Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
MJUSI WETU
Mwaka 1909 hadi 1913 watu 500 hukoTendaguru Lindi walihusika kufukua mabaki ya mifupa ya kiumbe mkubwa sana. Mifupa hiyo ilikuwa na uzito wa kilo 250,000 ilichukuliwa na kusafirishwa kwenda nchini Ujerumani ambapo iliunganishwa na kupatikana kiumbe kamili ambacho kilikuwa na urefu wa kwenda juu mita 13 kiasi cha watu sita na urefu wa ardhini mita 22 (kiasi cha urefu wa watu kumi)
wajerumani wanaendelea kummiliki mjusi wetu na kupata pesa nyingi kutoka kwa watalii.
Mifupa halisi imehifadhiwa Berlin Museum of Natural History huko Ujerumani
Pichani ni mfano wa mjusi mkubwa aitwae Dinasour akiwa ametengenezwa kwa mabaki ya chuma Makumbusho Jijini Dar es Salaam na Mabaki ya Dinasour wetu huko Ujerumani
Mwaka 1909 hadi 1913 watu 500 hukoTendaguru Lindi walihusika kufukua mabaki ya mifupa ya kiumbe mkubwa sana. Mifupa hiyo ilikuwa na uzito wa kilo 250,000 ilichukuliwa na kusafirishwa kwenda nchini Ujerumani ambapo iliunganishwa na kupatikana kiumbe kamili ambacho kilikuwa na urefu wa kwenda juu mita 13 kiasi cha watu sita na urefu wa ardhini mita 22 (kiasi cha urefu wa watu kumi)
wajerumani wanaendelea kummiliki mjusi wetu na kupata pesa nyingi kutoka kwa watalii.
Mifupa halisi imehifadhiwa Berlin Museum of Natural History huko Ujerumani
Pichani ni mfano wa mjusi mkubwa aitwae Dinasour akiwa ametengenezwa kwa mabaki ya chuma Makumbusho Jijini Dar es Salaam na Mabaki ya Dinasour wetu huko Ujerumani