Waitara awashukia vikali Mawaziri. Zungu amjibu hata yeye alikuwa anafanya hivyo hivyo alipokuwa Naibu Waziri

Waitara awashukia vikali Mawaziri. Zungu amjibu hata yeye alikuwa anafanya hivyo hivyo alipokuwa Naibu Waziri

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Leo mbunge Waitara amewashukia naibu Waziri maliasili na Waziri wa ardhi na kuwalaumu kumtegea mabomu njiani. Waitara amesema wahusika wameenda jimboni kwake na kudai wamemshirikisha eneo la mipaka na kuwahamisha watu bonde la mto Msimbazi.

Waitara amewataka mawaziri wa Maliasili na Ardhi waende mkoa wa Mara kwani hawawezi kwenda peke yao na kuwapa wananchi wake taarifa za uongo, Waitara amesisitiza watagombana.

Mwisho amesema amewekewa bomu ambalo hatakubali kulipuka peke yake bali watalipuka wote.

Kuhusu ripoti ya Jaffo, amesema walishaandikiana sana na mgodi lakini ripoti ya Jaffo imeharibu hali ya hewa.

Akimjibu, Naibu spika wa Bunge, Mussa Zungu amenena
Mussa Zungu: Asante mheshimiwa Waitara lakini wewe ulikuwa naibu Waziri wa mazingira na ulikuwa unakwenda kwenye migodi wala wabunge wenzio huwaambii, na umemaliza ukaenda huko uchukuzi, unaenda huko unakagua lakini huwaambii lakini hoja yako ni ya msingi.

Kwa mawaziri mkienda huko muambizane lakini habari ndio hiyo.
 
Leo mbunge amewashukia naibu waziri maliasili na waziri wa ardhi na kuwalaumu kumtegea mabomu njiani. Waitara amesema wahusika wameenda jimboni na kudai wamemshirikisha eneo la mipaka na kuwahamisha watu bonde la mto Msimbazi.

Waitara amewataka mawaziri wa Maliasili na Ardhi waende mkoa wa Mara kwani hawawezi kwenda peke yao na kuwapa wananchi wake taarifa za uongo, Waitara amesisitiza watagombana.

Mwisho amesema amewekewa bomu ambalo hatakubali kulipuka peke yake bali watalipuka wote.

Kuhusu ripoti ya Jaffo, amesema walishaandikiana sana na mgodi lakini ripoti ya Jaffo imeharibu hali ya hewa. Watu wanaogopa kunywa maji

Akimjibu, Naibu spika Zungu
Mussa Zungu: Asante mheshimiwa Waitara lakini wewe ulikuwa naibu waziri wa mazingira na ulikuwa unakwenda kwenye migodi wala wabunge wenzio huwaambii, na umemaliza ukaenda huko uchukuzi, unaenda huko unakagua lakini huwaambii lakini hoja yako ni ya msingi.

Kwa mawaziri mienda huko muambizane lakini habari ndio hiyo.
Bunge la mchongo kila siku ni visa tu vya kuparuana wao kwa wao.

Ile dhambi ya uporaji itawatafuna sana.
 
Hii paragraph ya Zungu imenichekesha sana 😂😂😂


Akimjibu, Naibu spika Zungu
Mussa Zungu: Asante mheshimiwa Waitara lakini wewe ulikuwa naibu waziri wa mazingira na ulikuwa unakwenda kwenye migodi wala wabunge wenzio huwaambii, na umemaliza ukaenda huko uchukuzi, unaenda huko unakagua lakini huwaambii lakini hoja yako ni ya msingi.

Kwa mawaziri mienda huko muambizane lakini habari ndio hiyo.
 
Hii paragraph ya Zungu imenichekesha sana [emoji23][emoji23][emoji23]


Akimjibu, Naibu spika Zungu
Mussa Zungu: Asante mheshimiwa Waitara lakini wewe ulikuwa naibu waziri wa mazingira na ulikuwa unakwenda kwenye migodi wala wabunge wenzio huwaambii, na umemaliza ukaenda huko uchukuzi, unaenda huko unakagua lakini huwaambii lakini hoja yako ni ya msingi.

Kwa mawaziri mienda huko muambizane lakini habari ndio hiyo.
Tunawazee wa hovyo sana taifa hili

USSR
 
Hii paragraph ya Zungu imenichekesha sana 😂😂😂


Akimjibu, Naibu spika Zungu
Mussa Zungu: Asante mheshimiwa Waitara lakini wewe ulikuwa naibu waziri wa mazingira na ulikuwa unakwenda kwenye migodi wala wabunge wenzio huwaambii, na umemaliza ukaenda huko uchukuzi, unaenda huko unakagua lakini huwaambii lakini hoja yako ni ya msingi.

Kwa mawaziri mienda huko muambizane lakini habari ndio hiyo.
Wanagombea Rushwa wote

Barrick wako makini mno maswala ya mazingira Kule kwao wanahisa wao hawataki ujinga
Issue ya mazingira

Kila mmoja anajigonga akitegemea Barrick wampe chochote loo

Barrick achana nao wala Rushwa wote hakuna mwenye nafuu
 
Wanagombea Rushwa wote

Barrick wako makini mno maswala ya mazingira Kule kwao wanahisa wao hawataki ujinga
Issue ya mazingira

Kila mmoja anajigonga akitegemea Barrick wampe chochote loo

Barrick achana nao wala Rushwa wote hakuna mwenye nafuu
Ndio hoja ya kwenda kimyakimya ni agenda ya hovyo


USSR
 
Ndio hoja ya kwenda kimyakimya ni agenda ya hovyo


USSR
Kwenye Rushwa kila mmoja anataka kwenda kimya kunywa bila kushirikisha mwingine ila wote wala Rushwa na wawinda Rushwa tu period
 
Back
Top Bottom