Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

kwahiyo mungu wenu yupo kibra,
Hapana. Mungu wetu popote ulipo naye yupo.
hawezi kusikia ukielekeza ulaya au america?
Anakusikia popote utakapo elekea.
Ila ukisali kuna masharti ya sala ili upate ujira wako wa hiyo sala ni lazima ufuate masharti yake.
Eg. Wewe ukimpa mtu kazi aifanye kama utakavyo wewe kisha yeye akafanya kizi hiyo tofauti na unavyotaka wewe, utamlipa kama mlivyo kubaliana?
 
Hapana. Mungu wetu popote ulipo naye yupo.

Anakusikia popote utakapo elekea.
Ila ukisali kuna masharti ya sala ili upate ujira wako wa hiyo sala ni lazima ufuate masharti yake.
Eg. Wewe ukimpa mtu kazi aifanye kama utakavyo wewe kisha yeye akafanya kizi hiyo tofauti na unavyotaka wewe, utamlipa kama mlivyo kubaliana?
kwahiyo mungu wenu ameweka masharti ya uelekeo? kwanini amefanya hivyo?
 
DINI ni nini????

Unaweza ukanisaidia maana ya DINI??

Huwa sielewi hili Neno Lina maana Gani.

Lina faida Gani???

Linanisaidia nini???
Utanyooka tu.
Kwa hiyo jana zile tafsiri na maandikonuliotoa hauna uhakika nayo?
Sema tu kama huna uhakika na ulichokisema ueleweshwe.
 
Usiwe mvivu wa kusoma. Nilishabainisha hilo tangu jana. Rudi nyuma utalokuta.
Tatizo na wewe unakuwa mvivu sasa, kama uliandika unashindwa nini kutag reply No. me nitajuaje kuwa uliandika asee?.

Hebu rudia kile alichoandika mtoa mada, YES or NO? tupe quotation sheikh!.
 
Kwenye mihadhara ndipo wale wahubiri wa dini wanakuaga na uongo mwingi kwa kuzunguka kwenye maandiko, badala ya kueleza tu fungu fulani au juzuu fulani.
 
Tatizo na wewe unakuwa mvivu sasa, kama uliandika unashindwa nini kutag reply No. me nitajuaje kuwa uliandika asee?.

Hebu rudia kile alichoandika mtoa mada, YES or NO? tupe quotation sheikh!.
Nilielezea kwa kina sana. Rudia utaelea vizuri sana. Au kama una swali zaidi uliza tu mkuu.
 
Ahaa Gaya huko kanisani kwenu kuna utaratibu Fulani mlijiwekea ukienda kinyume inazua hoja,
Sielewi unamaanisha nini maana mimi nimekataa kufuata dini za watu zisizo na mashiko kwetu Waafrika. Dini zote hizi ni upuuzi mtupu tu.
 
Mungu wa waislamu kila kilichopo mbinguni na ardhini vyote ni vya kwake.
Mapepo/Majini ni kama binaadamu tu, wapo wema na waovu na wote kawaumba Mungu.
Ila kama una uwelewa mdogo kuhusu mapepo na uislamu unasema kauleya Muhammad, wale aliokuwa akiwatoa Yesu kwa watu kabla ya Muhammad, uisilamu wao walipewa na nani?
Una vitu vingi huvielewi, chagua kimoja badala ya kingine ueleweshwe uelewe, usiteseke.
ELEZA KWANI SHIDA YAKO NI NINI HASSA?
Mapepo wachafu na majini yamewatawala sana jamii ya Mashariki ya kati (Waarab na Wayahudi).....hii ni jadi yao kufuga majini na ndiyo maana mpaka leo bado wanayaendekeza. Huku Afrika wanaondekeza majini na mapepo wachafu ni Waislam na tunajuwa kwanini, nani anabisha?
 
Mapepo wachafu na majini yamewatawala sana jamii ya Mashariki ya kati (Waarab na Wayahudi).....hii ni jadi yao kufuga majini na ndiyo maana mpaka leo bado wanayaendekeza. Huku Afrika wanaondekeza majini na mapepo wachafu ni Waislam na tunajuwa kwanini, nani anabisha?
Na wale aliokuwa akiwatoa Yesu, ni wa dini gani?
 
Tatizo na wewe unakuwa mvivu sasa, kama uliandika unashindwa nini kutag reply No. me nitajuaje kuwa uliandika asee?.

Hebu rudia kile alichoandika mtoa mada, YES or NO? tupe quotation sheikh!.
Kama shida yako mtoa mada, basi majibu ni haya hapa:-

Kwa mujibu wa Uislamu, msikiti sio jengo la mtu binafsi, bali ni nyumba ya Mungu kwa ajili ya ibada. Hivyo ni lazima jengo hilo lijengwe kwa mujibu wa Mungu anavyotaka.

Lengo sio ulaya, inawezekana pia kwa bujibu wa jografia ya eneo fulani, ukajikuta huko maqa/kaskazini ndio ulaya pia, ikatofautiana uelewa tu, huyu kaelekea kaskazini kiuelewa na yule akaona kaelekea ulaya.

Kama kuna jengine sema.
 
Na wale aliokuwa akiwatoa Yesu, ni wa dini gani?
Kama nilivyosema hapo juu, mapepo n kwa ajili ya watu wa Mahariki ya Kati (Wayahudi na Waarab) na hapa Tanzania Waislam baada ya kujiingiza kwenye Uislam.
 
