Wajue Black September: Munich Massacre 1972

Wajue Black September: Munich Massacre 1972

Hili kundi ndio lilihusika na mauaji ya wanamichezo wa Israel mjini Munich wakati wa michuano ya Olympic 1972. Wanamichezo 11 waliuawa wakati hawa jamaa walipofanya ambush kwenye kambi ya Olymic mjini humo.

Black September ilikuwa ni wing ya Palestine Liberation Organization (PLO) ya Yasser Arafat iliyokuwa ikipambana kupata uhuru na kujitawala huko Jerusalem. Vijana 5 wanaosaidikiwa kutoka kambi za wakimbizi za Wapalestine Syria, Lebanon na Jordan ndio walihusika na shambulizi hili huko Munich wakivamia kambi na silaha nzito nzito.

Waliteka baadhi ya wanamichezo katika ile kutaka escape plan waliomba ndege ya kuwapeleka Egypty, lakini Egypty ilikataa kupokea hao jamaa katika muktadha huo. Katika purukushani hao wauaji baadhi waliuawa na wengine kukamatwa na mapolisi wa Ujerumani. Ujerumani ilikataa msaada wa Israel katika ku-deal na ile hostage situation ni kama ingeonekana haiko strong kwenye ishu ile. Dhumuni lao la kushika mateka ilikuwa kuilazimisha Israel iwaachie wafungwa zaidi ya 200 wa Kipalestina walio jela za Israel pamoja na critics wawili wa kijerumani wa Red Army Faction waliokuwa jela Ujerumani. Ila kwa wakati huo Israel ilikuwa na policy “never negotiate with a terrorist under any circumstance”

Baada ya kuuwawa.

Walisafirishwa mpaka Libya ambapo walipokelewa kwa heshima kubwa katika nchi hiyo. Na walizikwa kishujaa kwa kutumia ishara za kijeshi na mizinga.



Israel Retaliation

Baada ya miezi kadhaa ya maombolezo, Israeli ilipiga mabomu kambi za PLO zilizoko Syria na Lebanon na kuua zaidi ya watu 200. Pia Mossad walianzisha operation maalum kuwa-track down planners wa yale mauaji wakiita “Wrath of God”. Mda kidogo ndege ya Ujerumani Lufthansa ilitekwa na vijana wa kipalestina wakidemand wale mateka waliokamatwa kule Munich waachiwe la sivyo watailipua.


Israel ilifanikiwa kuwaua planners wa ile mission either kwa sumu, hear attack, surveillance live shootings, remote sensing bombs ikiongozwa na Ehud Barak kokote walipokuwa either Ulaya, Asia au North Africa. Ingawa pia kuna ripoti zinasema baadhi ya waliouawa hawakuhusika na shambulio lile. Kati ya the most wanted alikuwa Abu Daoud ambaye alitafutwa kipindi kirefu sana na Israel lakini alisavaivu gun shot attacks akipigwa risasi tano na ni pekee aliyekufa natural death damascus 2010 kati ya planners wa massacre, ingawa katika intervies alisema pesa ya kufadhili lile shambulio ilitoka kwa Mahmoud Abbas.
Mision mojawapo ambayo Black September waliifanya kitaalam ilikuwa ni kumuua mtu wa ubalozi wa Israel mjini London akiitwa Ami Shachori 1972. Walituma barua kama nane hivi kwa staffs wa ubalozi zikiwa ni bomb letters,nne kati ya hizo zilidakwa kabla ya kufikia walengwa lakini moja ilimfikia huyo diplomat akidhani ni order aliyoifanya. Aliifungua hiyo barua na mlipuko mkubwa ukatokea na kumuua.

Sijapata mda tu ila nishawahi soma sehem kuwa Illich Ramirez Sanchez aka Carlos alikuwa ni member wa Black september pia.

