TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Si kwamba Nakubaliana na Kila kitu alichowasilisha mleta mada, lakini, hapa nilipoopa maneno kutoka bandiko lako ninaomba ufafanuzi....bila Nyerere, Mkapa asingekua rais,kudai hakuwa na 'wa kumlipa fadhila' si kweli,alikalia kitu...
Kwa mujibu wa mleta mada, inasemekana anamalizia shughuli fulani hivi ambayo sina hakika Hata kidogo kama kweli hiyo ndiyo shughuli yake hasa.Mimi binafsi sijaona chochote kwa Samia, miaka miwili Serikali hakuna Barabara Mpya, Sasa tutamfaidi kivipi ikiwa mpaka Sasa hatuoni chochote ?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Asante kwa sarcasm yako, Pascal Mayalla
Soma katikati ya mstari. Mleta mada si wa mchezo mchezo.
Ayaaa we ayaaa we inaumaaa in aslay voice 🤣🤣Asante kwa sarcasm yako, Pascal Mayalla
Ukweli mchungu ni huu, tumepigwa tena. Hapa tuendelee kuandika maumivu.
Kwako Pascal, I can only say "A little knowledge is a dangerous thing"!Wanabodi,
Kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, leo makala yangu ni makala ya dhana dhanifu, kuhusu Tanzania ya 2025 -2030.
Makala ya leo kwanza inafundisha kujua types tatu za leaders, kuna born leaders, na made leaders, na kwenye made leaders kuna manmade leaders na Selfmade leaders. Na ndani ya makundi hayo makubwa mawili kuna sub groups za leaders ambao ni leaders na leaders ambao ni technocrats.
Je wajua kuwa licha ya Tanzania na Watanzania kumfaidi Rais Samia kwa makubwa anayoyafanya sasa, japo ni born leader yaani God made leader lakini ameupata uongozi kwa manmade kwa kushikwa mkono na hatimaye kuupata urais kwa kudra tuu ya Mwenyeezi Mungu, hivyo kama sasa tuu hivi alivyo kwa kudra tuu, amefanya makubwa haya na anaendelea kufanya mambo makubwa mazuri ya kupendeza, can you imagine 2025 - 2030 tutakapokuwa tumempa rasmi, itakuwaje?.
Sii wengi wanajua kuwa japo sasa tutamfaid sana Rais Samia, lakini tutamfaidi zaidi na zaidi iwapo Rais Samia iwapo ataendelea na urais wa 2025 - 2030, kuliko sasa?. Ni kwanini,
Andamama nami!.
Naomba kabla ya kusoma bandiko hili, umezuka mtindo mtu yoyote akimpongeza kiongozi yoyote, ananyooshewa vidole vya uchawa!. Hili sio bandiko la uchawa wala mimi sio chawa wa Mama wala chawa wa mtu yoyote na hili nimelisema wazi Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kutokana na hoja ya mwana JF huyu
Mkuu MTAZAMO , kwanza niendelee kukupongeza wewe ni miongoni mwa wana JF very objective.
Kuna viongozi wanasiasa wa aina mbili, born leaders na made leaders na sub groups mbili.
1. Born leaders who are responsible to the people!.
2. Made leaders who are manmade leaders who are responsible to those who made them!.
3. Self Made Leaders who are not leaders but technocrats, who are responsible only to themselves!.
1. Born leaders who are leaders are responsible to the people, hawa ni wale viongozi wanasiasa waliozaliwa na kipaji cha uongozi kwa wito wa utumishi wa watu, hawa ni selfless leaders ambao kwao ni taifa kwanza, na wameutafuta uongozi kwa juhudi zao wenyewe binafsi kihalali bila kubwebwa na mtu au kutumia rushwa au ukwasi wao kununua uongozi, hivyo wanawajibika kwa watu, na hawawajibiki kulipa hisani kwa yeyote!. Hawa ni viongozi kama Nyerere, Karume Snr, Jumbe, Kawawa, Mkapa na wengine, they are born leaders, wameutafuta uongozi kwa juhudi zao binafsi bila kubwebwa na yeyote au kutumia rushwa, hivyo they were indebted to no one!, na wanaongoza kwa mifano.
