Waislamu wazindua program 2010

Sifa za kiongozi wanaemtaka hawa maashura ni mtu mmoja tu anaweza kuwa nazo. Nae so mwingine bali ni Osama bin Laden....

Mgombea yeyote atakaekua Endorsed na hii shura aandike maumivu, hatashinda ng´ooo
 
Imekua vyema. Basi tusisikie kelele za muongozo wa Wakatoliki. Wao watekeleze programu yao na wawaache Wakatoliki watekeleze mipango yao.
Salute Mkuu. Na kwa msingi huu hatupaswi kusikia tena malumbano... tuachwe tuendelee na mambo mengine
 
Huo wimbo wa "waislamu wanaonewa" sijui utaisha lini. Hayo ni mambo ya kufikirika tu wala hakuna ukweli wowote. Ushauri wangu kwa waislamu ni kwamba waelekeze nguvu katika kusomesha watoto wao kama wanavyoelekeza nguvu kwenye madrasa. Wenzao wakristo wana-invest kwenye masuala yote; dini na elimu. Hivyo, siyo jambo la kushangaza kuona kuwa asilimia kubwa ya waislamu hawajasoma ikilinganishwa na wakristo. Hii siyo siri ni ukweli tu. Hata hao wanaojiita shura ya maimamu ukiwachambua kwa kina utagundua elimu yao imeishia kwenye masuala ya dini tu. Masuala ya kidunia ni patupu! Ukitaka uamini hoja yangu soma hayo maandishi yao ya kurasa 76 hutaona substance yoyote. Jambo la kushukuru ni kwamba hata waislamu wenzao ambao wameelimika kidunia wanawapuuza hao maimamu.
 
I can see clearly a fragmented Tanzania,how can a secural country argue based on religious grounds???nilifikiri tungewajidili wagombea kwa vipaumbele vyao? historia yao,uadilifu wao,uwezo wao katika kujadili na kutatua mambo mbalimbali,maono(vision ) zao, na si ataifanyia nini dini fulani,mtu fulani,kikundi fulani,jamii fulani,hell no!!!!!!!!!!!!
 

Nafikiri hapa ndipo ulipokosea na kutia chumvi kwenye chai
 
Wakatoliki itawaudhi hiyo program. lakini nchi ni ya wote . You can fool some people some time But ou can't all the people all the time.

In your dreams! Naona mzigo wa dhambi ushautua sasa uko mbioni kuanza upya! Yetu macho.

Amandla.......
 

Mkuu, mpaka uchambuliwe na mkeo!
Mimi naona huu ni mradi tu, mauzo ya waraka hayakukidhi njaa za baadhi za watu kwa hiyo wameona watoe sequel. Wajinga ndiyo waliwao.

Amandla......
 
Fundi Mchundo,

Unafikiri hawa Tumaini na Barubaru hata watanunua?

Kwanza hata wa kwanza hawajasoma. Wao siku nzima wako JF wanahaha na kuhema utafikiri Jogoo limeona paja la Mwanamke. Wanabadili thread moja hadi nyingine kutafuta habari za Dr. Slaa, Uislaam, Nyerere na CHADEMA.

Ukiwachunguza saana utagundua kuwa ni WASOMI wazuri tu na wameletwa hapa kwa kazi fulani ambayo kwa kweli wanaifanya vizuri sana.

Kama ulisoma maelezo ya GT juu ya USALAMA WA TAIFA utaanza kugundua kuwa aliyoyasema yana ukweli. Kama siyo UWT basi nchi ingelikuwa imelipuka zamani sana ila wao wanajua kuuma na kupuliza. Sasa hivi wanatukeep busy na UDINI na wakati huo Mafisadi wanazidi kupeta.

Maelezo ya GT yanaonyesha kuwa hata yeye mwenye GT anaweza kuwa UWT. Mara nyingi anakuwa na hawa akina Tumaini na Barubaru.

Uongozi wa JF inabidi uwamulike hawa jamaa. Ikibidi basi nilishauri JF imeguliwe na kwenye PUMBA basi na dini iwekwe. Jitu likianza kubadilisha mada basi linaliwa Ban. Akianzisha thread za kipuuzi basi inapelekwa kwenye thread ya Majungu/Pumba/Dini nk.
 
Sifa za kiongozi wanaemtaka hawa maashura ni mtu mmoja tu anaweza kuwa nazo. Nae so mwingine bali ni Osama bin Laden....

Mgombea yeyote atakaekua Endorsed na hii shura aandike maumivu, hatashinda ngo.
Kiongozi wanayemtaka hawa Maaskofu ni mtu mmoja tu anaweza kuwa nazo. Naye si Mwingine ila ni "John Garang" ..........
Mgombea yeyote atakekuwa endorsed na Maaskofu na waraka wao aandike maumivu, hatashinda ng'o
 
maneno yako sawia kabisa yaa Alhaj.

