Waisrael wakataa kumpa kiki Netanyahu, waandamana ang'oke madarakani kwa kushindwa kurejesha mateka

Waisrael wakataa kumpa kiki Netanyahu, waandamana ang'oke madarakani kwa kushindwa kurejesha mateka

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Benjamin Netanyahu alidhani kuwa kuendelea kuuaua watu, umwaga damu za watoto basi itakuwa Kinga kwake ya kuwaconvince waisrael kuwa ni waziri mkuu mzuri.

Lakini maelfu ya waisraeli wameendelea kuandamana kumtaka ang'oke. Hawako impressed na muenendo wake wa kiuongozi.

Baada ya Kuona raia hawajasahau kuwa kashindwa kuwakomboa mateka, Netanyahu napenyeza wazo eti HAMAS iachie mateka wachache na badala yake Israel ipunguze mauaji kidogo huko Gaza. HAMAS wamegoma na sasa hali ya kisiasa inazidi kuwa mbaya kwake.

Unaweza kuona video ya waisrael wakiandamana kumtaka Netanyahu ang'oke


View: https://www.youtube.com/watch?v=apR1BR9Jhb4&ab_channel=TimesOfIndia
 
Netanyahu anaungwa mkono na hawa waisrael wa huku chunya, mahenge, kaziramimba nk, pia anaungwa mkono na asilimia kubwa ya wazungu wenzake. Lakini wayahudi wenyewe original wenye Israel yao hawataki hata kumuona.

Nina imani anatuma watoto wa wenzake wakauwawe kwa sababu yeye wa kwake wanasoma na kuishi Miami. Kama angekuwa na mtoto mwanajeshi, i hope asingekubali kuiingiza nchi ya watu katika vita asivyoviweza.

Waisrael waendelee kuandamana na kutaka jumuiya ya kimataifa iwasadie kumrudisha Netanyahu na genge lake kwao Poland. Pale anauwa watoto wa wenzake bure kwa sababu anajua sio wake na nchi sio yake.
 
Netanyahu anaungwa mkono na hawa waisrael wa huku chunya, mahenge, kaziramimba nk, pia anaungwa mkono na asilimia kubwa ya wazungu wenzake. Lakini wayahudi wenyewe original wenye Israel yao hawataki hata kumuona.

Nina imani anatuma watoto wa wenzake wakauwawe kwa sababu yeye wa kwake wanasoma na kuishi Miami. Kama angekuwa na mtoto mwanajeshi, i hope asingekubali kuiingiza nchi ya watu katika vita asivyoviweza.

Waisrael waendelee kuandamana na kutaka jumuiya ya kimataifa iwasadie kumrudisha Netanyahu na genge lake kwao Poland. Pale anauwa watoto wa wenzake bure kwa sababu anajua sio wake na nchi sio yake.
Wewe dogo wewe funga domo lako, eti vita asivyoviweza unaongea kama unachambua siasa za bongo. Kwa hiyo Hamas kamasi walivyoishambulia Israel ilikuwa ni sawa? ISRAEL haikupaswa kujijitetea? Dunia nzima inajua aliyeagiza uchokozi ni hamas kamasi akifadhiliwa na iran mikojo
 
Bao ni waarabu. Kwahiyo lazima watetee magaidi wenzao
Mayahudi wanaandama kupinga unyama wa netanyahu lakini huko buza eti mnajipeleka kwa mazayuni wameshakuulieni wakiristo wenzenu tele huko jerusalem
 
Ni haki yao kuandamana maandamano ya kipuuzi. Nchi iko vitani halafu wanataka waziri mkuu wao ajiuzulu, huo ni ujuha. Wanamtaka nani ambaye atarejesha mateka wao hao? Hao raia ni hamnazo
 
Wewe dogo wewe funga domo lako, eti vita asivyoviweza unaongea kama unachambua siasa za bongo. Kwa hiyo Hamas kamasi walivyoishambulia Israel ilikuwa ni sawa? ISRAEL haikupaswa kujijitetea? Dunia nzima inajua aliyeagiza uchokozi ni hamas kamasi akifadhiliwa na iran mikojo
Mtoto wa 2010 unajua vita vya Israel na Hamas (Palestina) vilianza tar 7/10/2023. Sikulaumu kwa vile mwaka huo ndio ulipokuwa unaanza kupata akili, hivyo yaliokuwa yanafanyika huko nyuma wewe hauyajui.

Yani kwa umri wako huo ni wazi kwamba kabla ya lile tukio la Hamas la mwaka jana wewe ulikuwa haujui kinachoendelea huko Palestina. Wakati serikali ya Israel inajenga kwa nguvu katika maeneo ya wapalestina hadi kupelekea UN na hata Marekani yenyewe kuionya Israel juu ya kuendelea na ujenzi katika maeneo ya wapalestina wewe ulikuwa bado haujawa na akili. So bora nikuache utafute mtoto wa,2010 mwenzako msimuliane.
 
hakuna muisrael anaefanana na waarabu, muisrael ni mtu wa kutangatanga hawana eneo maalum kama walivyo wamasai huko kwenu, mchunguze vizur muarabu mchunguze na netanyahu utaona tofauti kubwa
Netanyahu mpoland,mlinganishe na mshambuliaji wa barcelona FC uone,jinale mileikowsky benzion
 
Ni haki yao kuandamana maandamano ya kipuuzi. Nchi iko vitani halafu wanataka waziri mkuu wao ajiuzulu, huo ni ujuha. Wanamtaka nani ambaye atarejesha mateka wao hao? Hao raia ni hamnazo
Anaeweza kurejesha magaidi wa kizayuni walikamatwa ni hamas pekee nanilazima wazayuni watapiga goti kwa hamas nisuala la muda tu maana paka kwakushiriana na idf usaf nato na wengine hawaja weza hawawezi na hawatakaa waweze
 
Mayahudi wanaandama kupinga unyama wa netanyahu lakini huko buza eti mnajipeleka kwa mazayuni wameshakuulieni wakiristo wenzenu tele huko jerusalem
Buza ndio wapi?
Wakiristo wenzenu mimi na nani?
Nani kakwambia mimi ni mkiristo?
Pambaf
 
Back
Top Bottom