Waitara: Hakuna mbunge mwenye haki ya kuwatetea waliokatwa

Waitara: Hakuna mbunge mwenye haki ya kuwatetea waliokatwa

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Anasema hakuna mwenye mamlaka ya kuwasemea waliokatwa wajisemehe wenyewe.

Anasema wabunge wanaongelea mambo wasiyoyajua uko mtaani hali ni tofauti kabisa.

Mimi nimejiuliza hivi mbunge ni nani mpaka azuiliwe kuongea mambo yanayoendelea jimboni kwake je sio mwakilishi ya waliokatwa ni mwakilishi wa nani?

Je, Waitara anatumia Sheria ipi kuwazuia wabunge wasiongelee mambo ya hovyo yanayoendelea majimboni kwao kuhusu uchaguzi fake?
 
Wabunge wa upinzani wamekuwa watu wa kutengeneza matukio asaivi ila ukienda field ni tofauti kabisa
 
Kakimbia Kivule huku hatujui anaishi wapi popo huyo asubiri kukatwa 2020 ajue machungu ya haki yalivyo
 
Ni vibaya sana kuwa mtumwa, kila wasaa unawaza kumfurahisha bwana wako. Jamaa anawaibisha sana wanaume wa kanda maalumu. Inabidi apewe jina jingine si kwa usaliti huo.
 
Back
Top Bottom