converterr
JF-Expert Member
- Jan 28, 2023
- 294
- 593
hivi nikweli Kuna mashehe wanatoa majini?sio niwachawi hao ndio mnawaita mashehe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna binadamu yeyote anayeweza kutoa majini si mashaikh wala wachungaji anayetoa majini ni Allah (the exalted one) pekee ruqya si dhamana ya jini kutoka kama hajapenda muumba.Mimi nipo Moshi natafuta shekhe anayejua kutoa majini sifa yake awe mtu mzima makamu anayejiheshimu kabisa na anayejua kazi yake.
Naombeni msaada ni waharaka
Hao jamaa hakuna anayejiheshimu kwa dhati hata mmoja, wengi wao ni waganga wa kienyeji na washirikina wakubwa. Nashangaa sana mtu yeyote anayewakimbilia!Mimi nipo Moshi natafuta shekhe anayejua kutoa majini sifa yake awe mtu mzima makamu anayejiheshimu kabisa na anayejua kazi yake.
Naombeni msaada ni waharaka
AhahahahaTahadhari na matapeli wa humu, unajilengesha mwenyewe mangi.
Tunasubiri mrejesho..
Shekhe atafukuza jini kwa kukupa jini mkubwa zaidi ili awafukuze majini fukukara.Mimi nipo Moshi natafuta shekhe anayejua kutoa majini sifa yake awe mtu mzima makamu anayejiheshimu kabisa na anayejua kazi yake.
Naombeni msaada ni waharaka
Jini Makata hilo litakua!!Jini gani kwanza hilo kuna jini lingine linaomba hela
Wachaa😁Shekhe atafukuza jini kwa kukupa jini mkubwa zaidi ili awafukuze majini fukukara.
Ywsu ndiye kiboko ya majini yote
Haya bhana sawa
Niliwahi tolewa matatu na Hawa watu ila hili alishindwaShekhe atafukuza jini kwa kukupa jini mkubwa zaidi ili awafukuze majini fukukara.
Ywsu ndiye kiboko ya majini yote
Ilimradi atoehivi nikweli Kuna mashehe wanatoa majini?sio niwachawi hao ndio mnawaita mashehe?
hakuna .mashehe wanao toa majini.kama nimashehe hata hapo mkoani kwako wapo wafateIlimradi atoe
AkhaTafuta kanisa la waadvensta wasabato wanajua sana kujadiliana na hayo majitu
Una maanisha shekhe ni jini........Kikubwa yatatulizwa na kuongezewa jini lingine
Sheikh Sharif Majini.Mimi nipo Moshi natafuta shekhe anayejua kutoa majini sifa yake awe mtu mzima makamu anayejiheshimu kabisa na anayejua kazi yake.
Naombeni msaada ni waharaka
Mimi nipo Moshi natafuta shekhe anayejua kutoa majini sifa yake awe mtu mzima makamu anayejiheshimu kabisa na anayejua kazi yake.
Naombeni msaada ni waharaka