Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Kama wewe hauna imani na mwanakondoo wa Mungu basi tambua kuwa pepo haikuhusu
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima za kipekee
Muwe na siku njema
Ufunuo wa Yohana 21:27 7
Yohana 14:6 - Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Yohana 6:44 - Hakuna mtu awezaye kuja kwangu, asipovutwa na Baba aliyenipeleka; nami nitamfufua siku ya mwisho.
Yohana 6:54 - Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.
Kama wewe hauna imani na mwanakondoo wa Mungu basi tambua kuwa pepo haikuhusu
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima za kipekee
Muwe na siku njema
Ufunuo wa Yohana 21:27 7
Yohana 14:6 - Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Yohana 6:44 - Hakuna mtu awezaye kuja kwangu, asipovutwa na Baba aliyenipeleka; nami nitamfufua siku ya mwisho.
Yohana 6:54 - Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.