Pilipili yaliwa shamba wao yawawashiani.

Program ya waislam basi waacheni na program yao.
Unasahau kuwa hili ni shamba letu sote. Ungekuwa ni mwongozo wa msikitini au jumuiya ya Bakwata ingekuwa pilipili ya shamba. Lakini kuhusu uongozi wa nchi inatuhusu sote.
 
maneno yako sawia kabisa yaa Alhaj.

Pilipili yaliwa shamba wao yawawashiani.

Program ya waislam basi waacheni na program yao.

Waraka wa wakatoliki ulikuwa kwa Taifa na wa kwenu kwa waislamu?btw hiyo signature yako vipi?Ni wazi ukiwa mroho lazima utakuwa mchoyo maana you want it all sasa unaposema ukiwa mchoyo usiwe mroho haueleweki,Tumain ansema mnajadili mambo "Kiwaraka waraka" sasa hapa naona mmekuja na kiislam islam,ama?Hiyo pili pili kwenye shamba lenu bakini nayo,shida iko pale kwenye kujitambulisha kwa dini kwanza kabla ya utaifa,tunataka solutions zenye kutatua matatizo ya kitaifa na si program ziso na kichwa wala miguu.
 
Wakatoliki itawaudhi hiyo program. lakini nchi ni ya wote . You can fool some people some time But ou can't all the people all the time.

Ya alhajj-safari ilikuwaje?

Natumai na sisi ulituombea.

Pia natumai uliwaombea Wakatoliki na Waislamu waje na miongozi yenye manufaa kwa sote.
 

Naona mnataka rais muislam kwa ajili ya waislam,hakuna pahala napoweza kusema mnataka rais atakayewashughulikia mafisadi,very sad,uislam na waislam tu basi,everything else doesnt matter....Safari ni ndefu.
 
Naona mnataka rais muislam kwa ajili ya waislam,hakuna pahala napoweza kusema mnataka rais atakayewashughulikia mafisadi,very sad,uislam na waislam tu basi,everything else doesnt matter....Safari ni ndefu.

Wamesema lazima awe mwadilifu, sasa lazima uone neno fisadi ndio uridhike kwamba mwadilifu lazima apige vita ufisadi?

Quran inasema 'Inna llahh la yuhibu Mufsiddin' yaani 'Allah hapendi mafisadi' , hapo je umeridhika? Hata kitabu chao kinatangaza vita dhidi ya ufisadi. Utawaunga mkono sasa baada ya kuona haya ama utatafuta jingine?
 

Wanasema tatizo kubwa ni udini na wana imply kuwa viongozi wakristo ndiyo mafisadi....Soma kwa makini...Ningependelea kuona mwongozo wa kitaifa zaidi.
 

Ahali yangu Fundi mchundo.

Hakika mimi nimeununua jana majira ya saa sabaa mchana baada ya swala la Adhuhur pale msikiti wa Mtoro kariakoo kwenye duka la radio Quran.

Nimefurahi sana mwangozo huu umetoka wakati nipo Tanzania. Nitakuwepo mpaka ijumaa na namba ninayotumia ni 0777 420000 ( ya dereva wangu)


Nafikiri kinachokusumbua wewe ni kutaka watu uwaendeshe kama makondoo. Yaani wewe unataka kila mtu aisifie Chadema, Ukatoliki na mengine.

hakika nipo na natumai mwenzangu Tumaini naye yupo huru sana kuchangia kwa mujibu wa mawazo yake na sio kushinikizwa ka kashfa na matusi. Tunaomba utuletee hoja na si kingine.
 
Mkuu, mpaka uchambuliwe na mkeo!
Mimi naona huu ni mradi tu, mauzo ya waraka hayakukidhi njaa za baadhi za watu kwa hiyo wameona watoe sequel. Wajinga ndiyo waliwao.

Amandla......

Mke wangu ana taaluma mbili ya sheria na uandishi. sasa uchambuzi wake utakuwa na msingi mkubwa sana katika kuweka mambo sawa.

Unakumbuka hapahapa katika JF alivyounyambua waraka wa wakatoliki.
Sasa na huu ataudadavua tu usitie shaka
 
Kiongozi wanayemtaka hawa Maaskofu ni mtu mmoja tu anaweza kuwa nazo. Naye si Mwingine ila ni "John Garang" ..........
Mgombea yeyote atakekuwa endorsed na Maaskofu na waraka wao aandike maumivu, hatashinda ng'o
Keli kabisa.
 


Hongereni sana Barubaru na Tumain.

Bila shaka hawa ni mayahudi hawa.
 

Kwa hiyo, unakubaliana na mimi kwamba Waislamu kuwapinga Wakatoliki ulikuwa unafiki tu hawakuwa na hoja ya maana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…