Israel na Palestina wana historia ndefu sana, na itaendelea kuwepo kizazi na kizazi
Ni kweli uliyo eleza ila kama alivyo eleza bibiye mmoja kuna mapungufu hapa na pale hakuna aliye nusurika ktk wachezaji wa Israel ila mpishi aliyekuwa jikoni,na kambi mbili zilizo lipuliwa Lebanon sikosei ni Sabri na Shatilah,na Carlos ambaye alikuwa recruited kuwa saidia ndiye aliye chora na kuratibu hayo mauaji ila yeye hakuwa mshiriki wa moja kwa moja ktk hilo, ali shiriki kwenye utekaji nyara wa mawaziri wa mafuta wa opec nchini Venezuela ambako ndio kwao,sasa hivi ana tumikia kifungo cha maisha France,ana vitabu vingi vilivyo tungwa juu yake na kutungiwa sinema kama man of thousand faces, a day of the jackal,Bourne identity kuna kitabu kimoja ali eleza kufika Arusha kama mtalii ila alicheza michezo mingi huyu jamaa nili muadmire.
 
Hilo tukio la Mossad lilipata baraka zote za Waziri wao Mkuu wa Kipindi hicho Bibi Golda Meir aliyesema Kuna wakati kulipa kisasi ni njia nzuri ya kufundisha!
 
Hilo tukio la Mossad lilipata baraka zote za Waziri wao Mkuu wa Kipindi hicho Bibi Golda Meir aliyesema Kuna wakati kulipa kisasi ni njia nzuri ya kufundisha!
Na waziri wake wa ulinzi Moshe Dayan.
 
hao MOSSAD nasikia ni zaidi ya fbi kwenye inshu nzima ya upelelezi na kutekeleza mission


Mambo haya ni magumu sana hakuna anayejua nani yuko juu ya mwenzake... kwani hakuna kitu kinachoweza ku rate nani yuko juu ya mwenzake hasa katika maswala ya Intelligence
unless ziwe ni story za kahawa na kijiweni

kuweza kujua nani yuko juu ya mwenzake ni ngumu sana unless u assess failures na successful collections...

mfano leo hii naweza sema kuwa TISS ni bora kuliko FBI

why??

according na United Nations Office on Drugs and Crime

mauaji Tanzania kwa mwaka 2013 ilikuwa ni 3,831 kwa rate ya

wakati usa lwa mwaka huo ilikuwa ni 12,253

Je F.B.I wako wapi??
C.I.A je au wako busy na ISIS

je wajua According to the GTD, 80 Americans were killed in terrorist attacks from 2004 to 2013, including perpetrators and excluding deaths in Afghanistan and Iraq, the majority of which are combatrelated. Of those 80 Americans killed, 36 were killed in attacks that occurred in the United States.  More broadly, 3,066 Americans have been killed in terrorist attacks from 9/11/2001 through 12/31/2014, including perpetrators and excluding deaths in Afghanistan and Iraq. o 2,961 of these deaths occurred on American soil. o 2,902 of thesedeaths occurred during the attacks on September 11, 2001.

FBI wako wapi?

you figure it out mwenyewe kati ya tiss na fbi


swala la Mossad na Fbi ni mashirika ya ujasusi lakini yana majukumu tofauti
wakati fbi likiwa ni kitengo cha ujasusi wa mambo ya ndani ya marekani lakini Mossad ni shirika mama la ujasusi la israel hivi ni vitu viwili tofauti
 
Hili kundi ndio lilihusika na mauaji ya wanamichezo wa Israel mjini Munich wakati wa michuano ya Olympic 1972. Wanamichezo 11 waliuawa wakati hawa jamaa walipofanya ambush kwenye kambi ya Olymic mjini humo.

Black September ilikuwa ni wing ya Palestine Liberation Organization (PLO) ya Yasser Arafat iliyokuwa ikipambana kupata uhuru na kujitawala huko Jerusalem. Vijana 5 wanaosaidikiwa kutoka kambi za wakimbizi za Wapalestine Syria, Lebanon na Jordan ndio walihusika na shambulizi hili huko Munich wakivamia kambi na silaha nzito nzito.

