Waislam wana nia ila hawana mipango. Kinachoendelea Syria ni ushahidi tosha

Waislam wana nia ila hawana mipango. Kinachoendelea Syria ni ushahidi tosha

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Ni rahisi muislam kushawishika na kua na nia, kuatayari kujitolea au kupigania dini bila ya kua na mpango unaoeleweka. kwa sababu hiyo, watu wenye mipango wanawatumia sana waislam kwa kigezo cha itikadi kutimiza mipango yao. Ukiweza kushika kisha cha kiongozi wa kiislam akawaaminisha waislam kuapigania dini, basi umefanikiwa.

Kwa mfano:
Osama alitumika kupambana na Soviet Union, baada ya kukamilisha lengo, akageuka gaidi. ndicho ninachokiona kule syria, hawa wanaoitwa "rebels" wanaopigana wakiamini wanapigania dini ila mwisho wa siku lengo ni
1. kumuondoa Assad ambae ana ukaribu na Iran.
2. kuondoa tishio la usalama kwa Israel na huenda israel akajitwalia maeneo kadhaa hapo. Ni suala la muda kabla ya hawa watu hawajaitwa magaidi tena na kuanza kupigwa tena.
 
Uislam una shida mahali nahisi.Naamini hata huku kwetu siku waislam wakiwa wengi zaidi yetu watabadirisha vitu vingi sana kwa faida yao -uislam. Then baada ya hapo wataanza kutibuana.
Ustaarabu wa kiislamu umejificha juu ya fukuto la chini kwa chini - sijui kuna kiti gani wanafundishwa??
Waarabu ndo wamekuwa wahanga wakubwa.
 
Uislam una shida mahali nahisi.Naamini hata huku kwetu siku waislam wakiwa wengi zaidi yetu watabadirisha vitu vingi sana kwa faida yao -uislam. Then baada ya hapo wataanza kutibuana.
Ustaarabu wa kiislamu umejificha juu ya fukuto la chini kwa chini - sijui kuna kiti gani wanafundishwa??
Waarabu ndo wamekuwa wahanga wakubwa.
Waislam Tanganyika wangekuwa 45% nchi isingetawalika.

Bahati nzuri wapo chini ya 35% ndio maana Tanganyika ni kisiwa cha amani.
 
Ni wapuuzi, ngoja watumiwe halafu baadae nao wanyukwe. Hata hawa wa bongo wakihamasishwa kuandamana wanatoka wote kama nyumbu kuandamana. Wakristo ni ngumu kuwatumia watataka reasoning matters
 
Ni wapuuzi, ngoja watumiwe halafu baadae nao wanyukwe. Hata hawa wa bongo wakihamasishwa kuandamana wanatoka wote kama nyumbu kuandamana. Wakristo ni ngumu kuwatumia watataka reasoning matters
 
Ni wapuuzi, ngoja watumiwe halafu baadae nao wanyukwe. Hata hawa wa bongo wakihamasishwa kuandamana wanatoka wote kama nyumbu kuandamana. Wakristo ni ngumu kuwatumia watataka reasoning matters
 
Wamepewa na wanatumika sababu wana "ARI" ila hawatokuja kuwapa technology wala silaha nzito ambazo wazungu hawawezi kuzizuia.
Ukitaka wapigane mtoe madarakan raisi Mshia mweke Msunni then after 3 yrs wape silaha washia wajaribu kupindua serikal lakin washindwe wauawe.... Then after 2 yrs wape silaha nzito wakiwa na uchungu wa ndugu zao kufa, hapo lazima utawala wa sunni utaanguka, ni easy sn kucheza nao.
 
Wale waislamu wa jf wanaamini Houthi ni kiboko ya Marekani huwa najiuliza maswali nakosa majibu kabsa tatizo ni udini tu au kuna shida mahali? Yaani mwanzoni mwa vita ya gaza waliamini kabsa Israel hawezi kukanyaga Gaza maana watachinjwa wote kama kuku nakwamba Hamas wamejipanga kipindi kirefu nakwamba Israel akijaribu kuingia Gaza nakule Rafar Iran itaingilia.... YAANI HUWA SIELEWI KABSA TATIZO NI NINI...HALAFU HAWATAKI KABSA HATA KUAMINI KUWA VIFO VINGI VYA RAIA GAZA KUNATOKANA NA HAMAS KUJIFICHA MIONGONI MWAO
 
Wale waislamu wa jf wanaamini Houthi ni kiboko ya Marekani huwa najiuliza maswali nakosa majibu kabsa tatizo ni udini tu au kuna shida mahali? Yaani mwanzoni mwa vita ya gaza waliamini kabsa Israel hawezi kukanyaga Gaza maana watachinjwa wote kama kuku nakwamba Hamas wamejipanga kipindi kirefu nakwamba Israel akijaribu kuingia Gaza nakule Rafar Iran itaingilia.... YAANI HUWA SIELEWI KABSA TATIZO NI NINI...HALAFU HAWATAKI KABSA HATA KUAMINI KUWA VIFO VINGI VYA RAIA GAZA KUNATOKANA NA HAMAS KUJIFICHA MIONGONI MWAO
Waislamu na Wayahudi wote washenzi kwakua wamemkataa Yesu Kristo, hawa wayahudi pamoja na ushenzi wao ila wanafanya mambo kwa kutumia akili na mikakati katika kuliendea jambo,waislamu wanafanya mambo kwa kuendeshwa kwa chuki bila akili nadhani mtume wao kwakua hakusoma kwaio ujinga kwao ni Sunnah.
 
Uislam una shida mahali nahisi.Naamini hata huku kwetu siku waislam wakiwa wengi zaidi yetu watabadirisha vitu vingi sana kwa faida yao -uislam. Then baada ya hapo wataanza kutibuana.
Ustaarabu wa kiislamu umejificha juu ya fukuto la chini kwa chini - sijui kuna kiti gani wanafundishwa??
Waarabu ndo wamekuwa wahanga wakubwa.
Usimung'unye maneno mkuu waarabu hawajielewi na hawatoweza kujielewa mpaka mwisho wa dunia, hi I myahudi anaweza kuhongwa hela na madaraka aende akampindue na kumuua muyahudi mwenzie Impossible!!! Yaani hata hayaeleweki yanachokipigania hapa duniani, leo hii western wakilinunua kundi wakalipa msaada wa kifedha na silaha wampindue huyo mtawala mpya wa Syria Gaidi Jowlan yanaingia msituni tena yaani ndio maisha yao
 
Back
Top Bottom