Waislamu tuwe makini tujiepushe na propaganda za wasiokuwa Waislamu dhidi ya madrasa na watoto wetu kwenye madrasa

Waislamu tuwe makini tujiepushe na propaganda za wasiokuwa Waislamu dhidi ya madrasa na watoto wetu kwenye madrasa

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Wenzetu kwa watoto wao hawana mfumo mzuri wa kuwasomesha dini zao.

Sio hawana tu bali mfumo wa dini yao haukubali kabisa kuwaanda watoto wao ktk mfumo wa dini.

Sasa wanaona choyo kuona waislam wamekiweka utaratibu wa madrasa ambao kwa kiwango kikubwa wanaopiga vita ili ukwame.

Changamoto ndogo ndogo kama bakora kwa watoto kusistoe ktk reli kuwasomesha watoto wetu.

1. Wanasema madrasa inapoteza muda kwa watoto na kurudisha nyuma mfumo elimu ya shule.

2. Unawafanya waislam wawe na msimamo wa dini yao

3. Walimu wa madrasa wanawapiga watoto.

Hata biblia imesema mtoto achapwe mpaka akae sawa.

Kuwa makini na muislam kuingia ktk mtego wa wakiristo ktk mfumo wa madrasa.

Wataupiga vita kwa nguvu zote ili watoto wetu wawe kama wao wanaishi maisha ya wazungu.

Surah Al-Baqarah (2:120): "Wala Wayahudi wala Manasara hawataridhika nawe mpaka ufuate mila zao
 
watoto wenu mnawafundisha upuuzi ndio maana watu wanapinga

tazama huyu shehe bila hata aibu anafundisha watu uongo uongo na upuuzi


1736496617795.png
 
Wenzetu kwa watoto wao hawana mfumo mzuri wa kuwasomesha dini zao.
Sio hawana tu bali mfumo wa dini yao haukubali kabisa kuwaanda watoto wao ktk mfumo wa dini
Sasa wanaona choyo kuona waislam wamekiweka utaratibu wa madrasa ambao kwa kiwango kikubwa wanaopiga vita ili ukwame.
Changamoto ndogo ndogo kama bakora kwa watoto kusistoe ktk reli kuwasomesha watoto wetu.
1. Wanasema madrasa inapoteza muda kwa watoto na kurudisha nyuma mfumo elimu ya shule.
2. Unawafanya waislam wawe na msimamo wa dini yao
3. Walimu wa madrasa wanawapiga watoto.
Hata biblia imesema mtoto achapwe mpaka akae sawa
Hawana uwezo wa kukwamisha uislamu uislamu ni zaidi ya CCM.
 
Wenzetu kwa watoto wao hawana mfumo mzuri wa kuwasomesha dini zao.
Sio hawana tu bali mfumo wa dini yao haukubali kabisa kuwaanda watoto wao ktk mfumo wa dini
Sasa wanaona choyo kuona waislam wamekiweka utaratibu wa madrasa ambao kwa kiwango kikubwa wanaopiga vita ili ukwame.
Changamoto ndogo ndogo kama bakora kwa watoto kusistoe ktk reli kuwasomesha watoto wetu.
1. Wanasema madrasa inapoteza muda kwa watoto na kurudisha nyuma mfumo elimu ya shule.
2. Unawafanya waislam wawe na msimamo wa dini yao
3. Walimu wa madrasa wanawapiga watoto.
Hata biblia imesema mtoto achapwe mpaka akae sawa
SAWA mkuu!
 
Mkiacha kuwanyanyasa wanawake na mkiifuta hii mistari mibaya kwa wanawake kwenye quran na vitabu vya hadith kama sahih bukhari , hapo mtakuwa na hoja
  • Wanawake wana upungufu katika akili zao - Sahih al-Bukhari 304
  • Muhammad anawafananisha wanawake na mbwa na punda - Sahih al-Bukhari 511
  • Mwanaume anaweza kubadilisha mke wake kwa mwingine - Quran 4:20
  • Wanawake ni wenye upotovu kama mbavu. Ukijaribu kuwanyoosha, watavunjika. Hivyo, ikiwa unataka kunufaika nao, fanya hivyo wakiwa bado na upotovu wao. - Sahih al-Bukhari 7.62.114
  • Wake hawawezi kamwe kufanya vya kutosha kuonyesha shukrani kwa waume zao - Wasifu wa Muhammad na Ibn Ishaq, ukurasa wa 644, aya ya pili
  • Wanawake wanalinganishwa na watumwa na ngamia - Hadithi 8.73.68 ya Bukhari
  • Kama mtu angeweza kusujudu mbele ya mwingine isipokuwa Allah, basi mwanamke angepaswa kumsujudia mume wake - Hadithi ya Abu Dawud 11.2135
  • Muhammad aliwachukulia wanawake kama uovu na alilinganisha ndoa na kununua mtumwa au ngamia - Abu Dawood, Kitabu cha 11, Namba 2155
  • Muhammad anawalinganisha wanawake na mashetani - Sahihi Muslim: Kitabu 008, Namba 3240
 
Wenzetu kwa watoto wao hawana mfumo mzuri wa kuwasomesha dini zao.
Sio hawana tu bali mfumo wa dini yao haukubali kabisa kuwaanda watoto wao ktk mfumo wa dini
Sasa wanaona choyo kuona waislam wamekiweka utaratibu wa madrasa ambao kwa kiwango kikubwa wanaopiga vita ili ukwame.
Changamoto ndogo ndogo kama bakora kwa watoto kusistoe ktk reli kuwasomesha watoto wetu.
1. Wanasema madrasa inapoteza muda kwa watoto na kurudisha nyuma mfumo elimu ya shule.
2. Unawafanya waislam wawe na msimamo wa dini yao
3. Walimu wa madrasa wanawapiga watoto.
Hata biblia imesema mtoto achapwe mpaka akae sawa
Mimi si mwislamu ila naunga mkono watu waachane na mambo ya watu. Madrasa zinajulikana siku zote kuwa kuna mboko na imekuwa hivyo. Kama wewe si Mwislamu hayakuhusu acha na nayo.
 
Wenzetu kwa watoto wao hawana mfumo mzuri wa kuwasomesha dini zao.
Sio hawana tu bali mfumo wa dini yao haukubali kabisa kuwaanda watoto wao ktk mfumo wa dini
Sasa wanaona choyo kuona waislam wamekiweka utaratibu wa madrasa ambao kwa kiwango kikubwa wanaopiga vita ili ukwame.
Changamoto ndogo ndogo kama bakora kwa watoto kusistoe ktk reli kuwasomesha watoto wetu.
1. Wanasema madrasa inapoteza muda kwa watoto na kurudisha nyuma mfumo elimu ya shule.
2. Unawafanya waislam wawe na msimamo wa dini yao
3. Walimu wa madrasa wanawapiga watoto.
Hata biblia imesema mtoto achapwe mpaka akae sawa
Suala hili limepitwa na wakati, hata Mazingira siyo mazuri ya Utoaji wa elimu kwenye suala hili.
 
Kumfundisha mtoto kuhusu dini moja tu pekee ni kumfanya radical tu na kumpumbaza kwa kumuaminisha mambo yasiyo na maana.

Inafaa mtoto ajue kwamba Kuna dini kibao duniani, na watu wanaamini vitu tofauti tofauti na wapo agnoatics, atheists n.k..
Hiyo sasa ndiyo elimu ya dini. Otherwise ni Sunday school, madrasa na vitu kama hivyo ni sehemu za kupumbaza watoto wasifikiri beyond walicholazimishwa kukariri.
 
Back
Top Bottom