Waislamu wa Hamas wafanya ibada ya mazishi ya Kiongozi wao aliyeuawa Sinwar bila maiti yake kuwepo je kiislamu iko sawa? Kufanya ibada ya mazishi bila mwili kuwepo? Wanazika hewa au? Halafu cheki huyo imamu alivyochachamaa utafikiri anazika kweli
View: https://youtu.be/pbK-wG0BtUQ?si=S2alI_a5UtX3l9r1
View: https://youtu.be/pbK-wG0BtUQ?si=S2alI_a5UtX3l9r1