Waliteka baadhi ya wanamichezo katika ile kutaka escape plan waliomba ndege ya kuwapeleka Egypty, lakini Egypty ilikataa kupokea hao jamaa katika muktadha huo. Katika purukushani hao wauaji baadhi waliuawa na wengine kukamatwa na mapolisi wa Ujerumani. Ujerumani ilikataa msaada wa Israel katika ku-deal na ile hostage situation ni kama ingeonekana haiko strong kwenye ishu ile. Dhumuni lao la kushika mateka ilikuwa kuilazimisha Israel iwaachie wafungwa zaidi ya 200 wa Kipalestina walio jela za Israel pamoja na critics wawili wa kijerumani wa Red Army Faction waliokuwa jela Ujerumani. Ila kwa wakati huo Israel ilikuwa na policy “never negotiate with a terrorist under any circumstance”

Baada ya kuuwawa.

Walisafirishwa mpaka Libya ambapo walipokelewa kwa heshima kubwa katika nchi hiyo. Na walizikwa kishujaa kwa kutumia ishara za kijeshi na mizinga.



Israel Retaliation

Baada ya miezi kadhaa ya maombolezo, Israeli ilipiga mabomu kambi za PLO zilizoko Syria na Lebanon na kuua zaidi ya watu 200. Pia Mossad walianzisha operation maalum kuwa-track down planners wa yale mauaji wakiita “Wrath of God”. Mda kidogo ndege ya Ujerumani Lufthansa ilitekwa na vijana wa kipalestina wakidemand wale mateka waliokamatwa kule Munich waachiwe la sivyo watailipua.


Israel ilifanikiwa kuwaua planners wa ile mission either kwa sumu, hear attack, surveillance live shootings, remote sensing bombs ikiongozwa na Ehud Barak kokote walipokuwa either Ulaya, Asia au North Africa. Ingawa pia kuna ripoti zinasema baadhi ya waliouawa hawakuhusika na shambulio lile. Kati ya the most wanted alikuwa Abu Daoud ambaye alitafutwa kipindi kirefu sana na Israel lakini alisavaivu gun shot attacks akipigwa risasi tano na ni pekee aliyekufa natural death damascus 2010 kati ya planners wa massacre, ingawa katika intervies alisema pesa ya kufadhili lile shambulio ilitoka kwa Mahmoud Abbas.
Mision mojawapo ambayo Black September waliifanya kitaalam ilikuwa ni kumuua mtu wa ubalozi wa Israel mjini London akiitwa Ami Shachori 1972. Walituma barua kama nane hivi kwa staffs wa ubalozi zikiwa ni bomb letters,nne kati ya hizo zilidakwa kabla ya kufikia walengwa lakini moja ilimfikia huyo diplomat akidhani ni order aliyoifanya. Aliifungua hiyo barua na mlipuko mkubwa ukatokea na kumuua.

Sijapata mda tu ila nishawahi soma sehem kuwa Illich Ramirez Sanchez aka Carlos alikuwa ni member wa Black september pia.

Israel na Palestina wana historia ndefu sana, na itaendelea kuwepo kizazi na kizazi
Miaka ya 70 kulifumka magenge mengi ya kigaidi katika wapalestina pia kulikuwa na Saiqa likiongozwa na dada mmoja machachari sana Leilah kama sijakosea mtekaji nyara ndege hatari sana ila ali kuja kukamatwa na kulikuwa na PLFP la kina Saad Hadad,Japanese red Army lakini Kozo Okamoto lilifanya kitu mbaya Tel Aviv airport wakiwa wame kodiwa na PLFP,Kulikuwa na Italian Red Brigades walio kuja kumteka aliye kuwa waziri mkuu wa Italy Aldo Moro,kulikuwa na Badel Meinnholf la ujerumani liliundwa na mtu na girlfriend wake hilo jina ni muunganiko wa majina yao na Basque la Spain,nikipata muda nita kueleza vizuri kuhusu Carlos na mwenzake Mualgeria Mohamed Boudia maana walisoma wote na walikuwa wana fanana na wali tengenezwa chuo cha Patrice Lumumba Russia kwa kazi maalum.
 
