Wajua japo Rais ni sehemu ya Bunge, bado hana mamlaka ya kuliingilia Bunge? Ili kufuta IGA ya DPW, Rais anapaswa kulivunja Bunge?

Wajua japo Rais ni sehemu ya Bunge, bado hana mamlaka ya kuliingilia Bunge? Ili kufuta IGA ya DPW, Rais anapaswa kulivunja Bunge?

Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni kuhusu Ijue Katiba: Japo Rais ni Sehemu ya Bunge, kwa kuliunda, kulivunja na kuridhia miswada kuwa sheria, lakini Rais Hana Mamlaka ya Kuliingilia Bunge?. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania limemtaka Rais Samia kuifuta IGA ya DPW, iliyoridhiwa na Bunge, ili Rais Samia aifute hiyo IGA, ambayo baada ya kuridhiwa ni Azimio la Bunge, inambidi Rais kwanza kulivunja Bunge, ndipo alivunje Azimio la Bunge.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu ka ukurasa, lakini kuielewa katiba, kunahitaji uwezo wa ziada, kama ilivyo kuielewa Biblia Takatifu au Quran Tukufu, kila mtu anayejua kusoma na kuandika, anaweza kusoma Biblia na Quran, lakini kuielewa unahitaji kupata ufunuo.

Vivyo hivyo kwa katiba ya JMT, kila mtu yoyote mwenye uwezo wa kusoma na kuandika, anaweza kuisoma katiba ila kuielewa kunahitaji ujaaliwe ufunuo.

Kwa mujibu wa katiba, mamlaka rasmi ya kuitafsiri katiba ni mhimili wa Mahakama Kuu, lakini it's very unfortunately mhimili wa serikali hawaijui katiba ndio maana wanatunga miswada kinyume cha katiba.

Mhimili wa Bunge, nao it's very unfortunately wanatunga sheria batili zinazokwenda kinyume cha katiba, na juzi kati hapa Bunge letu Tukufu, limeridhia IGA ya DPW na Bandari zetu ambayo iko kinyume cha katiba na sheria zetu.

Mhimili wa Mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba na sheria, nao it's very unfortunately hautimizi wajibu wake kikamilifu kwa kubariki uvunjifu wa katiba unaofanywa na mhimili wa serikali na mhimili wa Bunge!.

Mimi ni Mwanafunzi wa sheria wa Prof. Shivji, kiukweli niko very proud kuwa miongoni mwa wanafunzi tulio mwelewa vizuri Prof. Shivji alipokuwa akitufundisha somo la katiba, na ndio maana somo lake, mimi nimejenga kibanda, kwa kupata A, hivyo sasa najihesabu ni mwalimu wa kujitolea wa somo la Ijue Katiba, na nimeendesha mihadhara mbalimbali ya katiba ambayo imesaidia sana Bunge letu na serikali yetu, na sasa naanzisha vipindi vya Televisheni weekly kuelimisha umma kuhusu katiba, sheria na haki ambayo vitausaidia sana mhimili wa Mahakama kutenda haki.

Miongoni mwa wasioijua katiba ya JMT, ni Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, wametoa waraka wa kuipinga DPW, na kumtaka rais Samia asitishe ile IGA ya DPW na Bandari zetu, bila kujua kwa mujibu wa katiba, rais Samia hana uwezo huo!.

Ila hawa Maaskofu Katoliki, ni kiboko!.
Juzi baada ya kuutoa waraka wao, leo asubuhi katika makanisa yote ya Katoliki Tanzania, waraka huo umesomwa kanisani, mimbarini na madhabahuni!.

Baada ya kuusoma waraka wa TEC humu JF, Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu niliuliza Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa? na baada ya kitendo cha kusoma tamko la kisiasa Mimbarini na Madhabahuni, nauliza tena, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Lile tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kuipinga DPW na Bandari zetu, leo limesomwa mimbarini na madhabahuni na maparoko wa makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima kwenye kila ibada ya kila misa!.

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kama taasisi huru, iko huru kutoa maoni yake yoyote kuhusu jambo lolote, yakiwemo maoni ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, lakini kitendo cha Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kutoa maoni ya kisiasa kuipinga DPW na Bandari zetu, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania kusoma maoni hayo ya kisiasa ya TEC, mimbarini na madhabahuni, sio kuchanganya dini na siasa?.

Madhabahuni na mimbarini ni mahala pa kuabudia, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania, kuusoma waraka huu mimbarini madhabahuni, ni **** kuwaaminisha Wakatoliki kuwa kuipinga DPW na Bandari zetu ni sehemu ya ibada, hivyo Wakatoliki wote sasa wanatakiwa kuipinga DPW. Wale Wakatoliki wanaiunga mkono DPW wakioongozwa na Makamo wetu wa Rais, Dr. Philip Mpango, tunawaweka kwenye hali gani?. Huku sio kuwakwaza Wakatoliki wote tunaounga mkono DPW na Bandari zetu?.

Waraka huo unasisitiza Vox Populi is Vox Dei, kumaanisha sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, Tangu issue ya DPW ilipoibuka, kanisa Katoliki limewahi kukusanya maoni ya waumimi wake kuhusu jambo hili, hivyo kufikia hii conclusion kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW?.

Mimi ni Mkristo Mkatoliki, na toka issue ya DPW iibuke, sijawahi kukosa kanisani hata mara moja, sikumbuki kuwahi kuulizwa maoni yetu kuhusu DPW!, kama kuna Mkatoliki yoyote aliwahi kuombwa maoni yake na kanisa Katoliki, naomba ajitokeze.

