Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Hizi ndiyo lugha ambazo serikali dhwalimu huzielewa.
Bila lugha hizi tutasubiri sana kwa madai yetu yote.
Kwani imekuwaje hatimaye Ruto na Gachagua kuongea lugha za kiutu kama hizi?
Viva wapambanaji wote viva!
Hizi ndiyo lugha ambazo serikali dhwalimu huzielewa.
Bila lugha hizi tutasubiri sana kwa madai yetu yote.
Kwani imekuwaje hatimaye Ruto na Gachagua kuongea lugha za kiutu kama hizi?
Viva wapambanaji wote viva!