Mkuu LORDVILLE 1, course ninayotaka huko MIST na DIT haipo 2, Brother angu kamaliza UD Mining mwaka jana kaniambia pale kwa upande wa vifaa vya practical ni full balaa kuhusu MIST nakuomba usibwabwaje kila mara naenda pale kuna wanangu wanapiga diploma pale wamenipa black and white. Labda DIT. Pia umekubali Ud ni chuo poa sasa sijui unatakaje. Labda anayejua atusaidie
Kama wakinipeleka pspa,watakuwa wamekwenda kunipa firstclass,mana mwanasiasa ana somea siasa tena kisayansi,4.7 iyooo
Be straight to the point, please come back again
HUJAKOSEA NDUGU!!Mkuu LORDVILLE 1, course ninayotaka huko MIST na DIT haipo 2, Brother angu kamaliza UD Mining mwaka jana kaniambia pale kwa upande wa vifaa vya practical ni full balaa kuhusu MIST nakuomba usibwabwaje kila mara naenda pale kuna wanangu wanapiga diploma pale wamenipa black and white. Labda DIT. Pia umekubali Ud ni chuo poa sasa sijui unatakaje. Labda anayejua atusaidie
HUJAKOSEA NDUGU!!
sio kwamba ud ni chuo kibaya..la hasha..ni kizur tu na kama kingekua kibaya kingekua kisha fungwa zaman sana..
ulichoniudh ni kwamba unaonekana unaponda vyuo vngine kitu ambacho sio kizur hasa kwa wale ambao wanataka ud afu wamekosa!!!
ndugu kuwa engineer(mzuri) sio lazima kusoma ud!! kama huamin cheki web ya bodi ya wahandisi hapa tz nadhan utaelewa!!
SASA NLICHOKUA NATAKA NI UREKEBISHE KAULI YAKO(KWAMBA MA ENGINEER WAZURI WANATOKA UD)! NA KAMA UNATUMIA BUSARA UTANIELEWA NACHOMAANISHA.....
**** wewe sasa unataka nisome chuo cha baba ako ivi chuo gani kinatoa wahandisi wazuri zaidi ya Ud. **** kabisa wewe. Yawezekana ulifeli thats why unaichukia Ud.
kijana @Ipycalpse..nadhani unaikumbuka hii?? au sio yako???**** wewe sasa unataka nisome chuo cha baba ako ivi chuo gani kinatoa wahandisi wazuri zaidi ya Ud. **** kabisa wewe.
je hiyo unaikumbuka??ulifeli thats why unaichukia Ud
Kama wakinipeleka pspa,watakuwa wamekwenda kunipa firstclass,mana mwanasiasa ana somea siasa tena kisayansi,4.7 iyooo
huoni hata aibu kujisifia,yan janaume zima unatangaza kabisa kuwa unaenda kusoma PSPA?
je unaikumbuka hii?? mimi na wewe nani anaropoka??? fikiria zaid!!! afu unaona imekaaje kama si kimadharau??**** wewe sasa unataka nisome chuo cha baba ako ivi chuo gani kinatoa wahandisi wazuri zaidi ya Ud. **** kabisa wewe. Yawezekana ulifeli thats why unaichukia Ud.