ya Uganda na ya Tanzania ni tofauti? Nilimsikiliza Mzungumzaji mmoja akithubutu kuhusianisha na Taaluma ya astronomy, nikajiuiliza huyu hivi kweli akili yake inamkubalia kwamba katika hii dunia moja kuna weza kuweko tofauti ya siku mbili? Mathalan ikitokea(of course ilishawahi kutokea) watu waliswali Eid kwa asubuhi tatu tofauti bi maana zaidi ya siku mbili(more than 48 hrs) je ni sawa kusema dunia moja lakini Tarehe ni tatu tofauti? Nadhani wenye kuamini katika hoja hii ya kila mji na mwezi wake wasipende kutumia sayansi wabakie huko huko kwenye kutokuelewa vyema Kauli ya Mtume Muhammad Swalla Allaahu aleyhi wa salaam (ikhtilafu) sayansi inawabwaga, ni kweli simba akiwa Morocco alikuwa siku moja nyuma ya Tanzania kwa masaa, lakini haikuwahi kutokea katika dunia hii nchi kupishana siku zaidi ya mbili yaani zaidi ya masaa 48 ambayo kwenye uislamu imetokea mara kadhaa eid kwa Asubuhi tatu tofauti watu wanaswaliKuendelea kung'ang'ana na kufunga na kufungua Kwa kuuona mwezi ni kumwangusha Mtume kizembe kabisa. Kama waisilamu na uislamu hauna ugomvi na matumizi ya ndege kwenda Hijja na umbra, magari, simu, tv, radio, internet,na matibabu mbalimbali kwanini wawe na ugomvi na kumsikia mtu kupitia simu, tv, radio, mtandao kuwa mwezi umeandama Sauudi Arabia, Uganda, msumbiji, nk?
Jamani Tanzania kulikuwa na mawingu na mvua kwa hiyo labda wangewasha li-AirTanzania limoja litoboe mawingu halafu rubani achungulie akiuona aje kumwambia Mufti.