Naomba kuliruka kundi la pili la
2. Made leaders na kurukia kundi la
3. La Self Made Leaders who are technocrats, who are responsible only to themselves!, kwenye kundi hili ndio kuna Magufuli, huyo ni self made leader ambaye alikuwa a technocrat ndio maana aliongoza kwa nyapara style ya mkono wa chuma na hakuwa indebted kulipa fadhila kwa yeyote ndio maana alitawala as if he own this country ni mali yake na anaweza kufanya lolote!.
Sasa nirudi kwa kundi la pili la
2. Made leaders , kwenye kundi hili kuna born leaders ambao wameminywa na kunyimwa fursa, hivyo mpaka watokee watu wawashike mkono, wawanyanyue na kuinuka, who are leaders who are responsible not only to people, but also to those who made them!. Kundi hili lina Mwinyi Snr, Karume Jnr, JK, Mwinyi Jnr na Samia.
Japo they are born leaders, but they had to be made leaders hivyo they are not only responsible for the people, but indebted to those who made them, who they are hivyo kuwa ni watu wa shukrani!, hivyo wale mnaopiga kelele mara muondoe huyu, mara muondoe yule!, mtapiga sana kelele za mlango, ama kama kelele za chura kisimani!.
Japo ni kweli Samia⁹ ana nia ya dhati ya kuwania urais 2025 ila ana changamoto 2. Changamoto ya kwanza ni jee ni yeye aliyepangiwa na YEYE kwa 2025?. Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Changamoto ya pili ni hizi sauti, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
Awamu ya hisani ni hii awamu ya kwanza pekee, Samia akiingia awamu ya pili, hii sasa itakuwa ni awamu yake ya self made leader, atakuwa hawajibiki kulipa fadhila kwa yeyote na hapo sasa ndio Tanzania na Watanzania tutamfaidi vizuri zaidi the real Samia I know, ambaye ni Samia huyu niliyemzungumza hapa! Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
Let's put our fingers crossed and pray for her ili 2025 awe Samia, Tanzania na Watanzania tumfaidi Rais Samia kikamilifu!
Mungu Mbariki Rais Samia aendelee 2025,
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Hukuzingatia mabano, Nyerere hakutaka kuwa mwanasiasa Bali kiongozi wa kidini,askofu akamkataza na Mara akaibukia kwenye siasa,akawa kiongozi wa nchi,kitabu Cha van Bergen kinamnukuu akisema atalipa kanisa lake a better chance,wakati wa mwinyi kanisa lilikua vocal Sana kwamba nchi inakua islamized,misikiti inaongezeka,duru zinadai waliapa hatitawala Tena muislam,alipoingia mkapa kanisa lilikua kimya tu huku kampeni za uchaguzi zikifanyika kanisani,waumini wakuoneshwa picha ya mgombea wanayetakiwa kumchagua..na kutoa waraka uliosema watamchagua Ben... Nyerere wa wakati wakeSi kwamba Nakubaliana na Kila kitu alichowasilisha mleta mada, lakini, hapa nilipoopa maneno kutoka bandiko lako ninaomba ufafanuzi.
Unadhani, Nyerere (Baba wa Taifa) alikuwa anahitaji fadhila gani kutoka kwa Mkapa(R.I.P) ambazo unadhani wakati huo alikuwa anazikosa kutoka sehemu nyingine ama kwa watu wengine ??
Na uwe specific kwenye majibu yako, sihitaji majibu ya jumla jumla!!!
I truly hope hii ni 'sarcasm". Mara kadhaa nimekua nachukulia maandiko yake hivyo. But he is consistent - more like he means it and believe what he writes. I hope I am wrong.Asante kwa sarcasm yako, Pascal Mayalla
Ukweli mchungu ni huu, tumepigwa tena. Hapa tuendelee kuandika maumivu.
