Shirika la viwango Tanzania (TBS),limewataka wazalishaji wenye bidhaa zilizokidhi matakwa,
ya viwango na kukabidhiwa leseni za kutumia alama ya ubora,kuhakikisha wanatumia fursa
hiyo kupanua masoko yao ikiwa ni pamoja na kuuza bidhaa zao nje ya nchi.