Wajua jinsi ya kumdhibiti mpenzi anayepiga mizinga?

Wajua jinsi ya kumdhibiti mpenzi anayepiga mizinga?

Yaani unageuzwa Baba wa hiari au mlezi,,ndio maana Mke wa mtu mtamu Hana gharama we ni kulipia hotel tu,,,cha muhimu unamla kwa Timing usije ukafanyiwa mchezo mbaya na wewe.
 
soln ni kuanza kumwomba mshiko kabla hajakuomba, ukiona haelewiki yy ni mizinga tu piga chini ili asikufanye wewe kama problems solver.
 
kwenye maendeleo au kufilisika kwa mwanamume mwanamke yuko nyuma pia....ila siku hizi tunapigana mizinga sio wakike tuu
 
Na wanaume wanaopenda kuwaomba pesa wanawake wao.................

Ukiwa na mwanaume mpiga mizinga, hilo ni janga, mwanaume ni kujitegemea na mwanaume hachagui kazi kikubwa ugali upatikane, sasa mwanaume uwe mpiga mizinga kweli? Haipendezi,labda awe amekwama,anaumwa au ana matatizo makubwa
 
Kutokana na wanawake kuweka pesa kama kipaumbele chao..imekuwa ngumu kuwatofautisha na machangudoa...
 
Aisee umenipa some coz kuna mabinti wengine ni nuksi hujakaa sawa unapigwa mzinga wa kusuka, hujakaa sawa unaambiwa nitoe out yani ni tabu tupu
 
Ukiwa bahili utapigwa tu mizinga!
Regia wengine si bahili. Yes ni mpenz wangu.. ni jukum langu kumsaidia. Lakin pale anapoanza kuona ww tajir, kila saa vizinga, ukimwambia sina kwa sasa ananuna. Na hata ukimpa asante hana.

Sijakataa kutoa hela, ila omben kwa step, jitahidin kujua hali za wenzenu. Si muda wote mtu anapesa
 
Heshima kwenu wadau wote,

Nina imani mmeshakutana na hao watu ambao popote mkikutana baada ya story mbili tatu lazima akuombe hela, kusema kweli wananikera sana na wengine ni watu wazima kunizidi but kisa unapigana na resi zako kila siku wanakutafuta ili wakuombe hela tu,

imagine mtu unakutana nae kwenye starehe yeye kaja kivyake na wewe kivyako but anakuomba pesa eti amekwama hajui ataondokaje, wengine misibani, kwenye vikao vya harus na kwingineko yaan akukuona tu mzinga.

Na ukimwambia huna anatangaza yule ndugu ana roho mbaya anafikiri kipato chako siku zote hakina budget,

kusema kweli kama mpo humu muache hiyo tabia maisha yamekuwa magumu msipende kuwa tegemezi wakati mna viungo vyote vinafanya kazi, pigania maisha yako mwenyewe usipende kuomba omba na misaada kila siku,

Mwingine akiona una pesa tu kwenye wallet, kabati, gari au sehemu yeyote anaanza kulia shida zake anafikiri hiyo pesa haina kazi Haipendezi jitu zima kuwa omba omba
Na hiyo ndio huwafanya wanaume wengi kuwaacha sababu ya tabia za ajabu. Mtu umepanga mirad yako lakin kana kuja kukulilia shida mbaya mbovu.. ukitoa ahadi ya kumsaidia basi atageuza kuwa deni, atapiga kila saa kukukumbushia.

Mm kwakwel uwezo ninao.. lakin mwanamke akusha onyesha hiz tabia za kuomba kila dakika. Namkinai haraka hata kama mzur namna gani
 
Yaani unageuzwa Baba wa hiari au mlezi,,ndio maana Mke wa mtu mtamu Hana gharama we ni kulipia hotel tu,,,cha muhimu unamla kwa Timing usije ukafanyiwa mchezo mbaya na wewe.
Mbaya zaidi ana wazazi kwao. Na wazazi wako vizur. Naamanisha wazazi wanauwezo. Na anaishi nyumbani. Laki kutwa kwako, njaa, nauli,vocha,nguo ya sikukuu, outing.

Loh..
 
Back
Top Bottom