Waislamu na Wakristo heshimuni imani za watu wengine, kelele wakati wa ibada ni kero

Waislamu na Wakristo heshimuni imani za watu wengine, kelele wakati wa ibada ni kero

Ricky Blair

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
463
Reaction score
1,009
Jamani Waislamu na Wakristo sio Watanzania wote tupo kwenye izo Dini zenu na wengine pia hatuna kabisa. Huu ukorofi wa ma-loudspeaker misikitini adhana utadhani hadi Msumbiji wasikie sio.

Hadi Saudi Arabia wamepiga marufuku kelele za maspika makubwa kama usumbufu na nchi nyingi tu za kiislam, lakini sauti ya kawaida tu hizo adhana na sala za kiislamu huwa muda mchache poa tutavumiliana ila msitusikilizishe mawaidha au kuweka maspika kati kati ya mtaa.

Walokole nao ndio way worse kwa kelele kuliko hata waislamu, at least waislamu are predictable kwa mida yao ya sala unaweza kujiandaa, lakini hawa watu muda wowote tu wanajiwekea kambi na spika kuanza kusumbua watu, wengine wanajipandisha kwa daladala na Yesu wake wee mpaka mnafika.

Hii si sawa na kinyume cha sheria kwani dini ni private kama mahusiano yetu ya ngono. Nikimtaka bwana Yesu nitatafuta kanisa kati ya mengi na nikitaka Uislamu pia nitapita msikitini. Tuache huu uhuni na kusumbua watu na dini zenu, in case you haven't noticed Dunia nzima haizunguki kwa Yesu na Mohammed wenu.

Badilikeni kwa sababu na sisi tukianza kuweka Loudspeaker popote hamtopenda ujumbe wetu.
 
wahi kaburini mkuu ukarest hutosumbuliwa.
ilajiandae kwanyundo za munkar wannakir
 
Mbn miungurumo ya ndege na machine zingine huoni kero?

Acha chuki za kishamba.
Kuna public versus private that's why kuna kelele that are inevitable Km mtoto kulia, magari au viwanda kufanya kazi. Sasa dini si wana sehemu za kuabudu shida ya kusumbua watu ni nini? Chuki ipo wapi hapo? Which means kelele zote zisizokuwa za maana kwa public pia napinga iwe ngoma, Muziki wa dunia Au hata discos znazotoa kelele kubwa zote zifanyike sehemu husika.
 
Kuna public versus private that's why kuna kelele that are inevitable Km mtoto kulia, magari au viwanda kufanya kazi. Sasa dini si wana sehemu za kuabudu shida ya kusumbua watu ni nini? Chuki ipo wapi hapo? Which means kelele zote zisizokuwa za maana kwa public pia napinga iwe ngoma, Muziki wa dunia Au hata discos znazotoa kelele kubwa zote zifanyike sehemu husika.
Vipi kuhusu library za movies vipi kuhusu maduka mengi vipi kuhusu wauza sumu ya panya ice cream wauza mboga mboga na wengineo je hakuna wanaoisho karibu na mapub kwann una target group moja kama sio chuki binafsi
 
Vipi kuhusu library za movies vipi kuhusu maduka mengi vipi kuhusu wauza sumu ya panya ice cream wauza mboga mboga na wengineo je hakuna wanaoisho karibu na mapub kwann una target group moja kama sio chuki binafsi
Wote pia hao lakini nimechagua hii pia coz hayo mengine kuyasema rahisi lakini ukigusa dini tu ndo jam umegusa nn cjui. Ndo maana nimesema kelele za dini cjasema kelele izo tu ndo zinanikera. Ni sawa sawa nikisema Nipo kw dawati la jinsia haimaniishi majanga mengine yote nayapenda. Stop being sensitive. Jibu hoja kwanini wasiabudu majumbani kwao Au kw kanisa au misikitini mpk wasumbue kila mtu. Mbona Wakristo wengine Km Catholics wanaabudu kwa Ukimya? Na mb waislamu wengine wanaabudu kwa ukimya?
 
Vipi kuhusu library za movies vipi kuhusu maduka mengi vipi kuhusu wauza sumu ya panya ice cream wauza mboga mboga na wengineo je hakuna wanaoisho karibu na mapub kwann una target group moja kama sio chuki binafsi
Wote pia hao lakini nimechagua hii pia coz hayo mengine kuyasema rahisi lakini ukigusa dini tu ndo jam umegusa nn cjui. Ndo maana nimesema kelele za dini cjasema kelele izo tu ndo zinanikera. Ni sawa sawa nikisema Nipo kw dawati la jinsia haimaniishi majanga mengine yote nayapenda. Stop being sensitive. Jibu hoja kwanini wasiabudu majumbani kwao Au kw kanisa au misikitini mpk wasumbue kila mtu. Mbona Wakristo wengine Km Catholics wanaabudu kwa Ukimya? Na mb waislamu wengine wanaabudu kwa ukimya
 
Kuna kitu ulikilenga lakini umekifichaficha,tutakiona kadili maswali na majibu yatavyokuwa yanaendelea.
 
Back
Top Bottom