Wajanja tushajua tumechaguliwa wapi na tcu.

Wajanja tushajua tumechaguliwa wapi na tcu.

Mkuu LORDVILLE 1, course ninayotaka huko MIST na DIT haipo 2, Brother angu kamaliza UD Mining mwaka jana kaniambia pale kwa upande wa vifaa vya practical ni full balaa kuhusu MIST nakuomba usibwabwaje kila mara naenda pale kuna wanangu wanapiga diploma pale wamenipa black and white. Labda DIT. Pia umekubali Ud ni chuo poa sasa sijui unatakaje. Labda anayejua atusaidie

mnaonaje mkianzisha thread yenu ili mbishane vizuri?
 
Last edited by a moderator:
Kama ndivyo bac Sua agribusiness itakuwa mzuka sana,lkn wakubwa tuvute pumz chakula kiko jikon soon kitapakuliwa.
 
Kama wakinipeleka pspa,watakuwa wamekwenda kunipa firstclass,mana mwanasiasa ana somea siasa tena kisayansi,4.7 iyooo
 
Kama ndivyo bac Sua agribusiness itakuwa mzuka sana,lkn wakubwa tuvute pumz chakula kiko jikon soon kitapakuliwa.

hongera sana mdau,mimi mwenyewe niliichagua hyo kitu,sema niliiweka kama 2nd choice!
 
mpigamsuli umetisha mkuu but akija yule jamaa yako moto utawaka. lol
 
Last edited by a moderator:
Acheni mbwembwe ,mwanaume sitetereki na taarifa ambazo hazina ukweli,bali zimejaa ubabaishaji mtupu,kutungatunga stori!
 
Acheni mbwembwe ,mwanaume sitetereki na taarifa ambazo hazina ukweli,bali zimejaa ubabaishaji mtupu,kutungatunga stori!

ungekua mwanaume ungesoma kombi za kuimba mashairi na ngonjera?
 
Kama wakinipeleka pspa,watakuwa wamekwenda kunipa firstclass,mana mwanasiasa ana somea siasa tena kisayansi,4.7 iyooo

huoni hata aibu kujisifia,yan janaume zima unatangaza kabisa kuwa unaenda kusoma PSPA?
 
Ukisema hivyo utakuwa unawakosea heshima wa2 wakubwa nch hii kama profesa.mwesigabaregu,profesa.issashivji,dr.bensonbana
 
Mkuu LORDVILLE 1, course ninayotaka huko MIST na DIT haipo 2, Brother angu kamaliza UD Mining mwaka jana kaniambia pale kwa upande wa vifaa vya practical ni full balaa kuhusu MIST nakuomba usibwabwaje kila mara naenda pale kuna wanangu wanapiga diploma pale wamenipa black and white. Labda DIT. Pia umekubali Ud ni chuo poa sasa sijui unatakaje. Labda anayejua atusaidie
HUJAKOSEA NDUGU!!
sio kwamba ud ni chuo kibaya..la hasha..ni kizur tu na kama kingekua kibaya kingekua kisha fungwa zaman sana..
ulichoniudh ni kwamba unaonekana unaponda vyuo vngine kitu ambacho sio kizur hasa kwa wale ambao wanataka ud afu wamekosa!!!
ndugu kuwa engineer(mzuri) sio lazima kusoma ud!! kama huamin cheki web ya bodi ya wahandisi hapa tz nadhan utaelewa!!
SASA NLICHOKUA NATAKA NI UREKEBISHE KAULI YAKO(KWAMBA MA ENGINEER WAZURI WANATOKA UD)! NA KAMA UNATUMIA BUSARA UTANIELEWA NACHOMAANISHA.....
 
mnaonaje mkianzisha thread yenu ili mbishane vizuri?
MKUU Perry hapa hatubishani ni katika kuwekana sawa tu!! ila si kubishana mana hicho kitu hakina nafasi kwangu....elewa kwanza ndo utoe hoja zako!!!!!! Perry
 
Last edited by a moderator:
HUJAKOSEA NDUGU!!
sio kwamba ud ni chuo kibaya..la hasha..ni kizur tu na kama kingekua kibaya kingekua kisha fungwa zaman sana..
ulichoniudh ni kwamba unaonekana unaponda vyuo vngine kitu ambacho sio kizur hasa kwa wale ambao wanataka ud afu wamekosa!!!
ndugu kuwa engineer(mzuri) sio lazima kusoma ud!! kama huamin cheki web ya bodi ya wahandisi hapa tz nadhan utaelewa!!
SASA NLICHOKUA NATAKA NI UREKEBISHE KAULI YAKO(KWAMBA MA ENGINEER WAZURI WANATOKA UD)! NA KAMA UNATUMIA BUSARA UTANIELEWA NACHOMAANISHA.....

naomba uninukuu sehem nilipoponda vyuo vingine kumbe nawe na mlopokaji? Niambie wapi
 
nyie ambao mnasema selection zimeshafanyika wote ni waongo...mimi leo nimekuta kituko kwenye profile yangu siku za nyuma kabla ya deadline ya application nilibadili my first choice kutoka medicine to pharmacy na ilikuwa hivyo hadi jana leo nakuta tofauti ambapo medicine ndo first choice kama wameshafanya selection then how and why should this happen wakuu
 
**** wewe sasa unataka nisome chuo cha baba ako ivi chuo gani kinatoa wahandisi wazuri zaidi ya Ud. **** kabisa wewe. Yawezekana ulifeli thats why unaichukia Ud.

wahandisi gani hao wazuri kutoka Udsm unaowasema? Wamefanya Kazi ili tuupime uzuri wao?
Kwa kukusaidia tu mdogo wangu, chuo n tofaut na secondary, secondary ndo kuna hzo lugha za shule nzuri, walimu wazuri!
 
**** wewe sasa unataka nisome chuo cha baba ako ivi chuo gani kinatoa wahandisi wazuri zaidi ya Ud. **** kabisa wewe.
kijana @Ipycalpse..nadhani unaikumbuka hii?? au sio yako???
ulifeli thats why unaichukia Ud
je hiyo unaikumbuka??
JE ANAYEROPOKA NI MIMI AU WEWE??
 
Kama wakinipeleka pspa,watakuwa wamekwenda kunipa firstclass,mana mwanasiasa ana somea siasa tena kisayansi,4.7 iyooo

kama ni udom sahau kuhusu 4.7 ila kama n udsm umeipata (hahaha jokes bhana nawatania udsm!!!)
dogo PSPA n ngumu ackwambie m2! Hata mi mwanzon nlikuwa nina mawazo ka yako! PSPA hutujifunz siasa za majukwaan za CCM na CHADEMA! Ndani ya PSPA koz za HRM, ORGANIZATION THEORY, OB, MANAGEMENT, RESEARCH n.k znahucka kwa sana tu!
 
**** wewe sasa unataka nisome chuo cha baba ako ivi chuo gani kinatoa wahandisi wazuri zaidi ya Ud. **** kabisa wewe. Yawezekana ulifeli thats why unaichukia Ud.
je unaikumbuka hii?? mimi na wewe nani anaropoka??? fikiria zaid!!! afu unaona imekaaje kama si kimadharau??
 
Back
Top Bottom