Rais wetu mama Samia amefanya kazi njema Sana Tangia ameingia madarakani,Ameshughulika na mfumuko wa Bei kijasiri Sana kwa kutoa mabillioni ya Ruzuku,mfano katika mbolea alitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu, hata katika Nishati ya mafuta serikali ilikuwa inatoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi na kupelekea kushuka kwa Bei ya mafuta ukilinganisha na majirani zetu.Machawa mnatuchosha na ngonjera zenu. Hali ya maisha inazidi kuwa ngumu tangu aingie madarakani. Kila kitu kimepanda bei zaidi ya mara mbili, wizi, ufisadi maradufu. Acheni ujinga wenu bana.
Hii ni zawadi yangu kwa Birthday ya Mama leo, nilipanga kumpa wiki ya mwisho ya October 2025,Japo ni kweli baada ya Rais Samia kuupata urais kwa kudra tuu za Mwnyeenzi Mungu, Rais Samia angependa kuona Watanzania wakichagua rais Mwanamke na yeye ana nia ya dhati ya kuwania urais 2025 ila ana changamoto Kuu mbili.
Changamoto ya kwanza ni jee ni yeye aliyepangiwa na YEYE kwa 2025?. Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Changamoto ya pili ni HII sauti !.
Awamu hii ya kwanza ndio awamu pekee ya kudra, hisani na fadhila, Watanzania tukimchagua Rais Samia kwa awamu ya pili, hii sasa itakuwa ni awamu yake ya self made leader, besides being a born leader, atakuwa hawajibiki kulipa fadhila kwa yeyote na hapo sasa ndio Tanzania na Watanzania tutamfaidi vizuri zaidi the real Samia I know, ambaye ni Samia huyu niliyemzungumza hapa! Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
Ila sasa kufuatia possibility ya ile changamoto ya pili kuja kuwa kweli, naendelea kumsisitiza Rais Samia, kama anaweza kuacha alama ya katiba kabla ya 2025, atakuwa amefanya jambo jema ili hiyo 2025, hata asipo, atakuwa ameacha alana!.
Otherwise lets put our fingers crossed and pray for her ili 2025 awe Samia, Tanzania na Watanzania tumfaidi Rais Samia kikamilifu!
Mungu Mbariki Rais Samia aendelee 2025,
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Mabandiko yako haya ndio yanafanya tushindwe kukutofautisha na kina zembwela.Wanabodi,
Kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, leo makala yangu ni makala ya dhana dhanifu, kuhusu Tanzania ya 2025 -2030.
Makala ya leo kwanza inafundisha kujua types mbili za leaders, kuna born leaders, na made leaders, na kwenye made leaders kuna manmade leaders na selfmade leaders. Na ndani ya makundi hayo makubwa mawili pia kuna sub groups za leaders ambao ni leaders leaders na leaders ambao ni technocrats leaders.
Kwa vile kwa sasa rais wetu ni Rais Samia, hivyo nashauri tuanze na Samia Ili kupata Viongozi Bora baadae, Watanzania tujifunze kuwasoma watu kwa asili zao. Mjue Samia alivyo kwa asili yake
Je wajua kuwa licha ya Tanzania na Watanzania kumfaidi Rais Samia kwa makubwa anayoyafanya sasa, japo Rais Samia ni born leader yaani God made leader lakini ameupata uongozi kwa manmade kwa kushikwa mkono na watu, kwa jina lake kupendekezwa na watu, kuwa VP, na ndipo hatimaye kuupata urais wa JMT kwa kudra tuu za Mwenyeezi Mungu, hivyo kama sasa tuu hivi alivyo ni rais kwa kudra tuu, amefanya makubwa haya anayoyafanya na anaendelea kuyafanya mambo makubwa mazuri ya kupendeza ya neema na mafanikio, can you imagine 2025 - 2030 tutakapokuwa tumempa rasmi, kwa kumchagua kupitia sanduku la kura, itakuwaje?.
