Wajibu wa mzazi ni kukulea, na kukusomesha mengine ni yako

Wajibu wa mzazi ni kukulea, na kukusomesha mengine ni yako

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Kijana, shtuka!

Apaswayo kuyafanya mzazi wako anapokuzaa ni mambo mawili pekee, nayo ni; kukulea ( ki-maadili), kuhakikisha unapata chakula ( kwa umri komo) na kuhakikisha unapata elimu ( kama una akili hiyo).

Vinginevyo, mali za baba yako siyo zako. Na, anaweza kutokukupa urithi akiamua na huwezi kumfanya chochote! Jamaa anaweza kuamua ampe urithi mbwa, nyau, chura na hata Taasisi kama, Vituo vya Afya, Magereza ama CHADEMA na msimfanye kitu. Hata akiamua kubomoa nyumba aliyoijenga mwenyewe, anaweza.

Funzo;

Vijana, acheni kujikunyata kwenye mapaja ya mama zenu jikoni huko, huku mkibembeleza 5k ya kwenda kutesea mtaani kila jioni. Tambueni, wajibu pekee wa mzazi wako ni huo hapo juu.
 
kuna mtoto alieomba kuletwa duniani au ni starehe za wazazi ndio akapatikana mtoto.??

Ni wajibu wa mzazi kuhakikisha mwanae anaishi vizuri na huo ni wajibu wake mpaka anaingia kaburini maana yeye ndie aliemleta huyo mtoto duniani bila ridhaa ya huyo mtoto.

Wazazi msikimbie majukumu yenu, mkiona dogo kazingua shule mnaanza ooh mwache si ni maisha yake atajijua mwenyewe. Huyo ni mwanao mlee mpaka wewe utapokufa.

Yaani uzae kiholela kama simbilisi, uwasomeshe elimu bure mpaka form 4, wakifeli unawaacha eti wajijue wenyewe, nyambaf kabisa. Kama huwezi kulea usizaliane.

Mtengenezee mazingira dogo asiwe tegemezi kwako mbona simple tu.
Mzazi wa hovyo wewe.
 
Kijana, shtuka!

Apaswayo kuyafanya mzazi wako anapokuzaa ni mambo mawili pekee, kukulea ( ki-maadili), kuhakikisha unapata chakula ( kwa umri komo) na kuhakikisha unapata elimu ( kama una akili hiyo).

Vinginevyo, mali za baba yako siyo zako. Na, anaweza kutokukupa urithi akiamua na huwezi kumfanya chochote! Jamaa anaweza kuamua ampe urithi mbwa, nyau, chura na hata Taasisi kama, Vituo vya Afya, Magereza ama CHADEMA na msimfanye kitu. Hata akiamua kubomoa nyumba aliyoijenga mwenyewe, anaweza.

Funzo;

Vijana acheni kujikunyata kwenye mapaja ya mama zenu jikoni huko mkibembeleza 5k ya kwenda kutesea mtaani kila jioni. Tambueni, wajibu pekee wa mzazi wako ni huo hapo juu.
Mkuu,

5k unatesea mtaani? Kivipi?
 
Kijana, shtuka!

Apaswayo kuyafanya mzazi wako anapokuzaa ni mambo mawili pekee, kukulea ( ki-maadili), kuhakikisha unapata chakula ( kwa umri komo) na kuhakikisha unapata elimu ( kama una akili hiyo).

Vinginevyo, mali za baba yako siyo zako. Na, anaweza kutokukupa urithi akiamua na huwezi kumfanya chochote! Jamaa anaweza kuamua ampe urithi mbwa, nyau, chura na hata Taasisi kama, Vituo vya Afya, Magereza ama CHADEMA na msimfanye kitu. Hata akiamua kubomoa nyumba aliyoijenga mwenyewe, anaweza.

Funzo;

Vijana acheni kujikunyata kwenye mapaja ya mama zenu jikoni huko mkibembeleza 5k ya kwenda kutesea mtaani kila jioni. Tambueni, wajibu pekee wa mzazi wako ni huo hapo juu.
Sikuwa na mpango wa kuja kwenye hii Dunia, ni yeye ndio alinileta. Hivyo Mimi ni jukumu lake mwanzo mwisho.

Nina haki ya kurithi vilivyo vyake, maana hata Mimi ni wake. Na ikitokea akakataa kunirithisha, lazima nimshitaki. Maana akiwa hai, Mali ni zake, ila pasi na uwepo wake, nina haki na vilivyokuwa vyake. Mimi ni yeye.
 
Sikuwa na mpango wa kuja kwenye hii Dunia, ni yeye ndio alinileta. Hivyo Mimi ni jukumu lake mwanzo mwisho.

Nina haki ya kurithi vilivyo vyake, maana hata Mimi ni wake. Na ikitokea akakataa kunirithisha, lazima nimshitaki. Maana akiwa hai, Mali ni zake, ila pasi na uwepo wake, nina haki na vilivyokuwa vyake. Mimi ni yeye.
Anaweza asikuorodheshe kwenye mirathi hata akifa na Mahakama ikaheshimu maamuzi yake.
 
Kijana, shtuka!

Apaswayo kuyafanya mzazi wako anapokuzaa ni mambo mawili pekee, kukulea ( ki-maadili), kuhakikisha unapata chakula ( kwa umri komo) na kuhakikisha unapata elimu ( kama una akili hiyo).

