Aisee, kumbe yule mdada ni Waje? Nilikua sijui na alifanya poa sana.
Wale p2 hua wanapenda kubania wenzao sana.
huwa anasemaga 'ndio, we nani', hizo picha mnazorushiana whatsapp zinawadanganya
ndio nani banaa
Ndio naniiii
hawakumtendea haki, labda waliona hana mvuto, same thing kilitokea hapa bongo kwa Mr. Blue enzi hizo yuko on top, alimshirikisha Enika kwenye wimbo wake 'Nikisskiss' but kwenye video hakumwita akamuweka dem mwingine kisa eti Enika hana mvuto!