tecknologia23
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 259
- 382
NakaziaKikubwa yatatulizwa na kuongezewa jini lingine
Sasa chakufanyaKikubwa yatatulizwa na kuongezewa jini lingine
Kikubwa katuliaKikubwa yatatulizwa na kuongezewa jini lingine
Wewe ni KE au ME?Mimi nipo Moshi natafuta shekhe anayejua kutoa majini sifa yake awe mtu mzima makamu anayejiheshimu kabisa na anayejua kazi yake.
Naombeni msaada ni waharaka
MwamposaMimi nipo Moshi natafuta shekhe anayejua kutoa majini sifa yake awe mtu mzima makamu anayejiheshimu kabisa na anayejua kazi yake.
Naombeni msaada ni waharaka
KeWewe ni KE au ME?
Sasa chakufanya
Ndugu yangu umeandika hitimisho bila kusema tatizo. Huenda una ugonjwa ambao hautokani na kuingiwa na jini.Mimi nipo Moshi natafuta shekhe anayejua kutoa majini sifa yake awe mtu mzima makamu anayejiheshimu kabisa na anayejua kazi yake.
Naombeni msaada ni waharaka
[emoji38] kama yeye ndio kaja na staili hii unajuaje?Tahadhari na matapeli wa humu, unajilengesha mwenyewe mangi.
Tunasubiri mrejesho..
Unaombewa kabisa ukitoa njee hali ni Ile walahiFika makanisa ya kiroho.
Inawezekana pia, sikupingi 😁[emoji38] kama yeye ndio kaja na staili hii unajuaje?