Kama kanisa Katoliki halijakusanya maoni ya waumini wake kuhusu DPW, hii hoja ya TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, wameyatoa wapi?.

Kitendo cha Kanisa Katoliki Tanzania, kukusanya maoni ya Maaskofu wa Katoliki Tanzania, na kuyageuza ndio maoni ya Watanzania, huku sio kusema uongo?.

Na kitendo cha kuusoma uongo huo wa TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, na kuusomea mimbarini na madhabahuni, huku sio kumkosea Mungu, kuitumia mimbari yake na madhabahu yake vibaya, badala ya kuitumia mimbari na madhabahu, kwa kuabudia, kanisa Katoliki Tanzania linaitumia mimbari na madhabahu kupigia siasa za uoga za kuipinga DPW kwasababu tuu ni ya Waarabu, hivyo kudhani DPW ikija inakuja kueneza Uislam!, na kwa kuzingatia, hivi tuu DPW bado haijapewa mkataba, imetoa misaada ya kujenga misikiti kadhaa, ikipewa Bandari, kazi ya kwanza si ni itakuwa ni kujenga masjid?.

Bunge letu Tukufu limepitisha Azimio la Bunge kuiridhia IGA ya DPW, hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania, wamemtaka Rais Samia alifute Azimio la Bunge kuridhia IGA ya DPW,

Kumbe maaskofu wetu hawaijui katiba!, hawajui kuwa kwa mujibu wa katiba yetu, Rais wa JMT hana mamlaka ya kufuta Azimio la Bunge!, ili Rais Samia alifute Azimio la Bunge, inambidi Rais Samia alivunje Bunge!.

Rais wa JMT ni sehemu ya Bunge kwa mambo matatu tuu, 1. Kuliunda Bunge, kuridhia muswada kuwa sheria na kulivunja Bunge.

Kwa upande wa miswada ya sheria, Bunge likitunga sheria, rais anaweza kukataa kuisaini, anatakiwa kurejesha Bungeni kurekebishwa, Bunge likigoma kurekebisha, rais anakuwa hana jinsi bali ni kulivunja Bunge!.

Lakini kwa upande wa Azimio la Bunge, Bunge likiisha pitisha Azimio la Bunge, rais wa JMT hana mamlaka ya kuingilia chochote bali ni kuteleleza tuu Azimio la Bunge, vinginevyo ni alivunje Bunge!.

Hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania sio mchezo!, wanampangia hadi rais wa JMT na kumlazimisha apindue jambo lililoridhiwa na Bunge!.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT halazimiki kufuata ushauri wa yoyote kwenye kufikia maamuzi, isipokuwa katika mambo mawili tuu, ambayo rais wa JMT analazimika kuamrishwa kufuata.

Mambo hayo ni 1.Kuiwasilisha Bungeni ndani ya siku 7, ripoti ya CAG, baada ya kuipokea, na asipoiwasilisha ripoti hiyo ndani ya siku 7, inapofika siku ya 6, then CAG anatakiwa am bypass rais na kuwasilisha ripoti hiyo Bungeni. Hapa ni rais wa JMT anapangiwa na analazimishwa atake asitake!.

Ila Bunge letu lilivyo la mazuzu, likapitisha Azimio batili la Bunge kuwa halipokei ripoti ya CAG! Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG?

Kiukweli Bunge lile lilipaswa kunishukuru sana mimi, kwasababu ni mimi ndiye niliyewaambia Azimio lao hilo ni Azimio batili, na nikawaambia kitu kitakachowatokea iwapo Bunge halitapokea ripoti ya CAG Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba

Kitu kilichofanyika ni kwanza rais aliwasilisha ripoti ya CAG Bungeni kabla hajawa by passed na CAG, pili Bunge likaondoa Azimio lao batili kimya kimya, likaipokea ripoti ya CAG.

Jambo la pili ambalo rais wa JMT anaamrishwa ni kutekeleza Azimio la Bunge.

Baada ya Bunge letu Tukufu kuridhia IGA ya DPW na Bandari zetu, pamoja na mapungufu yake yote ya kisheria, IGA sio mkataba ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA, hivyo tunaweza kabisa kuwa na HGA nzuri.

Paskali
Dini na siasa unazitenga vipi? Lingine, Rostam aliposema mahakama zinapigiwa simu tu zinatoa maamuzi alidanganya? Lingine Bunge lililopo limewekwa na Wananchi? Waliomo bungeni wapo kwa kupita bila kupingwa, kwa maagizo ya utawala. Maaskofu wametimiza wajibu wao.
 
Kama aliweza kumtoa Spika wa Bunge na maisha yakaendelea, akamuongezea Jaji mkuu mda kinyume ba katiba na maisha yapo yanaendelea. Hayo makaratasi ndiyo yamshinde. We mzee nawe unazeeka vibaya ujue!
Huyu jamaa namshangaa, hivi hajui Rais hapa Tanzania ni nusu Mungu? Ndiye anayeamua bunge gani awe nalo, la vyama vingi au Chama KIMOJA, ndiye anayeamua nani awekwe ndani na atoke lini ( Reje Mbowe). Eti katiba, kwa Sasa katiba ni karatasi tu.
 
Unajua nchi zetu hizi masikini maana yake ni nchi za watu wajinga na wapagani: "watu wasio na uelewa wa mambo na elimu ya vitu'.

Wewe unapowaambia au unaposema watu wasichanganye dini na siasa una maana gani?

Dini ni kwa ajili ya nini?