MOSSAD WALIWATAFUTA MMOJA BAADA YA MWINGINE WAKAWAUA KAMA KUKU KIMYA KIMYA CHEZEA MOSSAD WEWE
Walikuwa na kijana wao Mossad cover name aliitwa Hunter ndio ilikuwa michezo yake aki kufuatilia enzi hizo aki kukosa ukatambike alimkosa kosa Carlos akamuua mwenzie aliye kuwa ana fanana naye Mohamed Boudia, Carlos aka ikimbia Ufaransa na ndiye mtu pekee aliye kuwa ana mhofia.
 
Assignment the Carlos the Man with thousand faces hazikuhusika moja kwa moja kupambana na Islael naamini asingedumu na kukamatiwa Sudan ujuzi ukiwa umepungua sana.
Na uzee pia,umri ulisha kwenda sana.
 
Mambo haya ni magumu sana hakuna anayejua nani yuko juu ya mwenzake... kwani hakuna kitu kinachoweza ku rate nani yuko juu ya mwenzake hasa katika maswala ya Intelligence
unless ziwe ni story za kahawa na kijiweni

kuweza kujua nani yuko juu ya mwenzake ni ngumu sana unless u assess failures na successful collections...

mfano leo hii naweza sema kuwa TISS ni bora kuliko FBI

why??

according na United Nations Office on Drugs and Crime

mauaji Tanzania kwa mwaka 2013 ilikuwa ni 3,831 kwa rate ya

wakati usa lwa mwaka huo ilikuwa ni 12,253

Je F.B.I wako wapi??
C.I.A je au wako busy na ISIS

je wajua According to the GTD, 80 Americans were killed in terrorist attacks from 2004 to 2013, including perpetrators and excluding deaths in Afghanistan and Iraq, the majority of which are combatrelated. Of those 80 Americans killed, 36 were killed in attacks that occurred in the United States.  More broadly, 3,066 Americans have been killed in terrorist attacks from 9/11/2001 through 12/31/2014, including perpetrators and excluding deaths in Afghanistan and Iraq. o 2,961 of these deaths occurred on American soil. o 2,902 of thesedeaths occurred during the attacks on September 11, 2001.

FBI wako wapi?

you figure it out mwenyewe kati ya tiss na fbi


swala la Mossad na Fbi ni mashirika ya ujasusi lakini yana majukumu tofauti
wakati fbi likiwa ni kitengo cha ujasusi wa mambo ya ndani ya marekani lakini Mossad ni shirika mama la ujasusi la israel hivi ni vitu viwili tofauti
Uko sahihi kabisa Muungwana FBI ni shirika linalo husika na usalama wa ndani wa Marekani CIA ndio inayo shughulika na mambo ya Ujasusi nje ya Marekani wakati kwa Israel Shin Beth ndio wanao husika na usalama wa ndani na Mossad ni ujasusi wa nje.
 
hao MOSSAD nasikia ni zaidi ya fbi kwenye inshu nzima ya upelelezi na kutekeleza mission
Nadhani ungesema zaidi ya CIA maana FBI ni internal security ya marekani ni kweli maelezo yako ila huwa wanashare taarifa hao watu japo mossad wame advance zaidi katika kufuatia movements za magaidi na yasemekana hata lile shambulizi la sept.11 wali wataarifu jamaa zao kabla ila hawa kulipa uzito na Waisrael walio julikana kufanya kazi maeneo husika wali tahadharishwa kuto kwenda hivyo wali epuka na lika zua zogo juu ya umakini wa vyombo vya usalama Marekani.
 
