Wajasiriamari: Green house kwa uwezo wako!

Wajasiriamari: Green house kwa uwezo wako!

Hapo juu kuna mawasiliano zinapatikana Nairobi.

Mkuu angalia thread niliyoi-quote hapo juu. Naulizia huyo mheshimiwa wa hapa Dar ambaye amepata mafanikio ktk kilimo hiki. Tafadhali cheki thread nilioi-quote maana nataka nimtembelee huyu Mr nione
 
Balton Tanzania, niliwatumia inquiry ya products zao ili niweze kununua, nilijibiwa nisubiri nitajibiwa, hadi leo mwezi umepita ni kimya, wameweka website address kama fashion tu hakuna lolote, Tanzania hatuwezi kuwakaribia Kenya, sisi bado analogy saaana tu! Balton kama mnaingia humu JF mjijue nyinyi hamna lolote nyie! Wachina, Wajapan na hata Kenya nikifanya enquiry wanajibu in short time, nyie bado mnauza sura tu kusubiri maonyesho ya nane nane !! Sasa hizo products mmeweka kwenye website sijui Mkulima kit na Acre kit za nini iwapo tunafanya inquiry mmeuchuna tu. Lol

Hilo ndilo tatizo kubwa la makampuni mengi Tanzania. Wanatangaza websites zao na kuweka anuani. Ukiwaandikia hawakupi jibu. Ni mara nyingi nikiwa ughaibuni nanunua vifaa mbalimbali. Wauzaji wa bidhaa hizo wananiambia kuwa wana wakala wao Tanzania uwasiliane nao. Ukuwaandikia hawajibu. Kwangu mimi ni bora kununua vifaa ughaibuni moja kwa moja kutoka kwa watu wanaoujua marketing na customer service and care. Tanzania huduma hizo hazipo kabisa. Nenda supermarket ununue bidhaa. Ukifika checkout counter wahudumu wamenuna kama vile wamepewa adhabu. Wangetoka nje waone wenzao ughaibuni: unaamkiwa kwa tabasamu nzuri, ukishalipa unaambiwa asante na unaagwa na kukaribishwa tena.
 
nilikuwa naona mabanda ya namna hii kenya, arusha, k'ro etc lakini sikujua maana na faida zake. Nilikwisha anza mchakato wa kuanza kilimo cha umwagiliaji (heka 120) kwa kuchimba visima .... nimeangalia (binafsi) gharama za kuanzisha GH, quality & quantity of products, risk, return of investment nimegundua hii kitu ina gharama ndogo sana compared na kuhudumia heka 100+. Hao balton nimependa sana taarifa zao zilizopo kwenye mtandao wao but lack of seriousness kwa wateja (kutokana na maelezo yako na wengine) ni kikwazo na hii huwenda ikasababishia hasara iwapo nitafanya nao kazi i.e kulipua kazi.



mkuu uliuliza maswali mazuri sana na nimeipenda sana feedback yao. Tuendelee kupeana taarifa za namna hii

Wakuu Mimi ni Bwana Shamba by Professional! Mwaka jana nilibahatika kuhudhuria seminar moja Nairobi kuhusu APPLICATION OF COMMERCIAL QUALITY STANDARDS FOR FRUITS AND VEGETABLES IN EASTERN AFRICA
Part of the warsha tulikwenda shambani nikakutana na Greenhouse ambazo zimetengenezwa locally kwa kutumia mabanzi na plastic sheet! These GH are cheap walikuma wadogowadogo wanaweza kua-afford
Kilichonifurahisha ni kuwa unaweza ukainstall hii GH mahali popote hata maeneo ya ukame namna gani maana matumizi ya maji yako so minimal yaani drip irrigation

Huyu mmliki wa hizi GH alikuwa nazo tatu tu zenye ukubwa 1/8 arce, anavuna capscum na nyanya nzenye quality, hakuna matumizi ya madawa na she can supply to the big supermarket in Nairobi

Good news ni kwamba you can replicate these settings kwa kutumia fundi mchundos na building materials are locally available.
So if you guys are thinking of an intensive agric small land, big production here Iam we can share my little experience
 
Mkuu angalia thread niliyoi-quote hapo juu. Naulizia huyo mheshimiwa wa hapa Dar ambaye amepata mafanikio ktk kilimo hiki. Tafadhali cheki thread nilioi-quote maana nataka nimtembelee huyu Mr nione

Ok mkuu nilikuwa sijakusoma!
 
Wakuu Mimi ni Bwana Shamba by Professional! Mwaka jana nilibahatika kuhudhuria seminar moja Nairobi kuhusu APPLICATION OF COMMERCIAL QUALITY STANDARDS FOR FRUITS AND VEGETABLES IN EASTERN AFRICA
Part of the warsha tulikwenda shambani nikakutana na Greenhouse ambazo zimetengenezwa locally kwa kutumia mabanzi na plastic sheet! These GH are cheap walikuma wadogowadogo wanaweza kua-afford
Kilichonifurahisha ni kuwa unaweza ukainstall hii GH mahali popote hata maeneo ya ukame namna gani maana matumizi ya maji yako so minimal yaani drip irrigation

Huyu mmliki wa hizi GH alikuwa nazo tatu tu zenye ukubwa 1/8 arce, anavuna capscum na nyanya nzenye quality, hakuna matumizi ya madawa na she can supply to the big supermarket in Nairobi

Good news ni kwamba you can replicate these settings kwa kutumia fundi mchundos na building materials are locally available.
So if you guys are thinking of an intensive agric small land, big production here Iam we can share my little experience

Mkuu asante sana kwa taarifa! kitu ambacho napenda unijuze je ni aina gani ya polythene sheet wanatumia kwa maana ya uzito wa polythene sheet kwani kuna aina nyingi ya hizi kitu!
 
Back
Top Bottom