Siasa ni kwa ajili ya nini?

Kati ya Dini na Siasa nani anajua maisha ya mtu?

Kazi ya siasa (Serikali) ni nini? Na kazi ya Dini ni nini?

Siandiki juu ya DP World na Bandari kwani sijafanya utafiti, lakini najiuliza kati ya wewe ulieandika au kile unachosema siasa na TEC, nani anajua Sheria (Katiba)?

Hao TEC unaosema hawajui Katiba ni watalaamu wa Maadili yaani Sheria ya Maadili au Sheria ya Asili, ambayo sheria zote (Katiba) zinatoka kwake.

Sasa hapa hoja yako ni nini?
Huyu jamaa haeleweki, dini na siasa unazitenga vipi? Hebu atupe mfano wa viongozi walioleta dini ni yupi alijitenga na siasa? Kwa Waislamu, Mtume Muhammad alipigana vita vingi, 1. Badri, 2.Uhud, Khandak na Hunayn, je, alichanganya dini na siasa? Yesu alikemea mauvu ya watawala mpaka akasulubiwa, je, alichanganya dini na siasa? Kwa kifupi dini na siasa unazitenga vipi?
 
Kwani kuvunja hilo bunge rubber stamp kuna athari gani, hiki nacho umeona kitu cha maana kukitolea angalizo?
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni kuhusu Ijue Katiba: Japo Rais ni Sehemu ya Bunge, kwa kuliunda, kulivunja na kuridhia miswada kuwa sheria, lakini Rais Hana Mamlaka ya Kuliingilia Bunge?. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania limemtaka Rais Samia kuifuta IGA ya DPW, iliyoridhiwa na Bunge, ili Rais Samia aifute hiyo IGA, ambayo baada ya kuridhiwa ni Azimio la Bunge, inambidi Rais kwanza kulivunja Bunge, ndipo alivunje Azimio la Bunge.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu ka ukurasa, lakini kuielewa katiba, kunahitaji uwezo wa ziada, kama ilivyo kuielewa Biblia Takatifu au Quran Tukufu, kila mtu anayejua kusoma na kuandika, anaweza kusoma Biblia na Quran, lakini kuielewa unahitaji kupata ufunuo.

Vivyo hivyo kwa katiba ya JMT, kila mtu yoyote mwenye uwezo wa kusoma na kuandika, anaweza kuisoma katiba ila kuielewa kunahitaji ujaaliwe ufunuo.

Kwa mujibu wa katiba, mamlaka rasmi ya kuitafsiri katiba ni mhimili wa Mahakama Kuu, lakini it's very unfortunately mhimili wa serikali hawaijui katiba ndio maana wanatunga miswada kinyume cha katiba.

Mhimili wa Bunge, nao it's very unfortunately wanatunga sheria batili zinazokwenda kinyume cha katiba, na juzi kati hapa Bunge letu Tukufu, limeridhia IGA ya DPW na Bandari zetu ambayo iko kinyume cha katiba na sheria zetu.

Mhimili wa Mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba na sheria, nao it's very unfortunately hautimizi wajibu wake kikamilifu kwa kubariki uvunjifu wa katiba unaofanywa na mhimili wa serikali na mhimili wa Bunge!.

Mimi ni Mwanafunzi wa sheria wa Prof. Shivji, kiukweli niko very proud kuwa miongoni mwa wanafunzi tulio mwelewa vizuri Prof. Shivji alipokuwa akitufundisha somo la katiba, na ndio maana somo lake, mimi nimejenga kibanda, kwa kupata A, hivyo sasa najihesabu ni mwalimu wa kujitolea wa somo la Ijue Katiba, na nimeendesha mihadhara mbalimbali ya katiba ambayo imesaidia sana Bunge letu na serikali yetu, na sasa naanzisha vipindi vya Televisheni weekly kuelimisha umma kuhusu katiba, sheria na haki ambayo vitausaidia sana mhimili wa Mahakama kutenda haki.

Miongoni mwa wasioijua katiba ya JMT, ni Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, wametoa waraka wa kuipinga DPW, na kumtaka rais Samia asitishe ile IGA ya DPW na Bandari zetu, bila kujua kwa mujibu wa katiba, rais Samia hana uwezo huo!.

Ila hawa Maaskofu Katoliki, ni kiboko!.
Juzi baada ya kuutoa waraka wao, leo asubuhi katika makanisa yote ya Katoliki Tanzania, waraka huo umesomwa kanisani, mimbarini na madhabahuni!.

Baada ya kuusoma waraka wa TEC humu JF, Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu niliuliza Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa? na baada ya kitendo cha kusoma tamko la kisiasa Mimbarini na Madhabahuni, nauliza tena, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Lile tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kuipinga DPW na Bandari zetu, leo limesomwa mimbarini na madhabahuni na maparoko wa makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima kwenye kila ibada ya kila misa!.

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kama taasisi huru, iko huru kutoa maoni yake yoyote kuhusu jambo lolote, yakiwemo maoni ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, lakini kitendo cha Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kutoa maoni ya kisiasa kuipinga DPW na Bandari zetu, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania kusoma maoni hayo ya kisiasa ya TEC, mimbarini na madhabahuni, sio kuchanganya dini na siasa?.

