Wajua jinsi ya kumdhibiti mpenzi anayepiga mizinga?

Hawa wanawake hata uwape nn akiamua kukuacha au kukusaliti huwez kumdhibiti
 
haha maisha ya mjini magumu kujua penzi la ukweli na la omba omba watu wote wameamua kuwa omba omba wa kike/kiume wote sawa
 
hahahahah..ni kama vile wanawake tu ndio wanaomba!
Mbona wanaume nao ni mabingwa?

Asante lakini kwa kutoa masomo haya yenye kulenga kurekebisha jamii na mahusiano.

WomanOfSubstance yamemekukuta nini? Ukiona mtu anasifia mvua mara nyingi huwa zimemnyeshea..........
 
Last edited by a moderator:
Aisee kuna wanaume omba omba hadi kero yaani! Afu unakuta m'baba mtu mzima! Kuna mshkaji alinitolea kali, pamoja na kunialika vidate mara nyingi nikawa namkwepa. Akaanza style ya kuniomba nimtoe lunch. Namuambia niko busy sana sina hiyo nafasi, ananiambia sio lazma uwepo. Nitumie tu hiyo hela nitaenda mwenyewe. Nilimpa live....'Hivi usiwe unaomba hela mbele ya wanao. Watajifunza tabia mbaya sana, ambayo mie nilikatazwa toka mdogo.'

Mbaya zaidi wanae wote ni wa kike! Sijui itakuwaje aisee!
 
mmmmmmmmmh! mbona hata wanaume wapo wapiga mizinga, msituonee tu sisi jamani na nyie pia mjiseme hee.
 
to every action there there's an equal and opposite reaction....this's Newton's third law of motion which also applies in other stuff i.e love
kama hiyo mizinga huwezi vumilia kimbia faster maana unaweza pigwa kitu cha Hiroshima ukabakia fuvu tu.
Sasa kama unampenda huyo mpiga mizinga utamkimbia? mkuu watu8
 
Last edited by a moderator:

Hiyo bluu hiyo inahusu sana MziziMkavu ni balaaa hapo
 
WomanOfSubstance yamemekukuta nini? Ukiona mtu anasifia mvua mara nyingi huwa zimemnyeshea..........

Ruta bana!
Ina maana ukijua kua kitu kipo basi ni lazima kiwe kimekufika?
Kujua kifo kipo haina maana ulikufa ukafufuka lol
On a serious note, Hizi tabia zipo kotekote.Kuna wanawake wanakera kwa kuombaomba na pia wako wanaume wanaokera kwa kuombaomba.Isingekuwa wapo tena toka zamani basi marehemu Franco asingeimba "MARIO"..Hebu usikilize huo wimbo na kama kilingala hakipandi tafuta mkalimani akutafsirie.Pia msikilize Lady Jaydee katika wimbo wake "WANAUME KAMA MABINTI" utajua nasema nini. In short, kuna watu wavivu wa kufikiria na kutenda wenye kupenda mteremko.Hawa utakuta hata utotoni walikuwa kero kwa wazazi wao.
 

WomanOfSubstance..........majibu matamu lakini hujanijibu...lol
 
Last edited by a moderator:
Aksante xsana: Kwani ulichosema kilishawahi kunipata, ni kweli kabisa lakini kwa upande wa vizinga wanawake wanaongoza japokuwa hata baadhi ya wanaume cku hz wanapiga vizinga. Lakini nilijarbu kufuata vyote ulivyotaja hapa lakin bado nilkuwa celeweki kwa mpnz wang. Tuwe makini sana ktk hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…