Kama nilivyosema hapo juu, mapepo n kwa ajili ya watu wa Mahariki ya Kati (Wayahudi na Waarab) na hapa Tanzania Waislam baada ya kujiingiza kwenye Uislam.
Waislamu wa Tanzani ndio wale wanaotoa mapepo kwa jila la Yesu? Au kuna wengine?
 
KUMBE NDIO UJINGA MNAOJAZWA MSIKITINI MASIKINI.

DINI NI NENO LA KIARABU LENYE MAANA YA NJIA.

Naomba nikuthibitishie kuwa UKRISTO SIO DINI ni MATENDO MEMA ya Kumfuata Yesu kristo,mwana WA MUNGU ALIYE hai aliyekuja kufanya upatanishi kati yetu na Mungu Baba yake. ( UKRISTO NI Ufuasi kuwa mfuasi wa Yesu kristo)
Katika kutenda sawa sawa na Yoote aliyoagiza

UKRISTO NI KUJISALIMISHA NA KUNYENYEKEA MBELE ZA MUNGU KWA KUFUATA MAFUNDISHO YOTE ALIYOMTUMA YESU KRISTO.


YOHANA 14: 6
Mimi ndimi njia na kweli na Uzima mtu haji kwa Baba ila mimi.
Kama kweli Yesu ndie njia ya kweli na Uzima basi Lazima ni mfuate kwa sababu alifia dhambi ya Ulimwengu.
LAANA ya Adamu pale edeni.
Dhambi AMBAYO Ulimwengu mzima tulilaaniwa kupitia Adamu.

WARUMI 8:9.
Lakini ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wa kristo.

MANABII WALIKUWA NA ROHO WA KRISTO.

1PETRO 1:10.
Katika habari ya wokovu huo manabii walitafuta-tafuta na kuchunguza-chunguza, ambao walitabiri habari za neema itakayowafikia ninyi.

Wakatafuta ni wakati upi, na wakati wa namna gani ulioonywa na Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao, ambaye alitangulia kuyashuhudia mateso yatakayompata Kristo, na utukufu utakaokuwako baada ya hayo.



HAPA NDIPO WALIOKUBALI KUMFUATA MAFUNZO YA YESU WANAITWA WAKRISTO.

hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia.

Matendo ya Mitume 11:26



NINYI WAISLAMU HAMNA ROHO WA MUNGU.
HAMNA ROHO WA YESU KRISTO.

Quran INASEMA WAISLAMU HAMJUI mambo ya Roho.
Na wakikkuuliza mambo ya Roho sema hatuujui mambo ya Roho.


QURAN INATUAMBIA WALE WALIO AMINI NI WA KRISTO.

Quran 2:62 - Hakika Walio amini, ni Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika.


UKRISTO SIO KIBOKSI NI MATENDO MEMA SAWASAWA NA YESU KRISTO WA NAZARETH.
Wakati unatoa hii tafsiri na kujiyangaza kua wewe huna Dini, akili yako uliipeleka wapi?
 
Waislamu wa Tanzani ndio wale wanaotoa mapepo kwa jila la Yesu? Au kuna wengine?
Wale ni wasanii tu mkuu, usiwatilie maanani na hata wale watu wao wanaodai kuwa wana mapepo ni wasanii waliolipwa na hao wachungaji. Ni vigumu sana kukuta Mkristu anafuga majini, chunguza tu na ninajuwa jibu unalo ila kwa haibu hutaki kujikubali.
 
Tunamfuata Allah Subhanahu-wataala, na sunna za Mtume wetu Muhammad SAW alizozileta tangu enzi na enzi, hatupaswi kuzitengua kwa utashi wetu.

Kwani tukiwa tunaamini ujinga, wewe unakereka mkuu?
Uwe unatumia akili kijana, hivi kwa akili yako huo msikiti ukiangalia Mwanza Mungu hakusikii ukisali, umeshawahi kujiuliza hili?
 
Wale ni wasanii tu mkuu, usiwatilie maanani na hata wale watu wao wanaodai kuwa wana mapepo ni wasanii waliolipwa na hao wachungaji. Ni vigumu sana kukuta Mkristu anafuga majini, chunguza tu na ninajuwa jibu unalo ila kwa haibu hutaki kujikubali.
18:18-22. MAMBO YA NYAKATI WA PILI.
19 Bwana akasema, Ni nani atakayemdanganya Ahabu mfalme wa Israeli, ili akwee Ramoth-gileadi akaanguke? Basi huyu akasema hivi; na huyu hivi.

20 Akatoka pepo, akasimama mbele za Bwana, akasema, Mimi nitamdanganya. Bwana akamwambia, Jinsi gani?

21 Akasema, Nitaondoka, na kuwa pepo wa uongo vinywani mwa manabii wake wote. Akasema, Utamdanganya, na kudiriki pia; ondoka, ukafanye hivyo.

22 Basi sasa, angalia, Bwana ametia pepo wa uongo vinywani mwa manabii wako hawa; naye Bwana amenena mabaya juu yako.

Kwa hiyo unatuambia haya maandiko ktk bibilia sio ya kweli?
 
Uwe unatumia akili kijana, hivi kwa akili yako huo msikiti ukiangalia Mwanza Mungu hakusikii ukisali, umeshawahi kujiuliza hili?
Kwa kuwa anatumia akili ndio maana akafuata kile akitakacha huyo Mungu.
Wewe ushawahi kupanda basi ya Mwanza kisha tiketi ukakata Dodoma kwa 7bu inapita hapo hapo?
 
Back
Top Bottom