kipanta
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 925
- 1,086
Nilijua tu huyu mwamba sio mchezo, Garcia round ya pili tu alikuwa kala nyasi, Tank ni hatari sana aseGervonta "Tank" Davis anaingia kwenye historia mpya ya masumbwi duniani kwa kumtwanga Ryan Garcia kwa KO raundi ya 7.