Madhabahuni na mimbarini ni mahala pa kuabudia, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania, kuusoma waraka huu mimbarini madhabahuni, ni **** kuwaaminisha Wakatoliki kuwa kuipinga DPW na Bandari zetu ni sehemu ya ibada, hivyo Wakatoliki wote sasa wanatakiwa kuipinga DPW. Wale Wakatoliki wanaiunga mkono DPW wakioongozwa na Makamo wetu wa Rais, Dr. Philip Mpango, tunawaweka kwenye hali gani?. Huku sio kuwakwaza Wakatoliki wote tunaounga mkono DPW na Bandari zetu?.

Waraka huo unasisitiza Vox Populi is Vox Dei, kumaanisha sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, Tangu issue ya DPW ilipoibuka, kanisa Katoliki limewahi kukusanya maoni ya waumimi wake kuhusu jambo hili, hivyo kufikia hii conclusion kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW?.

Mimi ni Mkristo Mkatoliki, na toka issue ya DPW iibuke, sijawahi kukosa kanisani hata mara moja, sikumbuki kuwahi kuulizwa maoni yetu kuhusu DPW!, kama kuna Mkatoliki yoyote aliwahi kuombwa maoni yake na kanisa Katoliki, naomba ajitokeze.

Kama kanisa Katoliki halijakusanya maoni ya waumini wake kuhusu DPW, hii hoja ya TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, wameyatoa wapi?.

Kitendo cha Kanisa Katoliki Tanzania, kukusanya maoni ya Maaskofu wa Katoliki Tanzania, na kuyageuza ndio maoni ya Watanzania, huku sio kusema uongo?.

Na kitendo cha kuusoma uongo huo wa TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, na kuusomea mimbarini na madhabahuni, huku sio kumkosea Mungu, kuitumia mimbari yake na madhabahu yake vibaya, badala ya kuitumia mimbari na madhabahu, kwa kuabudia, kanisa Katoliki Tanzania linaitumia mimbari na madhabahu kupigia siasa za uoga za kuipinga DPW kwasababu tuu ni ya Waarabu, hivyo kudhani DPW ikija inakuja kueneza Uislam!, na kwa kuzingatia, hivi tuu DPW bado haijapewa mkataba, imetoa misaada ya kujenga misikiti kadhaa, ikipewa Bandari, kazi ya kwanza si ni itakuwa ni kujenga masjid?.

Bunge letu Tukufu limepitisha Azimio la Bunge kuiridhia IGA ya DPW, hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania, wamemtaka Rais Samia alifute Azimio la Bunge kuridhia IGA ya DPW,

Kumbe maaskofu wetu hawaijui katiba!, hawajui kuwa kwa mujibu wa katiba yetu, Rais wa JMT hana mamlaka ya kufuta Azimio la Bunge!, ili Rais Samia alifute Azimio la Bunge, inambidi Rais Samia alivunje Bunge!.

Rais wa JMT ni sehemu ya Bunge kwa mambo matatu tuu, 1. Kuliunda Bunge, kuridhia muswada kuwa sheria na kulivunja Bunge.

Kwa upande wa miswada ya sheria, Bunge likitunga sheria, rais anaweza kukataa kuisaini, anatakiwa kurejesha Bungeni kurekebishwa, Bunge likigoma kurekebisha, rais anakuwa hana jinsi bali ni kulivunja Bunge!.

Lakini kwa upande wa Azimio la Bunge, Bunge likiisha pitisha Azimio la Bunge, rais wa JMT hana mamlaka ya kuingilia chochote bali ni kuteleleza tuu Azimio la Bunge, vinginevyo ni alivunje Bunge!.

Hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania sio mchezo!, wanampangia hadi rais wa JMT na kumlazimisha apindue jambo lililoridhiwa na Bunge!.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT halazimiki kufuata ushauri wa yoyote kwenye kufikia maamuzi, isipokuwa katika mambo mawili tuu, ambayo rais wa JMT analazimika kuamrishwa kufuata.

Mambo hayo ni 1.Kuiwasilisha Bungeni ndani ya siku 7, ripoti ya CAG, baada ya kuipokea, na asipoiwasilisha ripoti hiyo ndani ya siku 7, inapofika siku ya 6, then CAG anatakiwa am bypass rais na kuwasilisha ripoti hiyo Bungeni. Hapa ni rais wa JMT anapangiwa na analazimishwa atake asitake!.

Ila Bunge letu lilivyo la mazuzu, likapitisha Azimio batili la Bunge kuwa halipokei ripoti ya CAG! Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG?

Kiukweli Bunge lile lilipaswa kunishukuru sana mimi, kwasababu ni mimi ndiye niliyewaambia Azimio lao hilo ni Azimio batili, na nikawaambia kitu kitakachowatokea iwapo Bunge halitapokea ripoti ya CAG Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba

Kitu kilichofanyika ni kwanza rais aliwasilisha ripoti ya CAG Bungeni kabla hajawa by passed na CAG, pili Bunge likaondoa Azimio lao batili kimya kimya, likaipokea ripoti ya CAG.

Jambo la pili ambalo rais wa JMT anaamrishwa ni kutekeleza Azimio la Bunge.

Baada ya Bunge letu Tukufu kuridhia IGA ya DPW na Bandari zetu, pamoja na mapungufu yake yote ya kisheria, IGA sio mkataba ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA, hivyo tunaweza kabisa kuwa na HGA nzuri.

Paskali
Natumaini ulisoma theory za ARISTOTLE ulipokua unapata elimu yako ya sheria na utakumbuka vizuri na unaelewa ya HUMAN BEING IS POLITICAL ANIMAL... naomba majibu ya maswali haya

Ni wakati gani maisha ya mwanadamu hayahusishi/anaishi nje ya siasa

Azimio lililopitishwa na bunge limevunja katiba.. kitendo hiki akihalalishi bunge kuvunjwa?

