Waislam tunapaswa kuondokana na upofu wa dini la sivyo tutaonekana wote hatuna akili

Waislam tunapaswa kuondokana na upofu wa dini la sivyo tutaonekana wote hatuna akili

Kama kuna kitu Waislamu tunapaswa kukifanya katika kuandika HISTORIA yetu na ikasomwa kila baada ya sala ni hii ya Ikulu ya Magogoni hapa Dar es salaam maana ni historia yetu na ni halali kwetu kufanya hivyo ila sio kwenye suala la Mkataba wa Bandari; huko tunahitaji kuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu mikataba ya kimataifa.
Hongera umetuelimisha baadhi ya waislamu mungu akubariki sana.
 
Wenyewe wanawaza kujengewa misikiti tu na DPW bila kufikiri chochote.

Utumwa ni mbaya sana unatumaza hata namna ya kufikiri
Viongozi wetu hasa Ma-Imamu wetu na wengine wanaokaribishwa kutoa neno, wakumbuke kwamba suala la Bandari linahitaji udadavuzi wa SHERIA na SIO SHARIA. Hili la Bandari halihitaji MUAZINI kulisimamia, linahitaji wataalamu wa sheria kulichambua nando maana hatua yakwanza kabisa kupinga ilipelekwa mahakamani kupata ufafanuzi wa kisheria, hukumu ikatoka kwamba mkataba unazo dosari unatakiwa kurekebishwa. Kitaalamu hii ilishindikana mahakama kutengua maamuzi ya Bunge bali ilishauri Bunge lipitie sheria hizo litekebishe huo mkataba. Kwa kifupi ni kwamba MKATABA hauna faida kwa taifa.
 
JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????


Shetani hakuwafīcha kuwa anawapeleka motoni


وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا

[ MARYAM - 71 ]
Na hakuna yeyote katika nyinyi ila mwenye kuifikia jehannam Hiyo ndiyo hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

allah mwenyewe makazi yake ni motoni!

Sahih al-Bukhari 4848
Narrated Anas:
The Prophet (ﷺ) said, "The people will be thrown into the (Hell) Fire and it will say: "Are there any more (to come)?' (50.30) till Allah puts His Foot over it and it will say, 'Qati! Qati! (Enough Enough!)'"
حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنْ قَتَادَةَ، عَنْ أَنَسٍ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ‏.‏ حَتَّى يَضَعَ قَدَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ‏"‏‏.‏
Reference : Sahih al-Bukhari 4848
In-book reference : Book 65, Hadith 369

Kama anaebishia allah sio maskani yake motoni atuwekee ushahidi aliutoa mguu wake motoni lini.
Huna akili ,unadahani maandiko unaweka tu na kusoma kama gazeti ? unaijua elimu ya exegesis kuhusu maandiko ?
 
Kama kuna kitu Waislamu tunapaswa kukifanya katika kuandika HISTORIA yetu na ikasomwa kila baada ya sala ni hii ya Ikulu ya Magogoni hapa Dar es salaam maana ni historia yetu na ni halali kwetu kufanya hivyo ila sio kwenye suala la Mkataba wa Bandari; huko tunahitaji kuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu mikataba ya kimataifa.
Asante sana kwa uchambuzi uliosheheni uelewa. Binafsi nimesoma post nzima na nimeona;

1. Niunge mkono yote uliyoyaandika kuhusu mkataba wa DPW.

2. Naunge mkono kwamba kama ikulu ya Dar ilikuwa msikiti, basi pambaneni irudi kwenu. Ni sawa tu na shule za zilivyotaifishwa na baadaye zikarudi kwa wenyewe
 
Wale wazungu wa kahama barick wanachota dhahabu kila siku lakin sijasikia tamko lolote la TEC
Kama TEC hawajaona huo wizi, wewe uliyeona kwanini hutoi tamko? Wewe huwajibiki kulinda rasilimali za taifa?. Hizi akili kweli ni tope. So wewe umeona Barick 'wanaiba' kule huku unaambiwa Dpworld wanataka kuiba huku, unsema acha waibe tu kwani hata kule tunaibiwa?
 
Kama kuna kitu Waislamu tunapaswa kukifanya katika kuandika HISTORIA yetu na ikasomwa kila baada ya sala ni hii ya Ikulu ya Magogoni hapa Dar es salaam maana ni historia yetu na ni halali kwetu kufanya hivyo ila sio kwenye suala la Mkataba wa Bandari; huko tunahitaji kuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu mikataba ya kimataifa.


Tujisahihishe
😍😍😍
 
Hawajifunzi tu, Waislamu walimpigania Kikwete, Muislamu mwenzao kwenye uchaguzi wa mwaka 2010, akaishia kuwalipa kwa kuwasweka ndani mamia ya masheikh wao kwa makosa ya ugaidi. Kuna masheikh wamekaa jela huko Arusha na nchi nzima tangu wakati wa Kikwete, wengine wametolewa na Samia majuzi tu, wengine bado wako ndani!.

Badala waangalie faida za nchi na watu wake, wao wanaangalia kutetea wanasiasa eti kwa sababu ana jina linalojishabihiana na dini yake.

Kwani kuwa Muislamu ni halali kuuza nchi ilmradi unayemuuzia ni Muislamu mwenzio, ni nini maana sasa ya kulinda dhamana uliyopewa?

Ushahidi wa kuuza nchi tupe
 
Serekali imeshajua ni rahisi kuwateka waisilamu kupitia dini yao. Wanajua waisilamu hawana muda wa kuangalia ukweli ikishachomekwa hisia ya dini yao. Kibaya zaidi viongozi wao ndio wamekuwa wepesi kupotezwa kwenye hoja, na kuachwa wakipayuka kushambuliwa kwa dini yao kwa jambo lisilo na uhusiano na dini, ili mradi msimamizi wa jambo ni muislamu, basi wao hilo jambo hulifanya ndio uislamu!
ALL THIS IS LACK OF FORMAL EDUCATION, WESTERN EDUCATION

Huwezi kutegemea madrasa ukawa na weledi wa kudadavua mambo! Muislamu hata akawa Prof, ukimchomekea dini tu, umemteka. Mfano mzuri ni Prof Asad former CAG, na likaratasi lake la PhD, mbele ya dini aliliweka kando akaingia kwenye kundi la wajinga! kundi la takataka!

Likewise Zitto, kwenye hili la Bandari ame mute by 100,000,000% as if nothing is going on. Reason, Mwenzangu katika dini.... Zitto na weledi wake, limekuwa jibwa lisilobweka kabisa...afadhali libweke na haliumi, sasa Zito ni jibwa lisilobweka kabisa..kwa bandari. UDINI wa mwenangu
 
Back
Top Bottom