Vinginevyo, mali za baba yako siyo zako. Na, anaweza kutokukupa urithi akiamua na huwezi kumfanya chochote! Jamaa anaweza kuamua ampe urithi mbwa, nyau, chura na hata Taasisi kama, Vituo vya Afya, Magereza ama CHADEMA na msimfanye kitu. Hata akiamua kubomoa nyumba aliyoijenga mwenyewe, anaweza.

Funzo;

Vijana acheni kujikunyata kwenye mapaja ya mama zenu jikoni huko mkibembeleza 5k ya kwenda kutesea mtaani kila jioni. Tambueni, wajibu pekee wa mzazi wako ni huo hapo juu.
👍👍👍👍👍 KABISA KABISA KABISA HUJAKOSEA KITU CHOCHOTE KILE.

UKWELI MTUPU
 
Sikuwa na mpango wa kuja kwenye hii Dunia, ni yeye ndio alinileta. Hivyo Mimi ni jukumu lake mwanzo mwisho.

Nina haki ya kurithi vilivyo vyake, maana hata Mimi ni wake. Na ikitokea akakataa kunirithisha, lazima nimshitaki. Maana akiwa hai, Mali ni zake, ila pasi na uwepo wake, nina haki na vilivyokuwa vyake. Mimi ni yeye.
We mpumbavu bado unaishi kwa shem sio.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🚮🚮🚮🚮🚮

Utaolewa tu. Muda si mrefu dada

 
Kwani madogo waliomba madingi na mabimkubwa wawalete duniani ?
1000_F_124061224_XCLQtmup2hBgVBclD8JvDaCdftqn2WsQ.jpg
 
We mpumbavu bado unaishi kwa shem sio.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🚮🚮🚮🚮🚮

Utaolewa tu. Muda si mrefu dada

Sijatoka, na Sina mpango wa kutoka kwake labda anipe mtaji wa biashara. Sikuwa na mpango wa kuja mjini, ni yeye ndio aliniambia nije ili kutafuta maisha. Sasa kwanini aniambie niondoke ikiwa sijayapatia maisha?
 
Kijana, shtuka!

Apaswayo kuyafanya mzazi wako anapokuzaa ni mambo mawili pekee, nayo ni; kukulea ( ki-maadili), kuhakikisha unapata chakula ( kwa umri komo) na kuhakikisha unapata elimu ( kama una akili hiyo).

Vinginevyo, mali za baba yako siyo zako. Na, anaweza kutokukupa urithi akiamua na huwezi kumfanya chochote! Jamaa anaweza kuamua ampe urithi mbwa, nyau, chura na hata Taasisi kama, Vituo vya Afya, Magereza ama CHADEMA na msimfanye kitu. Hata akiamua kubomoa nyumba aliyoijenga mwenyewe, anaweza.

Funzo;

Vijana, acheni kujikunyata kwenye mapaja ya mama zenu jikoni huko, huku mkibembeleza 5k ya kwenda kutesea mtaani kila jioni. Tambueni, wajibu pekee wa mzazi wako ni huo hapo juu.
Challenge kidogo concept yako... Je ni jukumu la mtoto/watoto kuwatunza wazazi wao pindi wanapozeeka/hawajiwezi?

The Answer here is the reciprocal to your concept above....
 
Challenge kidogo concept yako... Je ni jukumu la mtoto/watoto kuwatunza wazazi wao pindi wanapozeeka/hawajiwezi?

The Answer here is the reciprocal to your concept above....
Itategemea.

Endapo mzazi alitimiza wajibu kwa mwanaye ( rejea hapo juu) kikamilifu, nikimaanisha; malezi bora na elimu bora, why not?!

Ieleweke, mzazi kumlea mwanaye kuanzia ikiwa mimba hadi umri wa kujitegemea, hakika, ni wajibu usio na malipo yanayoweza kurejeshwa kwa aina yeyote ya malipo!

Aidha, mtoto kumlea na kumsaidia mzazi wake ni jambo la lazima lisilo na kikwazo chochote cha sababu. Namaanisha, haijalishi uwezo wako wa mali, bado mtoto unawajibika hata kwa kugongo kokoto ilmradi utimize wajibuyo kwa mzazi.
 
Itategemea.

Endapo mzazi alitimiza wajibu kwa mwanaye ( rejea hapo juu) kikamilifu, nikimaanisha; malezi bora na elimu bora, why not?!

Ieleweke, mzazi kumlea mwanaye kuanzia ikiwa mimba hadi umri wa kujitegemea, hakika, ni wajibu usio na malipo yanayoweza kurejeshwa kwa aina yeyote ya malipo!

Aidha, mtoto kumlea na kumsaidia mzazi wake ni jambo la lazima lisilo na kikwazo chochote cha sababu. Namaanisha, haijalishi uwezo wako wa mali, bado mtoto unawajibika hata kwa kugongo kokoto ilmradi utimize wajibuyo kwa mzazi.
Ni wajibu wa mzazi kuhakikisha mtoto wake anajijetegemea ki akili na mali regadress umri wa mtoto.
 
Waache watoto waishi watakavyo wako ndio uwafanyie hivyo ila wa kwetu acha tuwalee vile tunapenda
 
Back
Top Bottom