Mwalimu wa katiba ni wapi katiba yetu imemzuia askofu/mtumishi wa Mungu asijihusishe na siasa

TEC inasimamia masilahi ya waumini wakatoliki wa tanzania hawana haki kutetea haki zao?
 
ukisema maaskofu hawaijui katiba huwatendei haki, wale watu wana weledi wa hali ya juu sana na wanajua jinsi mabo nchi hii yanavyoendeshwa (Ref. kauli ya R A juu ya mahakama zetu!)
 
Pasco huzeeki?
Wakati unaongoza kipindi cha kitimoto nilikuwa mdogo
Leo nimekuwa mtu mzima...upo
Lea wajukuu bana acha uchawa
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni kuhusu Ijue Katiba: Japo Rais ni Sehemu ya Bunge, kwa kuliunda, kulivunja na kuridhia miswada kuwa sheria, lakini Rais Hana Mamlaka ya Kuliingilia Bunge?. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania limemtaka Rais Samia kuifuta IGA ya DPW, iliyoridhiwa na Bunge, ili Rais Samia aifute hiyo IGA, ambayo baada ya kuridhiwa ni Azimio la Bunge, inambidi Rais kwanza kulivunja Bunge, ndipo alivunje Azimio la Bunge.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu ka ukurasa, lakini kuielewa katiba, kunahitaji uwezo wa ziada, kama ilivyo kuielewa Biblia Takatifu au Quran Tukufu, kila mtu anayejua kusoma na kuandika, anaweza kusoma Biblia na Quran, lakini kuielewa unahitaji kupata ufunuo.

Vivyo hivyo kwa katiba ya JMT, kila mtu yoyote mwenye uwezo wa kusoma na kuandika, anaweza kuisoma katiba ila kuielewa kunahitaji ujaaliwe ufunuo.

Kwa mujibu wa katiba, mamlaka rasmi ya kuitafsiri katiba ni mhimili wa Mahakama Kuu, lakini it's very unfortunately mhimili wa serikali hawaijui katiba ndio maana wanatunga miswada kinyume cha katiba.

Mhimili wa Bunge, nao it's very unfortunately wanatunga sheria batili zinazokwenda kinyume cha katiba, na juzi kati hapa Bunge letu Tukufu, limeridhia IGA ya DPW na Bandari zetu ambayo iko kinyume cha katiba na sheria zetu.

Mhimili wa Mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba na sheria, nao it's very unfortunately hautimizi wajibu wake kikamilifu kwa kubariki uvunjifu wa katiba unaofanywa na mhimili wa serikali na mhimili wa Bunge!.

Mimi ni Mwanafunzi wa sheria wa Prof. Shivji, kiukweli niko very proud kuwa miongoni mwa wanafunzi tulio mwelewa vizuri Prof. Shivji alipokuwa akitufundisha somo la katiba, na ndio maana somo lake, mimi nimejenga kibanda, kwa kupata A, hivyo sasa najihesabu ni mwalimu wa kujitolea wa somo la Ijue Katiba, na nimeendesha mihadhara mbalimbali ya katiba ambayo imesaidia sana Bunge letu na serikali yetu, na sasa naanzisha vipindi vya Televisheni weekly kuelimisha umma kuhusu katiba, sheria na haki ambayo vitausaidia sana mhimili wa Mahakama kutenda haki.

Miongoni mwa wasioijua katiba ya JMT, ni Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, wametoa waraka wa kuipinga DPW, na kumtaka rais Samia asitishe ile IGA ya DPW na Bandari zetu, bila kujua kwa mujibu wa katiba, rais Samia hana uwezo huo!.

Ila hawa Maaskofu Katoliki, ni kiboko!.
Juzi baada ya kuutoa waraka wao, leo asubuhi katika makanisa yote ya Katoliki Tanzania, waraka huo umesomwa kanisani, mimbarini na madhabahuni!.

Baada ya kuusoma waraka wa TEC humu JF, Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu niliuliza Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa? na baada ya kitendo cha kusoma tamko la kisiasa Mimbarini na Madhabahuni, nauliza tena, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Lile tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kuipinga DPW na Bandari zetu, leo limesomwa mimbarini na madhabahuni na maparoko wa makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima kwenye kila ibada ya kila misa!.

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kama taasisi huru, iko huru kutoa maoni yake yoyote kuhusu jambo lolote, yakiwemo maoni ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, lakini kitendo cha Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kutoa maoni ya kisiasa kuipinga DPW na Bandari zetu, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania kusoma maoni hayo ya kisiasa ya TEC, mimbarini na madhabahuni, sio kuchanganya dini na siasa?.

Madhabahuni na mimbarini ni mahala pa kuabudia, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania, kuusoma waraka huu mimbarini madhabahuni, ni **** kuwaaminisha Wakatoliki kuwa kuipinga DPW na Bandari zetu ni sehemu ya ibada, hivyo Wakatoliki wote sasa wanatakiwa kuipinga DPW. Wale Wakatoliki wanaiunga mkono DPW wakioongozwa na Makamo wetu wa Rais, Dr. Philip Mpango, tunawaweka kwenye hali gani?. Huku sio kuwakwaza Wakatoliki wote tunaounga mkono DPW na Bandari zetu?.

Waraka huo unasisitiza Vox Populi is Vox Dei, kumaanisha sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, Tangu issue ya DPW ilipoibuka, kanisa Katoliki limewahi kukusanya maoni ya waumimi wake kuhusu jambo hili, hivyo kufikia hii conclusion kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW?.