Ikiwa kulikuwa na mshindi katika hili tukio basi Black September walikuwa ni washindi kwa kishindo, kwani azima yao ilitimia, walifanikiwa kuteka na kupaaza sauti ya vilio vyao Kwa dunia nzima. Waliweza kuua mateka na wengineo, wengi kati yao walitoka hai ilhali walishajitolea kufa ili mradi kilio chao kisikike.

George Habash na Carlos iIlyich Ramirez Sanchez walipata booster kwenye matukio kama haya.

List of fatalities:

Shot during the initial break-in
Shot and killed by grenade in eastern-side helicopter D-HAQO
According to the order in which they were seated, from left to right:
Shot in western-side helicopter D-HAQU
According to the order in which they were seated, from left to right:
Shot on airstrip
  • Anton Fliegerbauer, German police officer
Palestinians shot dead by German police
  • Luttif Afif ("Issa")
  • Yusuf Nazzal ("Tony")
  • Afif Ahmed Hamid ("Paolo")
  • Khalid Jamal ("Salah")
  • Ahmed Chic Thaa ("Abu Halla")
Ume nikumbusha George Habash kiongozi wa PLFP na mwenzake Saad Hadad na wote walikua PLO waka hitilafiana na Arafat wakaunda hilo kundi lao niwie radhi hivi Cover name ya Arafat ilikuwa ni Abu Mussa au Abu Mazehn?
 
Ume nikumbusha George Habash kiongozi wa PLFP na mwenzake Saad Hadad na wote walikua PLO waka hitilafiana na Arafat wakaunda hilo kundi lao niwie radhi hivi Cover name ya Arafat ilikuwa ni Abu Mussa au Abu Mazehn?

Nijuavyo ni Abuu Ammar.
 
ukiachia hiyo ishu ya munich ambayo hata hivyo hakuna cha ajabu walichofanya na baadhi walikamatwa na wengine kuuawa,kidon wamefanya operation ipi?.

Sharon kauawa na umri na si assassination.
Ok iko hivi huyu jamaa alijisahau akataka kusaini Gaza strip km 16 kuwaachia Palestine.
Alivyoona imewekewa ngumu akatangaza kuhama chama cha Likud kuanzisha chake na agombee katika process hiyo ndipo akapata ugonjwa unaofanana na unaitwa mushroom wakupoteza kumbukumbu.

Inasadikika hawa vijana walifanya yao kumuwekea ile kitu na kusababisha hiyo amekaa miaka tisa kalala.
Kuna ile ya Arafat kwamba nguo zilikua na Polonium 210 ila waliokua wanachunguza pamoja na mwili wake baadae wakaipotezea ile ripoti.
Kuna operation nyingi Kidon wamefanya Google tu utazipata sio wa kubeza hata kidogo hawa
 
Ok iko hivi huyu jamaa alijisahau akataka kusaini Gaza strip km 16 kuwaachia Palestine.
Alivyoona imewekewa ngumu akatangaza kuhama chama cha Likud kuanzisha chake na agombee katika process hiyo ndipo akapata ugonjwa unaofanana na unaitwa mushroom wakupoteza kumbukumbu.

Inasadikika hawa vijana walifanya yao kumuwekea ile kitu na kusababisha hiyo amekaa miaka tisa kalala.
Kuna ile ya Arafat kwamba nguo zilikua na Polonium 210 ila waliokua wanachunguza pamoja na mwili wake baadae wakaipotezea ile ripoti.
Kuna operation nyingi Kidon wamefanya Google tu utazipata sio wa kubeza hata kidogo hawa
sharon hakutaka kuuza sijui km 16 za gaza,sharon aliondoa majeshi ya israel gaza baada ya hamas kuanzisha mashambulizi ya kujilipua,waisrael waliona bora wajiondoe gaza ili wapunguze hasara waliyoanza kuipata kwa kukalia gaza,kama ulikuwepo miaka ile ya 90 ndo wimbi la kujitoa mhanga lilianzishwa na hamasi,na wakati huo gaza ilikua chini ya jeshi la israel
 
Back
Top Bottom