Moshi mweusi
Member
- Sep 12, 2019
- 59
- 64
Ila nimeamin ukipata pesa kna vitu hutotumia nguvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unamjua huyu wa leo? Watu tunawajua wengi sana waliotoka uislamu na kwenda ukristo tena wa kutoka huko unakodhani siwa hovyo, na bado wanaishi tena kwa mafanikio makubwa. Hakuna cha laana wala malipo yoyote mabaya. Msijihesabie haki.kama kwl kabadili dini ,niseme tu watu wa kusini watu hovyo sana aisee..usiwaekee dhamana hata kidogo.
Pili amekamilisha ukafiri wake aliokuwa nao na ataona malipo yake....
Hii umeitoa kwenye biblia ya bongo movie naikumbuka hii chapter,pia ukisoma Ray 21;12 ,15-18 inasema Salimia watu pesa huisha.
Drama queen haupo mbali. Wewe uliamua kujiita hilo jina baada ya kutambua sifa unazozitaja? Bila hata proof, wewe ushaanza cherekochereko. Mwanaume mzima unamshabikia Mwanaume mwenzio.JE WAJUA SABABU YA HARMONIZE KUJIITA "ROBERT"?
Anaandika, Robert Heriel.
Kwanza nimpongeze Msanii Harmonize Kwa kujifaraguza kubadilisha jina Kwa sababu ya Mapenzi aliyonayo Kwa Kajala, na kujiita "Robert" jina ambalo linamaana kubwa Sana hasa Kwa upande wa mtu anayetaka kuwa mkubwa, mashuhuri na mwenye ushawishi. Sitazungumzia kuhusu kuwa anampenda Kajala au Laah! Hilo ni juu Yao.
Robert ni jina kubwa na maarufu ambalo asili yake ni huko Ujerumani ambalo ni "Hrōþiberhtaz" ambalo ni muunganiko wa maneno mawili(compound word) *Hrōþi- kingereza "fame" Kiswahili "umashuhuri, utukufu, Uheshimiwa, ukubwa and *berhta- kingereza ni bright" Kiswahili ni "mwangaza, mng'ao, kung'aa ambalo ndio linazaa neno (Hrōþiberhtaz) "Bright Fame" Mng'ao wa utukufu, Mtu mashuhuri mwenye kung'aa Kama Nyota.
Robert ni moja ya majina makongwe yaliyoanza kutumika zamani Karne ya 14 na kuenea Maeneo ya Uingereza kisha Ulaya yote.
Watu mashuhuri na familia kubwa walipenda kuwaita watoto jina hili, huku wakifupisha Kama Rob, Robbie, Roby n.k Kwa wanawake huitwa Roberta,
Nickname ya Robert ambayo ni Mashuhuri Duniani ni "BOB"
Harmonize hajafanya Kwa bahati mbaya kujiita jina hilo, bali maana ya jina hilo ndilo lililomshawishi kujiita hata Kama ni Kwa utani.
Robert; Mtu mashuhuri, Star 🌟, mwenye ushawishi, mwenye utukufu , asiyeweza kuzuiwa asing'ae
Karibu Sana Harmonize kwenye Jumuiya ya Bob Duniani.
Ni Yule Bob wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Huyo harmonize ni mkristo?Ukawe great thinker kwa Jambo lililo uchi hili, mbona hajhitaji nguvu kujua alichozungumzia.. Kuhama dini, kutoka Ukristo kwenda uislam ingekuwa kelele, kahama huyu katoka huku kaenda kule ni kimya tu.
Mzee unatamani uonekane great thinker.. Fanya la maana utambulike automatikali😂,
Mimi naona angejiita Rogers ingekua mule mule kwa Rajabu.. 😂😂😂😂Rajabu==> Robert, hataki kupoteza kabisa R yake.
yani umetumia nguvu nyiiiiiiiiiingi kuelezea kitu wakati mwenzio sababu yake ni priiiiiii mpk maka tu.😀😀
Kwa hiyo maelezo yangu yote ni bure😀😀
ingekuwa rahisi hata kutupiga kwamba hakubadili dini alibadili kajina tu[emoji16][emoji16]Mimi naona angejiita Rogers ingekua mule mule kwa Rajabu.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dini sio tiketi ya kwenda mbinguni bali ni mpango wa mwanadam kumtafuta Mungu.kama kwl kabadili dini ,niseme tu watu wa kusini watu hovyo sana aisee..usiwaekee dhamana hata kidogo.
Pili amekamilisha ukafiri wake aliokuwa nao na ataona malipo yake....
Lete ushahidi kwamba kabadili dniNini hakijaeleweka hapa magharibi ni Dini ya kikristo na mashariki ni Uislamu hivyo basi
Kama angekuwa mkiristo akabadili Dini kuwa muislamu mji usingekalika