NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Unavyosema uliwahi kulimiliki ukaliuza umenitia hasira sana.Angalia na Bei yake, Haina airbags wala nini, Ila nimekapenda sana hiyo gari. Niliimiliki 1998 na nikaiuza 2008 Ila leo najuta sana kuiuza.
Bonge ya gariii, full balance, full comfortable, full mamwendo mdundo
Yakale ni dhahabu hasa ukijua kutunza.