Wewe ndiye umepotezwa kabisa na siasa:
1. Waitara si mwanasiasa?
2. Tunajua kuwa ccm inamjengea mazingira na nguvu za kumng'oa Heche; wananchi hawataki, na
3. Kabila lile lina msimamo. Asifikiri ataweza kufaulu kutumia nguvu za dola kushinda uchaguzi.
Atakawafanyia wananchi wa Tarime alichoshindwa jimbo alilokimbia ni nini?