Mimi ni Mkristo Mkatoliki, na toka issue ya DPW iibuke, sijawahi kukosa kanisani hata mara moja, sikumbuki kuwahi kuulizwa maoni yetu kuhusu DPW!, kama kuna Mkatoliki yoyote aliwahi kuombwa maoni yake na kanisa Katoliki, naomba ajitokeze.

Kama kanisa Katoliki halijakusanya maoni ya waumini wake kuhusu DPW, hii hoja ya TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, wameyatoa wapi?.

Kitendo cha Kanisa Katoliki Tanzania, kukusanya maoni ya Maaskofu wa Katoliki Tanzania, na kuyageuza ndio maoni ya Watanzania, huku sio kusema uongo?.

Na kitendo cha kuusoma uongo huo wa TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, na kuusomea mimbarini na madhabahuni, huku sio kumkosea Mungu, kuitumia mimbari yake na madhabahu yake vibaya, badala ya kuitumia mimbari na madhabahu, kwa kuabudia, kanisa Katoliki Tanzania linaitumia mimbari na madhabahu kupigia siasa za uoga za kuipinga DPW kwasababu tuu ni ya Waarabu, hivyo kudhani DPW ikija inakuja kueneza Uislam!, na kwa kuzingatia, hivi tuu DPW bado haijapewa mkataba, imetoa misaada ya kujenga misikiti kadhaa, ikipewa Bandari, kazi ya kwanza si ni itakuwa ni kujenga masjid?.

Bunge letu Tukufu limepitisha Azimio la Bunge kuiridhia IGA ya DPW, hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania, wamemtaka Rais Samia alifute Azimio la Bunge kuridhia IGA ya DPW,

Kumbe maaskofu wetu hawaijui katiba!, hawajui kuwa kwa mujibu wa katiba yetu, Rais wa JMT hana mamlaka ya kufuta Azimio la Bunge!, ili Rais Samia alifute Azimio la Bunge, inambidi Rais Samia alivunje Bunge!.

Rais wa JMT ni sehemu ya Bunge kwa mambo matatu tuu, 1. Kuliunda Bunge, kuridhia muswada kuwa sheria na kulivunja Bunge.

Kwa upande wa miswada ya sheria, Bunge likitunga sheria, rais anaweza kukataa kuisaini, anatakiwa kurejesha Bungeni kurekebishwa, Bunge likigoma kurekebisha, rais anakuwa hana jinsi bali ni kulivunja Bunge!.

Lakini kwa upande wa Azimio la Bunge, Bunge likiisha pitisha Azimio la Bunge, rais wa JMT hana mamlaka ya kuingilia chochote bali ni kuteleleza tuu Azimio la Bunge, vinginevyo ni alivunje Bunge!.

Hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania sio mchezo!, wanampangia hadi rais wa JMT na kumlazimisha apindue jambo lililoridhiwa na Bunge!.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT halazimiki kufuata ushauri wa yoyote kwenye kufikia maamuzi, isipokuwa katika mambo mawili tuu, ambayo rais wa JMT analazimika kuamrishwa kufuata.

Mambo hayo ni 1.Kuiwasilisha Bungeni ndani ya siku 7, ripoti ya CAG, baada ya kuipokea, na asipoiwasilisha ripoti hiyo ndani ya siku 7, inapofika siku ya 6, then CAG anatakiwa am bypass rais na kuwasilisha ripoti hiyo Bungeni. Hapa ni rais wa JMT anapangiwa na analazimishwa atake asitake!.

Ila Bunge letu lilivyo la mazuzu, likapitisha Azimio batili la Bunge kuwa halipokei ripoti ya CAG! Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG?

Kiukweli Bunge lile lilipaswa kunishukuru sana mimi, kwasababu ni mimi ndiye niliyewaambia Azimio lao hilo ni Azimio batili, na nikawaambia kitu kitakachowatokea iwapo Bunge halitapokea ripoti ya CAG Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba

Kitu kilichofanyika ni kwanza rais aliwasilisha ripoti ya CAG Bungeni kabla hajawa by passed na CAG, pili Bunge likaondoa Azimio lao batili kimya kimya, likaipokea ripoti ya CAG.

Jambo la pili ambalo rais wa JMT anaamrishwa ni kutekeleza Azimio la Bunge.

Baada ya Bunge letu Tukufu kuridhia IGA ya DPW na Bandari zetu, pamoja na mapungufu yake yote ya kisheria, IGA sio mkataba ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA, hivyo tunaweza kabisa kuwa na HGA nzuri.

Paskali
Ulicho andika ni kweli ila unajisahaulisha kuhusu aina ya Bunge tulilo nalo kuwa ni Bunge butu hawajui chochote Raisi ana nguvu ya kimamlaka ya kufanya chochote na hakuna wa kumhoji.
Wanasheria , Majaji wa Serikali hawawezi kushauri chochote masikio na midomo Yao wanaimba pambio za kumtukuza malkia.
Kanisa Catholic TEC wanafahamu muhimili wa Bunge ni nguzo ya manyoya, ndio maana wanahangaika na mhimili wa chuma.
Hakuna mtu anaweza kuhangaika na hili Bunge letu ni kupoteza mda.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni kuhusu Ijue Katiba: Japo Rais ni Sehemu ya Bunge, kwa kuliunda, kulivunja na kuridhia miswada kuwa sheria, lakini Rais Hana Mamlaka ya Kuliingilia Bunge?. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania limemtaka Rais Samia kuifuta IGA ya DPW, iliyoridhiwa na Bunge, ili Rais Samia aifute hiyo IGA, ambayo baada ya kuridhiwa ni Azimio la Bunge, inambidi Rais kwanza kulivunja Bunge, ndipo alivunje Azimio la Bunge.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu ka ukurasa, lakini kuielewa katiba, kunahitaji uwezo wa ziada, kama ilivyo kuielewa Biblia Takatifu au Quran Tukufu, kila mtu anayejua kusoma na kuandika, anaweza kusoma Biblia na Quran, lakini kuielewa unahitaji kupata ufunuo.

