NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Unavyosema uliwahi kulimiliki ukaliuza umenitia hasira sana.Angalia na Bei yake, Haina airbags wala nini, Ila nimekapenda sana hiyo gari. Niliimiliki 1998 na nikaiuza 2008 Ila leo najuta sana kuiuza.
Bonge ya gariii, full balance, full comfortable, full mamwendo mdundo
Hivi ushachunguza bodaboda akikufuata nyuma huwa anakuwa usawa wa taa?! Akikugonga haikosi taaRangi kwangaruuu, bampa linatoka unaweka misumari mradi tafran
Pita darajani mkuuMkuu nakaa Kigamboni natumia pantoni mara kwa mara yaani kuna wamama wana ndoo za samaki wanapita nazo katikati ya magari wanagonga gari lako na zile ndoo bila kujali. Ukitaka siku yako iharibike muulize au mwambie apite vizuri. Bado wauza crisps hawajaweka matenga yao ya chuma juu ya bonnet, raia ataweka begi lake juu ya boot, bado kuna wale wabeba mabegi mgongoni kazi Yao ni kugonga na kugeuza side mirror. Ni balaa gari ina makovu balaa!
Napita kote kote... pantoni muda fulani very efficient ila ndio hivyoPita darajani mkuu
I was a young man by the time. Sasa niko matured, naitafuta kwa gharama Yeyote ambayo iko ndani ya uwezo wanguUnavyosema uliwai kulimiliki ukaliuza umentia hasira sana.
Yakale ni dhahabu hasa ukijua kutunza.
Ndio maana nnapita darajani, japokuwa siku hizi hamna hizi purukushani,Mkuu nakaa Kigamboni natumia pantoni mara kwa mara yaani kuna wamama wana ndoo za samaki wanapita nazo katikati ya magari wanagonga gari lako na zile ndoo bila kujali. Ukitaka siku yako iharibike muulize au mwambie apite vizuri. Bado wauza crisps hawajaweka matenga yao ya chuma juu ya bonnet, raia ataweka begi lake juu ya boot, bado kuna wale wabeba mabegi mgongoni kazi Yao ni kugonga na kugeuza side mirror. Ni balaa gari ina makovu balaa!
Pamoja na miundombinu ya barabara za Japan kuwa bora, lakini pia Wajapani hutumia sana usafiri wa umma (public transport) ambao uko more advanced na kasi. Ambapo wengi hutumia gari binafsi kwa siku chache katika mwezi.View attachment 1659067
Wajapani wanawezaje kutunza gari na kubaki mpya kiasi hiki ikiwa na miaka 28. Japan ni nchi ya visiwa visiwa, hali ya hewa ya joto na wakati mwingine baridi Kali, upepo unavuma chumvi, vitu vinapata kutu.
Lakini magari ya Japan yana bodi imara sana haiathiriki na kutu ukilinganisha na magari ya Uingereza.
Hivi hii imekaaje?
Hata tu gari kuendelea kuwa mpya baada ya miaka 28 tangu itengenezwe.
Extrovert , RRONDO na Mshana Jr naomba maarifa yenu na wengine wote ambao sijawataja mwakaribishwa
Sio rahisi24 valve nimeshawahi mara nyingi KWENDA Arusha kwa masaa manne usiku
Mtumba wa Japan huwa unanukia balaa... huwa najisikia raha ukitua bongo nikaenda kuupokea bandari kavuBarabara zao bomba na gari kufanyiwa service kila mara na siyo mpaka liharibike.
Kwa utaratibu wa kijapani, gari ni lazima kufanyiwa service/check up kila baada ya miaka 2.View attachment 1659067
Wajapani wanawezaje kutunza gari na kubaki mpya kiasi hiki ikiwa na miaka 28. Japan ni nchi ya visiwa visiwa, hali ya hewa ya joto na wakati mwingine baridi Kali, upepo unavuma chumvi, vitu vinapata kutu.
Lakini magari ya Japan yana bodi imara sana haiathiriki na kutu ukilinganisha na magari ya Uingereza.
Hivi hii imekaaje?
Hata tu gari kuendelea kuwa mpya baada ya miaka 28 tangu itengenezwe.
Extrovert , RRONDO na Mshana Jr naomba maarifa yenu na wengine wote ambao sijawataja mwakaribishwa
Mimi pia mkuu hii gari niliwahi kuimiliki, ilikuwa inafunguka hatari, yangu ilikuwa na engine ya 1G curve,6 cylinder, halafu ilikuwa na mziki mzito wa Kenwood hauhitaji hata kuwa na booster. Pia ilikuwa na system moja ukiwa unaondoka ikifika 30 kph milango inajilock, niliipenda sana kwakweli...Bonge ya gari. Na Mimi nilikuwa nalo twin cams 6 cylinder.
Wanaume hawaruhusiwi kuendesha au kumiliki gari?Kwa utaratibu wa kijapni, gari ni lazima kufanyiwa service/check up kila baada ya miaka 2.
Pili, gari kama hiyo umiliki wake ni wa mtu mmoja tu, tena Bibi wa kijapani ambae safari zake ni supermarket na nyumbani!!
Tatu, miundo msingi kuanzia barabara na teknolojia vina mchango mkubwa sana ktk utunzajinwa gari.
Sio rahisi
Magari mapya kabisa ya serikali yanakufa baada ya muda gani?mkumbuke wao wanazichukua zikiwa mpya kabisa.
Ni gari moja nzuri. Kama kiuchumi upo vizuri sio ya kuiacha kwani kidogo inakula mafuta. Lakini ni gari nzito ukiwa ndani ni kama vile upo kwenye V8.Mimi pia mkuu hii gari niliwahi kuimiliki,ilikuwa inafunguka hatari,yangu ilikuwa na engine ya 1G curve 6 cylinder,halafu ilikuwa na mziki mzito wa Kenwood hauhitaji hata kuwa na booster.Pia ilikuwa na system moja ukiwa unaondoka ikifika 30 kph milango inajilock,niliipenda sana kwakweli...
Gari za serikali 90% zinakufa sababu service haizingatiwi.Magari mapya kabisa ya serikali yanakufa baada ya muda gani?