Waislamu wa mji wa Dagestan nchini Urusi wavamia airport kuwasaka vyumbani wayahudi baada ya ndege kutua kutoka Israel

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264


Jamhuri ya Dagestan ni moja ya miji midogo ndani ya urusi inayosifika kwa kuwa na waislam wengi, huwa wana dalili za kujitenga na Urusi, Ni kama walivyo Chechnya.

Kwenye vita inayoendelea kwa sasa zimeibuka hisia za chuki dhidi ya wayahudi, Airport imevamiwa kwa lengo la kuwakamata wayahudi baada ya kupata taarifa kuna ndege inakaribia kutua iliyotokea Israel

Wakiwa wanaisubiri ndege kutua
Your browser is not able to display this video.


Baada ya kusubiri muda mrefu, Haikufahamika kama ndege imetua wamevamia Airport

Your browser is not able to display this video.
 
wajinga tu hao, kama wana hasira si wapande ndege waende Gaza wakapigane?
 
Kwani kila Myahudi ni Muisrael?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…