Vivyo hivyo kwa katiba ya JMT, kila mtu yoyote mwenye uwezo wa kusoma na kuandika, anaweza kuisoma katiba ila kuielewa kunahitaji ujaaliwe ufunuo.

Kwa mujibu wa katiba, mamlaka rasmi ya kuitafsiri katiba ni mhimili wa Mahakama Kuu, lakini it's very unfortunately mhimili wa serikali hawaijui katiba ndio maana wanatunga miswada kinyume cha katiba.

Mhimili wa Bunge, nao it's very unfortunately wanatunga sheria batili zinazokwenda kinyume cha katiba, na juzi kati hapa Bunge letu Tukufu, limeridhia IGA ya DPW na Bandari zetu ambayo iko kinyume cha katiba na sheria zetu.

Mhimili wa Mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba na sheria, nao it's very unfortunately hautimizi wajibu wake kikamilifu kwa kubariki uvunjifu wa katiba unaofanywa na mhimili wa serikali na mhimili wa Bunge!.

Mimi ni Mwanafunzi wa sheria wa Prof. Shivji, kiukweli niko very proud kuwa miongoni mwa wanafunzi tulio mwelewa vizuri Prof. Shivji alipokuwa akitufundisha somo la katiba, na ndio maana somo lake, mimi nimejenga kibanda, kwa kupata A, hivyo sasa najihesabu ni mwalimu wa kujitolea wa somo la Ijue Katiba, na nimeendesha mihadhara mbalimbali ya katiba ambayo imesaidia sana Bunge letu na serikali yetu, na sasa naanzisha vipindi vya Televisheni weekly kuelimisha umma kuhusu katiba, sheria na haki ambayo vitausaidia sana mhimili wa Mahakama kutenda haki.

Miongoni mwa wasioijua katiba ya JMT, ni Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, wametoa waraka wa kuipinga DPW, na kumtaka rais Samia asitishe ile IGA ya DPW na Bandari zetu, bila kujua kwa mujibu wa katiba, rais Samia hana uwezo huo!.

Ila hawa Maaskofu Katoliki, ni kiboko!.
Juzi baada ya kuutoa waraka wao, leo asubuhi katika makanisa yote ya Katoliki Tanzania, waraka huo umesomwa kanisani, mimbarini na madhabahuni!.

Baada ya kuusoma waraka wa TEC humu JF, Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu niliuliza Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa? na baada ya kitendo cha kusoma tamko la kisiasa Mimbarini na Madhabahuni, nauliza tena, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Lile tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kuipinga DPW na Bandari zetu, leo limesomwa mimbarini na madhabahuni na maparoko wa makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima kwenye kila ibada ya kila misa!.

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kama taasisi huru, iko huru kutoa maoni yake yoyote kuhusu jambo lolote, yakiwemo maoni ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, lakini kitendo cha Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kutoa maoni ya kisiasa kuipinga DPW na Bandari zetu, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania kusoma maoni hayo ya kisiasa ya TEC, mimbarini na madhabahuni, sio kuchanganya dini na siasa?.

Madhabahuni na mimbarini ni mahala pa kuabudia, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania, kuusoma waraka huu mimbarini madhabahuni, ni **** kuwaaminisha Wakatoliki kuwa kuipinga DPW na Bandari zetu ni sehemu ya ibada, hivyo Wakatoliki wote sasa wanatakiwa kuipinga DPW. Wale Wakatoliki wanaiunga mkono DPW wakioongozwa na Makamo wetu wa Rais, Dr. Philip Mpango, tunawaweka kwenye hali gani?. Huku sio kuwakwaza Wakatoliki wote tunaounga mkono DPW na Bandari zetu?.

Waraka huo unasisitiza Vox Populi is Vox Dei, kumaanisha sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, Tangu issue ya DPW ilipoibuka, kanisa Katoliki limewahi kukusanya maoni ya waumimi wake kuhusu jambo hili, hivyo kufikia hii conclusion kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW?.

Mimi ni Mkristo Mkatoliki, na toka issue ya DPW iibuke, sijawahi kukosa kanisani hata mara moja, sikumbuki kuwahi kuulizwa maoni yetu kuhusu DPW!, kama kuna Mkatoliki yoyote aliwahi kuombwa maoni yake na kanisa Katoliki, naomba ajitokeze.

Kama kanisa Katoliki halijakusanya maoni ya waumini wake kuhusu DPW, hii hoja ya TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, wameyatoa wapi?.

Kitendo cha Kanisa Katoliki Tanzania, kukusanya maoni ya Maaskofu wa Katoliki Tanzania, na kuyageuza ndio maoni ya Watanzania, huku sio kusema uongo?.