Sii wengi wanajua kuwa japo sasa tutamfaidi sana Rais Samia, lakini tutamfaidi zaidi na zaidi iwapo Rais Samia ataendelea na urais wa 2025 - 2030, kuliko sasa?. Ni kwanini,
Andamama nami!.
Naomba kabla ya kusoma bandiko hili, umezuka mtindo mtu yoyote akimpongeza kiongozi yoyote, ananyooshewa vidole vya uchawa!. Hili sio bandiko la uchawa wala mimi sio chawa wa Mama wala chawa wa mtu yoyote na hili nimelisema wazi Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kutokana na hoja ya mwana JF huyu
Mkuu MTAZAMO , kwanza niendelee kukupongeza wewe ni miongoni mwa wana JF very objective.
Kuna viongozi wanasiasa wa aina mbili, born leaders na made leaders na sub groups mbili.
1. Born leaders who are responsible to the people!.
2. Made leaders who are (a)manmade leaders who are responsible to those who made them!.
(b) Self Made Leaders who are not politician leaders but technocrats, who are responsible only to themselves!.
1. Born leaders, ni viongozi wanaozaliwa na karama ya uongozi, ambao ni leaders responsible to the people, hawa ni wale viongozi wanasiasa waliozaliwa na kipaji cha uongozi kwa wito wa utumishi wa watu, hawa ni selfless leaders ambao kwao ni taifa kwanza, na wameutafuta uongozi kwa juhudi zao wenyewe binafsi kihalali bila kubwebwa na mtu au kutumia rushwa au ukwasi wao kununua uongozi, hivyo wanawajibika kwa watu, na hawawajibiki kulipa hisani kwa yeyote!. Hawa ni viongozi kama Nyerere, Karume Snr, Jumbe, Kawawa, Mkapa na wengine, they are born leaders, wameutafuta uongozi kwa juhudi zao binafsi bila kubwebwa na yeyote au kutumia rushwa, hivyo they were indebted to no one!, na wanaongoza kwa mifano.
Naomba kuliruka kundi la pili la
born leaders ambao pia ni Made leaders na kurukia kundi la Self Made Leaders who are technocrats, are responsible only to themselves!, kwenye kundi hili ndio kuna Magufuli, huyo ni self made leader ambaye alikuwa a technocrat ndio maana aliongoza kwa mtindo wa nyapara style ya mkono wa chuma na hakuwa indebted kulipa fadhila kwa yeyote ndio maana alitawala as if he own this country ni mali yake na anaweza kufanya lolote na chochote na hakuna wa kumuuliza.
Sasa nirudi kwa kundi la pili la
2. Made leaders , kwenye kundi hili pia kuna born leaders ambao wameminywa na kunyimwa fursa, hivyo mpaka watokee watu wawashike mkono, wawanyanyue na kuinuka, who are leaders who are responsible not only to people, but also to those who made them!. Kundi hili lina Mwinyi Snr, Karume Jnr, JK, Mwinyi Jnr na Samia. Unaweza kuangalia Samia aliishaonyesha uwezo siku nyingi sana angalia toka lini tumemtaja New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!
Na wakati tukiangazia sifa za Mwanamke kuweza kuwa rais wa Tanzania, jina la Samia Suluhu Hassan liliibuka kinara Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
Japo they are born leaders, but they had to be made leaders hivyo they are not only responsible for the people, but indebted to those who made them, who they are hivyo kuwa ni watu wa shukrani!, hivyo wale mnaopiga kelele mara muondoe huyu, mara muondoe yule!, mtapiga sana kelele za mlango, ama kama kelele za chura kisimani!.
Japo ni kweli baada ya Rais Samia kuupata urais kwa kudra tuu za Mwnyeenzi Mungu, Rais Samia angependa kuona Watanzania wakichagua rais Mwanamke na yeye ana nia ya dhati ya kuwania urais 2025 ila ana changamoto Kuu mbili.
