Waislamu wagombea Msikiti wa Wilaya ya Nyamagana, Ngumi zaibuka Waumini wadai BAKWATA imeundwa huu Msikiti wa Masjid Noor wameukuta!

Waislamu wagombea Msikiti wa Wilaya ya Nyamagana, Ngumi zaibuka Waumini wadai BAKWATA imeundwa huu Msikiti wa Masjid Noor wameukuta!

Wewe ndio utakuwa unapanga mauaji yao na kuratibu kuwaweka kwenye mapipa ya maji...s.h.e.n.z.i
Inamaana hizo taarifa ndio kwanza unazisikia kwangu? Nyie huko mnauana ndiomaana huwezi kusikia watu wanagombania kanisa
 
Vurugu zimeibuka Ndani ya Masjid Noor Uhuru st Mwanza baada ya Uongozi wa Bakwata kujimilikisha Msikiti huo na Nyumba zake.

Waumini wameadai Masjid Noor ipo tangu kabla ya Uhuru na watautetea usiporwe na Baraza.

Inadaiwa BAKWATA ndio inamiliki Hati ya kiwanja cha Msikiti baada ya ile ya awali yenye jina la Waumini hao kuexpire na kabla hawajarenew Bakwata ikawahi.

Source: Iqra FM radio Mwanza.
Kumekucha jino kwa jino
 
Bakwata imeanzishwa na nyerere Bakwata imejifunza unyanganyi kutoka kwa nyerere, Bakwata wanadhulimu mali za waislamu walioijenga kwa pesa zao wanazimilikisha Bakwata wanakula wao na familia zao. nyerere aliwanyanganya watu nyumba zao zimejengwa miaka hata nyerere hajazaliwa aliposhika urais kawadhulumu watu nyumba zao na kuipa NHC wakati nhc hawajajenga nyumba hata moja zoote za wahindi na waarabu dhulma hii ndio inayotutafuna na inaitafuna bakwata
Ndio unavodanganywa vijiweni kahawa shilingi 100
 
Zilipigwa ngumi humo ndani acha afu ilikuwa ni shughuli ya kimya kimya siku hiyo aliswalisha shehe 1 hivi muha acha kabisa.

Wengi wamehamia huu msikiti wa uhuru sasa ule wa pale maarafu msikiti wa ijumaa (nyerere road) upo chini ya bakwata

Sasa waumini walipohamia huo wa hapo uhuru hawataki bakwata ihusike na huu msikiti mpya (uhuru road) sijui kama itawezekana labda ccm iwe imekufa!

Bakwata inataka kodi za huo msikiti jambo ambalo waumini hawataki make hata uwanja ulipojengwa huo msiki ulitolewa na familia ya BAJBER miaka hiyo!
 
Zilipigwa ngumi humo ndani acha afu ilikuwa ni shughuli ya kimya kimya siku hiyo aliswalisha shehe 1 hivi muha acha kabisa.

Wengi wamehamia huu msikiti wa uhuru sasa ule wa pale maarafu msikiti wa ijumaa (nyerere road) upo chini ya bakwata

Sasa waumini walipohamia huo wa hapo uhuru hawataki bakwata ihusike na huu msikiti mpya (uhuru road) sijui kama itawezekana labda ccm iwe imekufa!

Bakwata inataka kodi za huo msikiti jambo ambalo waumini hawataki make hata uwanja ulipojengwa huo msiki ulitolewa na familia ya BAJBER miaka hiyo!

Mbona makanisa mengi yamejengwa na wakoloni ila taasisi za kikristo zimepewa ziyamiliki.
 
Maostaaadh ngumi wanazirusha bhana nakumbuka tanga miaka hiyo si kuna mwizi alijichanganya akaiba makobazi msikitini wakamdaka..[emoji23][emoji23][emoji23] bwana bwana unaambiwa walivyo wachoyo wakajifungia nae msikitini wapige wenyewe huku nje tunasikia tu puuuu,tiii tiii ,ngwee ngwee vilemba vinaruka hewani kanzu zimekunjwa huyu akirusha teke la karate huyu karusha ngumi basi heka heka mtindo mmoja mwizi kuja kutolewa kawa mnene uso wote(kavimba) hata kutema mate hawezi.. [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vurugu zimeibuka Ndani ya Masjid Noor Uhuru st Mwanza baada ya Uongozi wa Bakwata kujimilikisha Msikiti huo na Nyumba zake.

Waumini wameadai Masjid Noor ipo tangu kabla ya Uhuru na watautetea usiporwe na Baraza.

Inadaiwa BAKWATA ndio inamiliki Hati ya kiwanja cha Msikiti baada ya ile ya awali yenye jina la Waumini hao kuexpire na kabla hawajarenew Bakwata ikawahi.

Source: Iqra FM radio Mwanza.
du!!
 
Back
Top Bottom