Na kitendo cha kuusoma uongo huo wa TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, na kuusomea mimbarini na madhabahuni, huku sio kumkosea Mungu, kuitumia mimbari yake na madhabahu yake vibaya, badala ya kuitumia mimbari na madhabahu, kwa kuabudia, kanisa Katoliki Tanzania linaitumia mimbari na madhabahu kupigia siasa za uoga za kuipinga DPW kwasababu tuu ni ya Waarabu, hivyo kudhani DPW ikija inakuja kueneza Uislam!, na kwa kuzingatia, hivi tuu DPW bado haijapewa mkataba, imetoa misaada ya kujenga misikiti kadhaa, ikipewa Bandari, kazi ya kwanza si ni itakuwa ni kujenga masjid?.

Bunge letu Tukufu limepitisha Azimio la Bunge kuiridhia IGA ya DPW, hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania, wamemtaka Rais Samia alifute Azimio la Bunge kuridhia IGA ya DPW,

Kumbe maaskofu wetu hawaijui katiba!, hawajui kuwa kwa mujibu wa katiba yetu, Rais wa JMT hana mamlaka ya kufuta Azimio la Bunge!, ili Rais Samia alifute Azimio la Bunge, inambidi Rais Samia alivunje Bunge!.

Rais wa JMT ni sehemu ya Bunge kwa mambo matatu tuu, 1. Kuliunda Bunge, kuridhia muswada kuwa sheria na kulivunja Bunge.

Kwa upande wa miswada ya sheria, Bunge likitunga sheria, rais anaweza kukataa kuisaini, anatakiwa kurejesha Bungeni kurekebishwa, Bunge likigoma kurekebisha, rais anakuwa hana jinsi bali ni kulivunja Bunge!.

Lakini kwa upande wa Azimio la Bunge, Bunge likiisha pitisha Azimio la Bunge, rais wa JMT hana mamlaka ya kuingilia chochote bali ni kuteleleza tuu Azimio la Bunge, vinginevyo ni alivunje Bunge!.

Hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania sio mchezo!, wanampangia hadi rais wa JMT na kumlazimisha apindue jambo lililoridhiwa na Bunge!.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT halazimiki kufuata ushauri wa yoyote kwenye kufikia maamuzi, isipokuwa katika mambo mawili tuu, ambayo rais wa JMT analazimika kuamrishwa kufuata.

Mambo hayo ni 1.Kuiwasilisha Bungeni ndani ya siku 7, ripoti ya CAG, baada ya kuipokea, na asipoiwasilisha ripoti hiyo ndani ya siku 7, inapofika siku ya 6, then CAG anatakiwa am bypass rais na kuwasilisha ripoti hiyo Bungeni. Hapa ni rais wa JMT anapangiwa na analazimishwa atake asitake!.

Ila Bunge letu lilivyo la mazuzu, likapitisha Azimio batili la Bunge kuwa halipokei ripoti ya CAG! Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG?

Kiukweli Bunge lile lilipaswa kunishukuru sana mimi, kwasababu ni mimi ndiye niliyewaambia Azimio lao hilo ni Azimio batili, na nikawaambia kitu kitakachowatokea iwapo Bunge halitapokea ripoti ya CAG Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba

Kitu kilichofanyika ni kwanza rais aliwasilisha ripoti ya CAG Bungeni kabla hajawa by passed na CAG, pili Bunge likaondoa Azimio lao batili kimya kimya, likaipokea ripoti ya CAG.

Jambo la pili ambalo rais wa JMT anaamrishwa ni kutekeleza Azimio la Bunge.

Baada ya Bunge letu Tukufu kuridhia IGA ya DPW na Bandari zetu, pamoja na mapungufu yake yote ya kisheria, IGA sio mkataba ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA, hivyo tunaweza kabisa kuwa na HGA nzuri.

Paskali
Mkuu nikupongeze sana kwa elimu kubwa pana nayandani sana uliyoitoa hapa Leo nimekuunga mkono 100% kiukweli kabisa uandishi wako wa Leo umeepuka Kila aina ya "Prejudice " katika kutafsiri Waraka wa TEC kwa kuonyesha Katiba inasemaje katk Tamko lile la Maaskofu

Hivyo basi atakaye kupinga katk bandiko hili huyo atakuwa Yuko "Biased " imma kwa kusukumwa na Imani yake ya dini au Itikadi yake ya kisiasa mkuu Leo umekuwa "Neutral " kitu ambacho waandisho wengi wanashindwa kukizingatia katk uandishi
 
Umeeleza vizuri na umeeleweka japo na wewe umechagua upande.

Huko mwisho hata wewe umekiri hayo makubaliano yana mapungufu lakini umeyabariki yaendelee.

Hii nchi janja janja ni nyingi sana. Serikali huitumiq dini kwenye mambo yao ikiwemo kufikisha huduma za kijamii kwa raia, kwani Pascal Mayalla hayo mambo ya hosp, shule nk si wajibu wa serikali lakini hushirikiana na taasisi za kidini. Pia taarifa za kiserikali mfano ulinzi na usalama pia hutumia madhabahu ya dini kufikisha ujumbe kwa wananchi.

Sasa leo hii ndo kisa hao wanadini wanatoa ushauri basi wasitumie madhabah yao kisa itakua wanachanganya dini na siasa?? Kama serikali inavyowatuma wafikishe habari kwa jamii na wao wametumia njia hiyo hiyo kufikisha habari kwa jamii.

Kwa mimi naamini TEC nao wana yao binafsi, ila hapo kwenye hayo yao binafsi pia nao wana hoja wasikilizwe na wajibiwe hoja zao kukata kiu zao na sio kukimbilia kuwashutumu kwa kigezo cha udini.
 
Back
Top Bottom