Naifahamu Carbo Verdè tangu wewe hujaja mjini Kutoka bush.....Ni mapema mno, kaja hana hata mwezi , mchezo wa jana ni wapili kwake, wachezaji wenyewe hajawajua sawasawa, watanzania wenyewe ni watu wa kulishwa maneno, wamelishwa maneno kwamba Cape Verde ina mpira mdogo na inafungika, wamelishwa maneo kwamba Cape Verde haina uwanja mkubwa wa ndege wa kutua Dreamliner wakati si kweli, Cape Verde wana viwanja vizuri kuliko vya kwetu wana viwanja vya ndege bora kuliko vyetu, wana timu nzuri ya taifa ya mpira kuliko ya kwetu
Kwa hiyo mleta mada ni moja wapo wa watu wa kilishwa maneno, siku hizi kwa nini ungoje kuambiwa? wakati unaweza kugooge tu ukapata ukweli wote?
Acha Soka la vijiweni kijana....unawa'overrate sana Cape VerdeYani una taka kina ajibu ma kichuya wakacheze na kina ricardo na nuno? Hivi huijui cape verde ee? Ulitaka kumfunga cape verde kwenye uwanja wake wa nyumbani? Mimi nita fadhaika kama tuta shindwa kumfunga cape verde apa uwanja wa taifa io jumanne
Tulishawahi kupangwa nao kabla nadhani ilikuwa around 2009-10 tuliwafunga Dar 3-0 na kutoa nao sare ya 1-1 kwao mfungaji wetu kule alikuwa Kiggi MakassyNi mapema mno, kaja hana hata mwezi , mchezo wa jana ni wapili kwake, wachezaji wenyewe hajawajua sawasawa, watanzania wenyewe ni watu wa kulishwa maneno, wamelishwa maneno kwamba Cape Verde ina mpira mdogo na inafungika, wamelishwa maneo kwamba Cape Verde haina uwanja mkubwa wa ndege wa kutua Dreamliner wakati si kweli, Cape Verde wana viwanja vizuri kuliko vya kwetu wana viwanja vya ndege bora kuliko vyetu, wana timu nzuri ya taifa ya mpira kuliko ya kwetu
Kwa hiyo mleta mada ni moja wapo wa watu wa kilishwa maneno, siku hizi kwa nini ungoje kuambiwa? wakati unaweza kugooge tu ukapata ukweli wote?
Ni kinini kina kufanya uweze ku underrate cape verde? Timu ya 63 kwa ubora duniani ipo nyumbani dhidi ya team 140 kwa ubora duniani... so una expect nn apo mzee? Apo ni sawa sawa na somalia ije uwanja wa taifa then eti mashabiki wa somalia wategemeee kutufunga sisi katika uwanja wa taifaAcha Soka la vijiweni kijana....unawa'overrate sana Cape Verde
Kama mpira tutaangalia viwango vya FiFa basi Ujerumani angetetea ubingwa wake....labda unaweza kuniambia kwanini Argentina alifungwa 3-0 na Croatia kwenye kombe la dunia.....je hapo hoja yako ya viwango vya FIFA si itakuwa haina mashiko sana!!!Ni kinini kina kufanya uweze ku underrate cape verde? Timu ya 63 kwa ubora duniani ipo nyumbani dhidi ya team 140 kwa ubora duniani... so una expect nn apo mzee? Apo ni sawa sawa na somalia ije uwanja wa taifa then eti mashabiki wa somalia wategemeee kutufunga sisi katika uwanja wa taifa
Kama mpira tutaangalia viwango vya FiFa basi Ujerumani angetetea ubingwa wake....labda unaweza kuniambia kwanini Argentina alifungwa 3-0 na Croatia kwenye kombe la dunia.....je hapo hoja yako ya viwango vya FIFA si itakuwa haina mashiko sana!!!
Kocha! kocha! Kocha!....aliingia na mawazo ya kulazimasha sare kwa kujaza mabekiTulichagua wenyewe kufungwa.makosa yameanzia kwa kocha kushindwa kupanga kikosi yakaenda hadi kwa wachezaji kujua wajipangeje kimajukumu uwanjani.Pamoja na kwamba cape verde wako vizuri ila bado mpira wao niwakawaida nasisi tungecheza vizuri tungepunguza idadi ya magoli au nasisi tusingetoka kapa.
Kuna watu wana mioyo ya uvumilivu aisee....yaani huyo Ulimwengu alivyo takataka ila bado kuna Club inamtegemea kama Forward wao na inamlipa Madolari.....kweli Wonders never end!!!Sijaona nafasi ya Ulimwengu pale T stars yaani inaonekana kama vile hawa wachezaji wanateuliwa bungeni na teuzi zao haziwezi kutenguliwa.
Wachezaji wale wale kila siku kwanini tusitafute wachezaji wengine tuachane na hawa waliokubuhu akili.
Argentina unaifananisha na Tz una akili ww? Argentina kocha anaweza kuchagua vikosi hata vi3 na vyote vimeshiba .....unamtoa Samata unamweka nani? Mmeshazoea mpira wa magazetini kupamba wachezaji wakati viwango hamnaWorld Cup 2018 Argetina aliachwa Mauro Icardi top scorer Serie A, Germany aliachwa Leroy Sane sembuse Samata..Acha kukariri wewe Bashite...
Sawa, alitolewa Mauro, akawekwa Messi, Aguero, Paulo Dyabala, walifika wapi Argetina na mpira gani walicheza? Ok, Akatolewa Sane akawekwa Muller na reus alicheza mpira gani Germany na aliishia wapi?Tumemuweka Sammata tumecheza nini na tumefika wapi? Tujitafakari tunakwama wapi.. Samata hataki kuumia kwa viposho vyetu halafu akasugue bench Genk..Paul rusassabaniga aliwahi kumwambia kijakazi wake (Dube) kua uki mpa mtu tajiri 10,000 franc ita msaidia nini na wakati uo uo anazo pesa za kutosha....
Na je uki mtoa icardi ukabakiwa na dybala aguero na messi una kua na shida gan? Na uka mtoa sane ukabakiwa na muller na reus una shida gani....
Lakini uta mtoaje samatta na kubakiwa na kichuya?
Napata mfadhaiko mkubwa pale timu yetu ya taifa inapofungwa tena kiboya kabisa....kwa ugunduzi wangu mwembamba, nimegundua kuwa Tatizo la Timu yetu ya taifa kufanya vibaya ni huyu Kocha (Amunike).
Katika ya mechi hii na Carbo Verdè, nilitegemea mabadiliko na usahihishaji wa makosa yaliyojitokeza kwenye mechi yetu na Uganda but kocha ameamua kuwa mbishi na misimamo yake inayogharimu future ya timu yetu
*Thomas Ulimwengu? Wa kazi gani?
*Mbwana Samatta? Huyo mfanyakazi wa Genk?
*David Mwantika? Real?
Kiukweli Hawa Mapro wameshakuwa mzigo kwa timu yetu...wanachojua kwa sasa nikujipiga selfie na kupost ista tu!!!
Naangalia mpira hapa hamu imepungua, Inatia kinyaa.....Kichuya, Yondani, Mkude, Ajibu,Kapombe (Unawaachaje hao halafu utarajie miujiza?)
Ilihuzunisha wengine si wewe tu.Tarehe 16 Oct utafurahiHii mechi imenihuzunisha sana