Changamoto ya kwanza ni jee ni yeye aliyepangiwa na YEYE kwa 2025?. Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Changamoto ya pili ni HII sauti !.
Awamu hii ya kwanza ndio awamu pekee ya kudra, hisani na fadhila, Watanzania tukimchagua Rais Samia kwa awamu ya pili, hii sasa itakuwa ni awamu yake ya self made leader, besides being a born leader, atakuwa hawajibiki kulipa fadhila kwa yeyote na hapo sasa ndio Tanzania na Watanzania tutamfaidi vizuri zaidi the real Samia I know, ambaye ni Samia huyu niliyemzungumza hapa! Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
Ila sasa kufuatia possibility ya ile changamoto ya pili kuja kuwa kweli, naendelea kumsisitiza Rais Samia, kama anaweza kuacha alama ya katiba kabla ya 2025, atakuwa amefanya jambo jema ili hiyo 2025, hata asipo, atakuwa ameacha alana!.
Otherwise lets put our fingers crossed and pray for her ili 2025 awe Samia, Tanzania na Watanzania tumfaidi Rais Samia kikamilifu!
Mungu Mbariki Rais Samia aendelee 2025,
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Rejea za Mwandishi kuhusu uwezo wa wanawake kwenye uongozi
- Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani: Je Wajua Kuna Wanawake Wana Uwezo Mkubwa Kuliko Wanaume ila Wamekuwa Wanabaniwa!. Hata Huyo Kuonyesha Uwezo na ...
- Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Jee Mama Samia Ataliweza Fupa Hili?.
- Baada ya Marais 5 Wanaume, Samia ndiye 'Kifungua Mimba' cha Rais Mwanamke! Mnaonaje Akifuatiwa na Marais Wanawake 5 Ndipo Aje Tena Rais Mwanaume?
- Ili kupata Viongozi Bora baadae, Watanzania tujifunze kuwasoma watu kwa asili zao. Mjue Samia alivyo kwa asili yake
- Je, kuna kazi za kike na za kiume? Fupa hili lililowashinda wanaume wanne, mwanamke mmoja ataliweza?
- Wanawake Wana Akili Kuliko Wanaume? Hata kwenye Siasa na Uongozi, Wanawake Wameonyesha Uwezo Kuliko Wanaume
Mkuu Gagi, Gagnija , mimi zaidi ya kuwa ni mwandishi wa habari wa kujitegemea na mtangazaji wa kujitegemea, pia ni mwanafasihi zote mbili, fasihi simulizi na fasihi andishi, baadhi ya mabandiko yangu ni mabandiko ya fasihi, hivyo ni only wale wenye uwezo to read in between the lines ndio wananielewa vizuri, mimi sio chawa, sijawahi kuwa chawa na kamwe sitakuja kuwa chawa!.Mabandiko yako haya ndio yanafanya tushindwe kukutofautisha na kina zembwela.
Hii sio barua, hili ni andiko. Kama hili umeliona refu, kitabu wewe utaweza kusoma?.Barua Ndefu Kama hii
Mkuu denooJ , hii inaitwa kuwa mtu wa shukrani, awamu hii ya kwanza, Rais Samia hakuupata urais kupitia kwa wananchi, ameupata kwa kudra tuu za Mwenyeezi Mungu baada ya kushikwa mkono akawa VP ndipo na Mungu akatia mkono wake kivile, ndipo Rais Samia akawa rais.Duh!.
Unamaanisha tuna Rais anayemridhisha yule aliyemfanya awe badala ya kuwaridhisha wananchi, hii ni dharau kwa watanzania japo ndio ukweli wenyewe.
Sijui kuna ubaya gani nikiandika; "hatuna Rais"
Naomba tuu niseme asante, maana hii ndio freedom yenyewe of expression, naomba kuyaheshimu mawazo yako!Pia kuna natural born fools/idiots/morons kama wewe Mh Mayalla