Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Mkuu nimenukuu maandikoWaislamu na wakristo nyie kazi yenu ni kujihesabia haki na kudharau imani za watu wengine, kwanini hamuheshimu imani za watu wengine? Na kwanini kwenye dini zenu kuna mgawanyiko wa madhehebu na hampendani?
Kuna dini nyingi sana baadhi yake ni hizi
Hinduism
agnosticism
Buddhism
Chinese folk religions
ethnic or tribal religions (mostly in Africa)
atheist
New Religionists (new religious movements in Asia)
Sikhism
Spiritism and spiritualism
Judaism
Bahāʾī
Daoism
Confucianism
Jainism
Shintō
Zoroastrianism
Umeona eehVichaa wa Milembe wamaeokota simu ndio wameamua kuanzisha uzi huu
Uzi kama huu kwa kweli unatakiwa ufutwe.Waislamu na wakristo nyie kazi yenu ni kujihesabia haki na kudharau imani za watu wengine, kwanini hamuheshimu imani za watu wengine? Na kwanini kwenye dini zenu kuna mgawanyiko wa madhehebu na hampendani?
Kuna dini nyingi sana baadhi yake ni hizi
Hinduism
agnosticism
Buddhism
Chinese folk religions
ethnic or tribal religions (mostly in Africa)
atheist
New Religionists (new religious movements in Asia)
Sikhism
Spiritism and spiritualism
Judaism
Bahāʾī
Daoism
Confucianism
Jainism
Shintō
Zoroastrianism
Sasa maandiko yako yanamhusu kila mmoja?Mkuu nimenukuu maandiko
Wewe uliye mzima njoo na aya tafadhaliVichaa wa Milembe wamaeokota simu ndio wameamua kuanzisha uzi huu
Yanawahusu walee wanaoikusudia pepoSasa maandiko yako yanamhusu kila mmoja?
Kwahiyo mmefundishwa kuna mtu anautaka moto?Yanawahusu walee wanaoikusudia pepo
Wasiomtii mwanakondoo moto unawahusuKwahiyo mmefundishwa kuna mtu anautaka moto?
🚮Wasiomtii mwanakondoo moto unawahusu
Mkuu hasira za Nini hasa?Hiyo pepo yenu isiyokuwa na bata bakini nayo tu wenyewe hatuna haja nayo!
BTW, andiko la kikafiri na pepo ya kikafiri inawahusu Nini Waislamu?