Waislamu mnafeli wapi kuendeleza na kuboresha misikiti yenu? Ni aibu kusema kweli!

Waislamu mnafeli wapi kuendeleza na kuboresha misikiti yenu? Ni aibu kusema kweli!

Rorscharch

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
878
Reaction score
2,014
Msikiti unaweza kukaa miaka 20 bila kusolve tatizo la ukuta wa fence na waamini bila hata aibu kila siku wataingia kuswali na kuondoka

Kwanini Mashekhe wasiombe hata semina na Wakatoliki na Walutheri wajifunze mbinu za kutengamaza na kutegemeza Misikiti Yao; utakuwa Wakatoliki Parokia imeshamiri kwa michango wa waamini wenyewe mpaka mwisho wa siku inaanza kusaidia mpaka vizazi vya wale waliozitegemeza

Yaani naangaliaga baadhi ya misikiti na ninaishia kunung'unika kama jamii inayoenda kuabudu haijali madhabahu huko nyumbani kukoje?
 
Msikiti unaweza kukaa miaka 20 bila kusolve tatizo la ukuta wa fence na waamini bila hata aibu kila siku wataingia kuswali na kuondoka

Kwanini Mashekhe wasiombe hata semina na Wakatoliki na Walutheri wajifunze mbinu za kutengamaza na kutegemeza Misikiti Yao; utakuwa Wakatoliki Parokia imeshamiri kwa michango wa waamini wenyewe mpaka mwisho wa siku inaanza kusaidia mpaka vizazi vya wale waliozitegemeza

Yaani naangaliaga baadhi ya misikiti na ninaishia kunung'unika kama jamii inayoenda kuabudu haijali madhabahu huko nyumbani kukoje?
Kumnunulia mchungaji Prado wakati wewe hata bodaboda huna hizo ndio akili?
 
USIPATWE NA NG’OMBE KAMBANGWA, PATWA NA NG’OMBE KULA MDIBANGWA
 
Kumnunulia mchungaji Prado wakati wewe hata bodaboda huna hizo ndio akili?
Kiimani Mchungaji ni kama Kipaza Sauti Cha Mwenyezi Mungu A.K.A "God's messenger"; Sasa mkishindwa hata kujimobilize kama jumuiya mkamnunulia walau kagari mkamjengea kanyumba na mkakarabati madhabahu katika hadhi mnayoona inakidhi katika jumuiya yenu ya Imani............ Mkishindwa kufanya hivyo ndugu yangu hamna kingine kitakachofanikiwa kuwaleta pamoja
 
Msikiti unaweza kukaa miaka 20 bila kusolve tatizo la ukuta wa fence na waamini bila hata aibu kila siku wataingia kuswali na kuondoka

Kwanini Mashekhe wasiombe hata semina na Wakatoliki na Walutheri wajifunze mbinu za kutengamaza na kutegemeza Misikiti Yao; utakuwa Wakatoliki Parokia imeshamiri kwa michango wa waamini wenyewe mpaka mwisho wa siku inaanza kusaidia mpaka vizazi vya wale waliozitegemeza

Yaani naangaliaga baadhi ya misikiti na ninaishia kunung'unika kama jamii inayoenda kuabudu haijali madhabahu huko nyumbani kukoje?
Yaani wapigaji waache kupiga waboreshe misikiti, ili iweje sasa?
 
Msikiti unaweza kukaa miaka 20 bila kusolve tatizo la ukuta wa fence na waamini bila hata aibu kila siku wataingia kuswali na kuondoka

Kwanini Mashekhe wasiombe hata semina na Wakatoliki na Walutheri wajifunze mbinu za kutengamaza na kutegemeza Misikiti Yao; utakuwa Wakatoliki Parokia imeshamiri kwa michango wa waamini wenyewe mpaka mwisho wa siku inaanza kusaidia mpaka vizazi vya wale waliozitegemeza

Yaani naangaliaga baadhi ya misikiti na ninaishia kunung'unika kama jamii inayoenda kuabudu haijali madhabahu huko nyumbani kukoje?
Faizafoxy njoo huku
 
Back
Top Bottom